< Wahebrania 5 >

1 Kwani kila kuhani mkuu, aliyechaguliwa kutoka miongoni mwa watu, amechaguliwa kusimama badala yao katika vitu vinavyohusiana na Mungu, ili aweze kutoa kwa pamoja zawadi na dhabihu kwa ajili ya dhambi.
Tout souverain sacrificateur, pris parmi les hommes, est établi pour les hommes dans le service de Dieu, afin d'offrir des dons et des sacrifices pour les péchés.
2 Anaweza kujishughulisha kwa upole na wajinga na wabishi kwa kuwa yeye mwenyewe pia amezungukwa na udhaifu.
Il peut témoigner de la compassion à ceux qui sont dans l'ignorance et dans l'égarement, puisque lui-même est sujet à la faiblesse.
3 Kwa sababu ya hili, ana wajibu wa kutoa sadaka kwa ajili ya dhambi zake kama afanyavyo kwa dhambi za watu.
Et c'est à cause de cette faiblesse qu'il doit offrir des sacrifices pour ses péchés, aussi bien que pour ceux du peuple.
4 Na hakuna mtu achukuaye heshima hii kwa ajili yake mwenyewe, lakini badala yake, lazima aitwe na Mungu, kama alivyokuwa Haruni.
Du reste, personne ne s'arroge cette dignité; il faut y être appelé de Dieu, comme le fut Aaron.
5 Hata Kristo hakujipa heshimu mwenyewe kwa kujifanya mwenyewe kuwa kuhani mkuu. Badala yake, Mungu alisema kwake, “Wewe ni mwanangu, leo nimekuwa Baba yako.”
De même aussi, le Christ ne s'est pas attribué à lui-même la gloire d'être souverain sacrificateur; mais il la tient de celui qui lui a dit: «Tu es mon Fils; je t'ai engendré aujourd'hui.»
6 Ni kama asemavyo pia sehemu nyingine, “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
Et ailleurs encore, il lui dit: «Tu es sacrificateur pour l'éternité, selon l'ordre de Melchisédec.» (aiōn g165)
7 Wakati wa kipindi chake katika mwili, aliomba na kuombea, alimwomba Mungu kwa machozi, kwa yeye awezaye kumwokoa kutoka kwenye kifo. Kwa sababu ya unyenyekevu wake kwa Mungu, alisikiwa.
C'est lui qui, dans les jours de sa chair, a offert, avec de grands cris et avec des larmes, des prières et des supplications à Celui qui pouvait le sauver de la mort, et qui a été exaucé à cause de sa piété.
8 Ijapokuwa alikua mwana, alijifunza kutii kwa mambo yaliyomtesa.
Tout Fils qu'il est, il a appris l'obéissance par les choses qu'il a souffertes;
9 Alikamilishwa na kwa njia hii alifanyika kwa kila mtu amwaminiye kuwa sababu ya wokovu wa milele, (aiōnios g166)
et, après avoir été élevé à la perfection, il est devenu l'auteur d'un salut éternel pour tous ceux qui lui obéissent, (aiōnios g166)
10 kwa kutengwa na Mungu kama kuhani Mkuu baada ya zamu ya Melkizedeki.
Dieu l'ayant déclaré souverain sacrificateur, selon l'ordre de Melchisédec.
11 Tuna mengi ya kusema kuhusu Yesu, lakini ni vigumu kuwaelezea kwa kuwa ninyi ni wavivu wa kusikia.
Nous aurions à ce sujet beaucoup à dire, et des choses difficiles à expliquer, parce que vous êtes devenus lents à comprendre.
12 Ijapokuwa kwa kipindi hiki mlipaswa kuwa walimu, bado kuna umuhimu wa mtu kuwafundisha mafundisho ya awali ya kanuni za neno la Mungu. Mnahitaji maziwa na si chakula kigumu.
Vous, qui devriez être depuis longtemps des maîtres, vous avez encore besoin qu'on vous enseigne les premiers éléments des oracles de Dieu: vous en êtes à avoir besoin de lait, au lieu d'une nourriture solide!
13 Kwa kuwa yeyote anywaye maziwa tu hana uzoefu katika ujumbe wa haki, kwa kuwa bado ni mtoto.
Or, celui qui ne se nourrit que de lait, ne saurait comprendre la parole de la justice; il n'est encore qu'un enfant.
14 Kwa upande mwingine, chakula kigumu ni cha watu wazima, wale ambao kwa sababu ya uzoefu wao katika kutofautisha haki na ubaya wamefundishwa kutambua jema na ovu.
Mais la nourriture solide est pour les hommes faits, pour ceux qui ont le sens exercé, par l'usage, au discernement du bien et du mal.

< Wahebrania 5 >