< Wahebrania 5 >
1 Kwani kila kuhani mkuu, aliyechaguliwa kutoka miongoni mwa watu, amechaguliwa kusimama badala yao katika vitu vinavyohusiana na Mungu, ili aweze kutoa kwa pamoja zawadi na dhabihu kwa ajili ya dhambi.
Velekněz je člověk, který jménem ostatních předstupuje před Boha a přináší mu dary a oběti s prosbou o smíření.
2 Anaweza kujishughulisha kwa upole na wajinga na wabishi kwa kuwa yeye mwenyewe pia amezungukwa na udhaifu.
Protože i on podléhá slabostem, musí přinášet oběti nejen za lid, ale i za sebe a je schopen chápat nevědomé a pobloudilé.
3 Kwa sababu ya hili, ana wajibu wa kutoa sadaka kwa ajili ya dhambi zake kama afanyavyo kwa dhambi za watu.
4 Na hakuna mtu achukuaye heshima hii kwa ajili yake mwenyewe, lakini badala yake, lazima aitwe na Mungu, kama alivyokuwa Haruni.
Toto postavení si nikdo nemůže svévolně přivlastnit, ale musí k němu být Bohem povolán.
5 Hata Kristo hakujipa heshimu mwenyewe kwa kujifanya mwenyewe kuwa kuhani mkuu. Badala yake, Mungu alisema kwake, “Wewe ni mwanangu, leo nimekuwa Baba yako.”
Ani Kristus se k němu sám nepovznesl. Ustanovil ho Bůh, když mu řekl: „Ty jsi můj syn, já jsem tě dnes zplodil.“
6 Ni kama asemavyo pia sehemu nyingine, “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn )
A jindy prohlásil: „Jsi na věky knězem podle řádu Malkísedekova.“ (aiōn )
7 Wakati wa kipindi chake katika mwili, aliomba na kuombea, alimwomba Mungu kwa machozi, kwa yeye awezaye kumwokoa kutoka kwenye kifo. Kwa sababu ya unyenyekevu wake kwa Mungu, alisikiwa.
Když byl Kristus na zemi, přednášel hlasitě, úpěnlivě a s pláčem prosby Bohu, který ho jediný mohl zachránit před smrtí. Bůh ho v jeho úzkosti vyslyšel.
8 Ijapokuwa alikua mwana, alijifunza kutii kwa mambo yaliyomtesa.
Ačkoliv byl Boží Syn, měl se ve škole utrpení naučit, co znamená bezvýhradná poslušnost.
9 Alikamilishwa na kwa njia hii alifanyika kwa kila mtu amwaminiye kuwa sababu ya wokovu wa milele, (aiōnios )
Když v té zkoušce obstál, stal se všem, kdo se mu podrobují, zdrojem trvalé ochrany. (aiōnios )
10 kwa kutengwa na Mungu kama kuhani Mkuu baada ya zamu ya Melkizedeki.
A Bůh ho nazval veleknězem podle řádu Malkísedekova.
11 Tuna mengi ya kusema kuhusu Yesu, lakini ni vigumu kuwaelezea kwa kuwa ninyi ni wavivu wa kusikia.
Rád bych vám o těchto věcech řekl mnohem víc, bylo by to pro vás nesnadno pochopitelné, protože je vaše vnímavost otupena.
12 Ijapokuwa kwa kipindi hiki mlipaswa kuwa walimu, bado kuna umuhimu wa mtu kuwafundisha mafundisho ya awali ya kanuni za neno la Mungu. Mnahitaji maziwa na si chakula kigumu.
Už jste měli být dávno učiteli druhých, ale zůstali jste žáky. Opět potřebujete, aby vás někdo učil abecedě Boží řeči.
13 Kwa kuwa yeyote anywaye maziwa tu hana uzoefu katika ujumbe wa haki, kwa kuwa bado ni mtoto.
Potřebujete mléko, ne hutný pokrm. Kdo se živí jenom mlékem Božího slova, dokazuje, že neproniká do hloubek Božího myšlení.
14 Kwa upande mwingine, chakula kigumu ni cha watu wazima, wale ambao kwa sababu ya uzoefu wao katika kutofautisha haki na ubaya wamefundishwa kutambua jema na ovu.
Ti, kdo na základě zkušenosti dovedou smysly rozeznat dobré od zlého, jsou dospělí a pronikají k jádru věci.