< Wahebrania 5 >

1 Kwani kila kuhani mkuu, aliyechaguliwa kutoka miongoni mwa watu, amechaguliwa kusimama badala yao katika vitu vinavyohusiana na Mungu, ili aweze kutoa kwa pamoja zawadi na dhabihu kwa ajili ya dhambi.
Kwani khila kuhani mbaha, jhaasalibhu kuhoma miongoni mwa bhanu, asalibhu kuj'hema badala jha bhene kwa fenu fyafihusiana ni K'yara, ili abhwesiajhi kupisya kwa pamonga jha dhambi.
2 Anaweza kujishughulisha kwa upole na wajinga na wabishi kwa kuwa yeye mwenyewe pia amezungukwa na udhaifu.
Ibhwesya kwishughulisya kwa bhololo ni bhajinga ni bhabhishi kwa kujha muene kabhele asyonghokibhu ni bhudhaifu.
3 Kwa sababu ya hili, ana wajibu wa kutoa sadaka kwa ajili ya dhambi zake kama afanyavyo kwa dhambi za watu.
Kwandabha jha e'le, ajhe ni bhwajibu bhwa kuhomesya sadaka kwandabha jha dhambi sya muene kama kyaibhomba kwa dhambi sya bhanu.
4 Na hakuna mtu achukuaye heshima hii kwa ajili yake mwenyewe, lakini badala yake, lazima aitwe na Mungu, kama alivyokuwa Haruni.
Na ajhelepi munu jhaitola litengu e'le, kwa ndabha jha muene, lakini badala jhiake, lazima akutibhwayi ni K'yara, kama kyaajhele Haruni.
5 Hata Kristo hakujipa heshimu mwenyewe kwa kujifanya mwenyewe kuwa kuhani mkuu. Badala yake, Mungu alisema kwake, “Wewe ni mwanangu, leo nimekuwa Baba yako.”
Hata Kristu akipelili lepi litengu muene kwa kwibheka muene kujha kuhani mbaha. Badala jhiake, K'yara ajobhili kwa muene, “Bhebhe ghwe mwanabhangu, lelu nijhele ne Dadijhu.”
6 Ni kama asemavyo pia sehemu nyingine, “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
Ndo kama kyaijobha kabhele sehemu jhenge, “Bhebhe ndo kuhani milele baada jha mfumo bhwa Melkizedeki.” (aiōn g165)
7 Wakati wa kipindi chake katika mwili, aliomba na kuombea, alimwomba Mungu kwa machozi, kwa yeye awezaye kumwokoa kutoka kwenye kifo. Kwa sababu ya unyenyekevu wake kwa Mungu, alisikiwa.
Wakati bhwa kipindi kya muene mu mb'ele, K'yara kwa mahosi, kwa muene jha ibhwesya kun'hokola mu kifo. Kwa ndabha jha bhunyenyekevu bhwa mueune kwa K'yara, ap'elekibhu.
8 Ijapokuwa alikua mwana, alijifunza kutii kwa mambo yaliyomtesa.
Ijapokujha ajhele muana, akimanyisi kutii kwa mambo ghaghan'tesisi.
9 Alikamilishwa na kwa njia hii alifanyika kwa kila mtu amwaminiye kuwa sababu ya wokovu wa milele, (aiōnios g166)
Akamilisibhu ni kwa nj'ela ejhe jhabhombiki kwa khila munu jha akan'kiera kujha sababu jha bhwokovu bhwa milele, (aiōnios g166)
10 kwa kutengwa na Mungu kama kuhani Mkuu baada ya zamu ya Melkizedeki.
kwa kutengibhwa ni K'yara kama kuhani mbaha baada jha zamu jha Melkizeedeki.
11 Tuna mengi ya kusema kuhusu Yesu, lakini ni vigumu kuwaelezea kwa kuwa ninyi ni wavivu wa kusikia.
Tujhe ni ghamehele gha kujobha kuhusu Yesu, lakini panonono kubhajhelesya kwa kujha muenga mwe bhololo bha kup'el'eka.
12 Ijapokuwa kwa kipindi hiki mlipaswa kuwa walimu, bado kuna umuhimu wa mtu kuwafundisha mafundisho ya awali ya kanuni za neno la Mungu. Mnahitaji maziwa na si chakula kigumu.
Ijapokujha kwa kipindi e'khe mlondekeghe kujha bhalimu, kabhele kujha ni umuhimu bhwa munu kubhamanyisya mafundisu gha awali gha kanuni sya lilobhi lya K'yara. Mwilonda lukama na sio kyakulya kinonono.
13 Kwa kuwa yeyote anywaye maziwa tu hana uzoefu katika ujumbe wa haki, kwa kuwa bado ni mtoto.
Kwa kujha jhejhioha jhainywa lukama luene ajhelepi ni bhuzoefu mu ujumbe bhwa haki, kwa kujha akona muana.
14 Kwa upande mwingine, chakula kigumu ni cha watu wazima, wale ambao kwa sababu ya uzoefu wao katika kutofautisha haki na ubaya wamefundishwa kutambua jema na ovu.
Kwa lubhafu l'ongi kyakulya kinonono ndo kya bhanu bhazima bhala ambabho kwa ndabha jha uzoefu bhwa bhene mu kutofautisya haki ni bhubhibhi bhafundisibhu kumanya linofu ni libhibhi.

< Wahebrania 5 >