< Wahebrania 5 >

1 Kwani kila kuhani mkuu, aliyechaguliwa kutoka miongoni mwa watu, amechaguliwa kusimama badala yao katika vitu vinavyohusiana na Mungu, ili aweze kutoa kwa pamoja zawadi na dhabihu kwa ajili ya dhambi.
Kuiti kila u kuhani nu mukulu, nuholanigwe kupuma mukati a antu, uholanigwe kimika badala ao mu intu ni yikigendi ni Itunda, iti wahume kupumya ku palung'wi isongelyo ni ipolya ku nsoko a milandu.
2 Anaweza kujishughulisha kwa upole na wajinga na wabishi kwa kuwa yeye mwenyewe pia amezungukwa na udhaifu.
Uhumile kipusha ku upolo ni apungu ni ikungumi ku nsoko ga nu ng'wenso mukola upilimikiigwe nu unyeku.
3 Kwa sababu ya hili, ana wajibu wa kutoa sadaka kwa ajili ya dhambi zake kama afanyavyo kwa dhambi za watu.
Ku nsoko a ili, ukete mulimo nua kupumya isongelyo ku nsoko a milandu akwe anga nuitumaa ku milandu a antu.
4 Na hakuna mtu achukuaye heshima hii kwa ajili yake mwenyewe, lakini badala yake, lazima aitwe na Mungu, kama alivyokuwa Haruni.
Hangi kutili u muntu nuiholaa ikulyo ili ku nsoko akwe mukola, kuiti badala akwe, kusinja witangwe ni Itunda, anga nai utuile uHaruni.
5 Hata Kristo hakujipa heshimu mwenyewe kwa kujifanya mwenyewe kuwa kuhani mkuu. Badala yake, Mungu alisema kwake, “Wewe ni mwanangu, leo nimekuwa Baba yako.”
Ga nu Kristo shanga ai wipee ikulyo u ng'wenso ku kitendisaa mukola kutula kuhani nu mukulu. Badala akwe, Itunda ai uligitilye kitalakwe, “Uewe wi ng'wana nuane, lelo natulaa ni Tata nuako.”
6 Ni kama asemavyo pia sehemu nyingine, “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
Ingi anga nuiligityaa ga nu kipatyoo ingiiza, “Uewe ingi wi kuhani kali na kali ze yakilaa i pyani ang'wa Melkizedeki. (aiōn g165)
7 Wakati wa kipindi chake katika mwili, aliomba na kuombea, alimwomba Mungu kwa machozi, kwa yeye awezaye kumwokoa kutoka kwenye kifo. Kwa sababu ya unyenyekevu wake kwa Mungu, alisikiwa.
Matungo ni itungo nilakwe mu muili, ai ulompile nu kulompeela, ai umulopile Itunda ku liholi, ku nuanso nuhumile kumuguna kupuma mu nsha. Ku nsoko a utuna pihi nuakwe kung'wa Itunda, ai wigigwe.
8 Ijapokuwa alikua mwana, alijifunza kutii kwa mambo yaliyomtesa.
Anga itule ai watulaa ng'wana, ai wimanyisilye kija ku makani nai amagilye.
9 Alikamilishwa na kwa njia hii alifanyika kwa kila mtu amwaminiye kuwa sababu ya wokovu wa milele, (aiōnios g166)
Ai ukondaniigwe nu ku nzila iyi ai utendekile ku kila u muntu nu muhuiie ku nsoko a uguniki nua kali na kali. (aiōnios g166)
10 kwa kutengwa na Mungu kama kuhani Mkuu baada ya zamu ya Melkizedeki.
ku kubagulwa ni Itunda anga Kuhani nu Mukulu ze yakilaa u ludimo nulang'wa Melkizedeki.
11 Tuna mengi ya kusema kuhusu Yesu, lakini ni vigumu kuwaelezea kwa kuwa ninyi ni wavivu wa kusikia.
Ku kete idu nakuligitya kutula uYesu, kuiti ingi ikaku kumuganuila ku nsoko unyenye ingi miakata akija.
12 Ijapokuwa kwa kipindi hiki mlipaswa kuwa walimu, bado kuna umuhimu wa mtu kuwafundisha mafundisho ya awali ya kanuni za neno la Mungu. Mnahitaji maziwa na si chakula kigumu.
Aga itule ku itungo ili aza mutakiwe kutula ang'walimu, ikili ukoli usanigwa nua muntu kumumanyisa umanyisigwa nua ng'wandyo nua ntendo nia lukani nulang'wa Itunda. Mutakiwe maele hangi shanga ludya nu lukaku.
13 Kwa kuwa yeyote anywaye maziwa tu hana uzoefu katika ujumbe wa haki, kwa kuwa bado ni mtoto.
Kunsoko wihi nuing'wezaa i maele duu mugila u wizeeli mu lukani nula tai ane, kunsoko wakili mung'yinya.
14 Kwa upande mwingine, chakula kigumu ni cha watu wazima, wale ambao kwa sababu ya uzoefu wao katika kutofautisha haki na ubaya wamefundishwa kutambua jema na ovu.
Ku ipande i lulya, ludya nu lukaku ingi ku antu niakulu, awo naza kunsoko a wizeeli nuao kutemanula i tai ane nu ubii amanyisigwe ku ulinga u uza nu ubi.

< Wahebrania 5 >