< Wahebrania 5 >

1 Kwani kila kuhani mkuu, aliyechaguliwa kutoka miongoni mwa watu, amechaguliwa kusimama badala yao katika vitu vinavyohusiana na Mungu, ili aweze kutoa kwa pamoja zawadi na dhabihu kwa ajili ya dhambi.
all for high-priest out from a human to take above/for a human to appoint/conduct the/this/who to/with the/this/who God in order that/to to bring to gift and/both and sacrifice above/for sin
2 Anaweza kujishughulisha kwa upole na wajinga na wabishi kwa kuwa yeye mwenyewe pia amezungukwa na udhaifu.
be gentle be able the/this/who be ignorant and to lead astray since and it/s/he to surround weakness: weak
3 Kwa sababu ya hili, ana wajibu wa kutoa sadaka kwa ajili ya dhambi zake kama afanyavyo kwa dhambi za watu.
and through/because of (it/s/he *N(k)O*) to owe as/just as about the/this/who a people thus(-ly) and about themself to bring to (about *N(k)O*) sin
4 Na hakuna mtu achukuaye heshima hii kwa ajili yake mwenyewe, lakini badala yake, lazima aitwe na Mungu, kama alivyokuwa Haruni.
and no themself one to take the/this/who honor but (the/this/who *k*) to call: call by/under: by the/this/who God (as *N(k)O*) and (the/this/who *k*) Aaron
5 Hata Kristo hakujipa heshimu mwenyewe kwa kujifanya mwenyewe kuwa kuhani mkuu. Badala yake, Mungu alisema kwake, “Wewe ni mwanangu, leo nimekuwa Baba yako.”
thus(-ly) and the/this/who Christ no themself to glorify to be high-priest but the/this/who to speak to/with it/s/he son me to be you I/we today to beget you
6 Ni kama asemavyo pia sehemu nyingine, “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
as/just as and in/on/among other to say you priest toward the/this/who an age: eternity according to the/this/who order Melchizedek (aiōn g165)
7 Wakati wa kipindi chake katika mwili, aliomba na kuombea, alimwomba Mungu kwa machozi, kwa yeye awezaye kumwokoa kutoka kwenye kifo. Kwa sababu ya unyenyekevu wake kwa Mungu, alisikiwa.
which in/on/among the/this/who day the/this/who flesh it/s/he petition and/both and supplication to/with the/this/who be able to save it/s/he out from death with/after shouting strong and teardrop to bring to and to listen to away from the/this/who reverence
8 Ijapokuwa alikua mwana, alijifunza kutii kwa mambo yaliyomtesa.
although to be son to learn away from which to suffer the/this/who obedience
9 Alikamilishwa na kwa njia hii alifanyika kwa kila mtu amwaminiye kuwa sababu ya wokovu wa milele, (aiōnios g166)
and to perfect to be all the/this/who to obey it/s/he causer salvation eternal (aiōnios g166)
10 kwa kutengwa na Mungu kama kuhani Mkuu baada ya zamu ya Melkizedeki.
to designate by/under: by the/this/who God high-priest according to the/this/who order Melchizedek
11 Tuna mengi ya kusema kuhusu Yesu, lakini ni vigumu kuwaelezea kwa kuwa ninyi ni wavivu wa kusikia.
about which much me the/this/who word and hard to interpret to say since dull to be the/this/who hearing
12 Ijapokuwa kwa kipindi hiki mlipaswa kuwa walimu, bado kuna umuhimu wa mtu kuwafundisha mafundisho ya awali ya kanuni za neno la Mungu. Mnahitaji maziwa na si chakula kigumu.
and for to owe to exist teacher through/because of the/this/who time again need to have/be the/this/who to teach you (one *N(k)O*) the/this/who principle the/this/who beginning the/this/who oracles the/this/who God and to be need to have/be milk and no strong food
13 Kwa kuwa yeyote anywaye maziwa tu hana uzoefu katika ujumbe wa haki, kwa kuwa bado ni mtoto.
all for the/this/who to share milk unacquainted word righteousness child for to be
14 Kwa upande mwingine, chakula kigumu ni cha watu wazima, wale ambao kwa sababu ya uzoefu wao katika kutofautisha haki na ubaya wamefundishwa kutambua jema na ovu.
perfect then to be the/this/who strong food the/this/who through/because of the/this/who habit/practice the/this/who sense to train to have/be to/with discernment good and/both and evil/harm: evil

< Wahebrania 5 >