< Wahebrania 5 >
1 Kwani kila kuhani mkuu, aliyechaguliwa kutoka miongoni mwa watu, amechaguliwa kusimama badala yao katika vitu vinavyohusiana na Mungu, ili aweze kutoa kwa pamoja zawadi na dhabihu kwa ajili ya dhambi.
Toe tinendre hitoloñe ty am’ondatio, amo raha mioza aman’ Añahareo, ze hene mpisorom-bey rinambe am’ ondatio, hibanabana naho hisoroñe, hañefetse hakeo.
2 Anaweza kujishughulisha kwa upole na wajinga na wabishi kwa kuwa yeye mwenyewe pia amezungukwa na udhaifu.
Maha-fitretrè o tsy mahilalao naho o mandrìkeo re, amy t’ie arisehoan-kaosañe ka.
3 Kwa sababu ya hili, ana wajibu wa kutoa sadaka kwa ajili ya dhambi zake kama afanyavyo kwa dhambi za watu.
Izay ty isoroña’e ty amo hakeo’ ondatio, naho o azeo ka.
4 Na hakuna mtu achukuaye heshima hii kwa ajili yake mwenyewe, lakini badala yake, lazima aitwe na Mungu, kama alivyokuwa Haruni.
Le tsy ia ty mandrambe i engeñey am-bata’e, fe rambese’ ze kanjien’ Añahare, manahak’ i Arone.
5 Hata Kristo hakujipa heshimu mwenyewe kwa kujifanya mwenyewe kuwa kuhani mkuu. Badala yake, Mungu alisema kwake, “Wewe ni mwanangu, leo nimekuwa Baba yako.”
Toe tsy nisenge ho mpisorom-bey ka i Norizañey, fe eo t’ie nanoeñe ty hoe: Anako irehe, Anindroany ty nisamahako azo.
6 Ni kama asemavyo pia sehemu nyingine, “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn )
mbore teo ty nanovoña’e ty hoe: Mpisoroñe nainai’e irehe ami’ty famosora’ i Melkizedeke. (aiōn )
7 Wakati wa kipindi chake katika mwili, aliomba na kuombea, alimwomba Mungu kwa machozi, kwa yeye awezaye kumwokoa kutoka kwenye kifo. Kwa sababu ya unyenyekevu wake kwa Mungu, alisikiwa.
Ie tañ’ andro ama’ nofotse aze, le nibanabana halaly naho hatak’ an-toreo miharo ranom-pihaino amy mahahah’ aze an-kavilasiy, vaho jinanjin-dre ty amy fiambanea’ey.
8 Ijapokuwa alikua mwana, alijifunza kutii kwa mambo yaliyomtesa.
Aa ndra t’ie Anake, niohe’ i halovilovia’ey te hivohotse.
9 Alikamilishwa na kwa njia hii alifanyika kwa kila mtu amwaminiye kuwa sababu ya wokovu wa milele, (aiōnios )
Le ie nifonireñe ro nanoeñe lohàm-pandrombahañe tsy modo ho amo mivohotse ama’eo (aiōnios )
10 kwa kutengwa na Mungu kama kuhani Mkuu baada ya zamu ya Melkizedeki.
naho kinanjin’ Añahare ho Mpisorom-bey am-pamosora’ i Melkizedeke.
11 Tuna mengi ya kusema kuhusu Yesu, lakini ni vigumu kuwaelezea kwa kuwa ninyi ni wavivu wa kusikia.
Mbe maro ty ho tsaraeñe ty ama’e, f’ie ho saro-pampidodeañe ty amy hakarèña’ areo.
12 Ijapokuwa kwa kipindi hiki mlipaswa kuwa walimu, bado kuna umuhimu wa mtu kuwafundisha mafundisho ya awali ya kanuni za neno la Mungu. Mnahitaji maziwa na si chakula kigumu.
Tsy ho ni-mpañoke hao nahareo henaneo? te mone mipay haòke amo manantam-petsen’ Añahareo indraike, vaho mipay ronono fa tsy mahakama vente’e,
13 Kwa kuwa yeyote anywaye maziwa tu hana uzoefu katika ujumbe wa haki, kwa kuwa bado ni mtoto.
toe tsy zatse o tsaran-kavantañañeo ze veloñe an-dronono, fa mbe anak-ajaja;
14 Kwa upande mwingine, chakula kigumu ni cha watu wazima, wale ambao kwa sababu ya uzoefu wao katika kutofautisha haki na ubaya wamefundishwa kutambua jema na ovu.
toe ho a o matoeo ty mahakama vente’e, ie fa niòke am-pitoloñañe haha-fañavake ty soa ami’ty raty.