< Wahebrania 5 >
1 Kwani kila kuhani mkuu, aliyechaguliwa kutoka miongoni mwa watu, amechaguliwa kusimama badala yao katika vitu vinavyohusiana na Mungu, ili aweze kutoa kwa pamoja zawadi na dhabihu kwa ajili ya dhambi.
Thi hver Ypperstepræst tages iblandt Mennesker og indsættes for Mennesker til Tjenesten for Gud, for at han skal frembære baade Gaver og Slagtofre for Synder,
2 Anaweza kujishughulisha kwa upole na wajinga na wabishi kwa kuwa yeye mwenyewe pia amezungukwa na udhaifu.
som en, der kan bære over med de vankundige og vildfarende, eftersom han ogsaa selv er stedt i Skrøbelighed
3 Kwa sababu ya hili, ana wajibu wa kutoa sadaka kwa ajili ya dhambi zake kama afanyavyo kwa dhambi za watu.
og for dens Skyld maa frembære Syndoffer, som for Folket saaledes ogsaa for sig selv.
4 Na hakuna mtu achukuaye heshima hii kwa ajili yake mwenyewe, lakini badala yake, lazima aitwe na Mungu, kama alivyokuwa Haruni.
Og ingen tager sig selv den Ære, men han kaldes af Gud, ligesom jo ogsaa Aron.
5 Hata Kristo hakujipa heshimu mwenyewe kwa kujifanya mwenyewe kuwa kuhani mkuu. Badala yake, Mungu alisema kwake, “Wewe ni mwanangu, leo nimekuwa Baba yako.”
Saaledes har ej heller Kristus tillagt sig selv den Ære at blive Ypperstepræst, men den, som sagde til ham: “Du er min Søn, jeg har født dig i Dag,”
6 Ni kama asemavyo pia sehemu nyingine, “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn )
som han jo ogsaa siger et andet Sted: “Du er Præst til evig Tid, efter Melkisedeks Vis,” (aiōn )
7 Wakati wa kipindi chake katika mwili, aliomba na kuombea, alimwomba Mungu kwa machozi, kwa yeye awezaye kumwokoa kutoka kwenye kifo. Kwa sababu ya unyenyekevu wake kwa Mungu, alisikiwa.
han, som i sit Køds Dage med stærkt Raab og Taarer frembar Bønner og ydmyge Begæringer til den, der kunde frelse ham fra Døden, og blev bønhørt i sin Angest,
8 Ijapokuwa alikua mwana, alijifunza kutii kwa mambo yaliyomtesa.
og saaledes, endskønt han var Søn, lærte han Lydighed af det, han led,
9 Alikamilishwa na kwa njia hii alifanyika kwa kila mtu amwaminiye kuwa sababu ya wokovu wa milele, (aiōnios )
og efter at være fuldkommet blev Aarsag til evig Frelse for alle dem, som lyde ham, (aiōnios )
10 kwa kutengwa na Mungu kama kuhani Mkuu baada ya zamu ya Melkizedeki.
idet han af Gud blev kaldt Ypperstepræst efter Melkisedeks Vis.
11 Tuna mengi ya kusema kuhusu Yesu, lakini ni vigumu kuwaelezea kwa kuwa ninyi ni wavivu wa kusikia.
Herom have vi meget at sige, og det er vanskeligt at forklare, efterdi I ere blevne sløve til at høre.
12 Ijapokuwa kwa kipindi hiki mlipaswa kuwa walimu, bado kuna umuhimu wa mtu kuwafundisha mafundisho ya awali ya kanuni za neno la Mungu. Mnahitaji maziwa na si chakula kigumu.
Thi skønt I efter Tiden endog burde være Lærere, trænge I atter til, at man skal lære eder Begyndelsesgrundene i Guds Ord, og I ere blevne saadanne, som trænge til Mælk og ikke til fast Føde.
13 Kwa kuwa yeyote anywaye maziwa tu hana uzoefu katika ujumbe wa haki, kwa kuwa bado ni mtoto.
Thi hver, som faar Mælk, er ukyndig i den rette Tale, thi han er spæd;
14 Kwa upande mwingine, chakula kigumu ni cha watu wazima, wale ambao kwa sababu ya uzoefu wao katika kutofautisha haki na ubaya wamefundishwa kutambua jema na ovu.
men for de fuldkomne er den faste Føde, for dem, som paa Grund af deres Erfaring have Sanserne øvede til at skelne mellem godt og ondt.