< Wahebrania 4 >

1 Kwa hiyo, tunapaswa kuwa makini ili kwamba kati yenu asiwepo hata mmoja atakayeonekana kushindwa kufikia ahadi endelevu ya kuingia katika pumzika la Mungu.
Atûn hin Pathien'n ha inngamna roi a misîrna hah ei man theina rangin chonginkhâm mi pêk ani. Masikin nin lâia tute ha inngamna lei khâmna taka lût theiloia nin om loina rangin indîn roi.
2 Kwani tumekuwa na habari njema kuhusu pumziko la Mungu lililotangazwa kwetu kama Waisrael walivyokuwa nayo, lakini ujumbe huo haukuwasaidia wale ambao waliusikia bila kuunganisha imani kwa hilo.
Thurchi Sa chu an riet angtakin eini khomin ei riet. Chong chu an rieta, aniatachu an chong riet han ite satna manpui mak ngei, asikchu chong an riet lâi han taksônnân an pom loi sikin ani.
3 Kwa sisi, ambao tumekwisha amini-sisi ndio miongoni tutakaoingia katika lile pumuziko, Kama inavyosema, “Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia katika pumziko mwangu.” Alisema hili, ingawa kazi zote alizotengeneza zilikuwa zimekamilika tangu mwanzo wa ulimwengu.
Eini ama iem ngei chu, Pathien'n a chonginkhâm inngamna han ei lût bang ani. “Ka taksina sikin chonginkhâm inngartak ki sina: ‘Inngamna rang ram ke pêk ngeina han lût tet no ni ngei!’” a ti anghan. A sintho ngei hah rammuol a sinphut zora a zoisai nikhomrese ha chong hah a la ti ani.
4 Kwani ameshasema sehemu fulani kuhusu siku ya saba, “Mungu alipumzika siku ya saba katika yote aliyoyafanya.”
Pathien Lekhabu'n kho muna mini sûnsarini roi, hi anghin a ti: “Pathien'n sûnsarini chu a sintho murdi renga ânngam zoi.”
5 Tena ameshasema, “Hawataingia kwenye pumziko langu.”
Ma roi zom nanâk hah “Inngamna rang ram ke pêk ngeina han lût tet no ni ngei,” a ti nôk ani.
6 Kwa sababu hiyo, tangu pumziko la Mungu bado ni akiba kwa ajili ya baadhi kuingia, na tangu Waisraeli wengi ambao walisikia habari njema kuhusu pumziko lake hawakuingia kwa sababu ya kutotii,
Thurchi Sa lei riet masa ngei han iem loina sika an lût thei khâiloi sikin midang ngei la lût rangin phalna a la om ani.
7 Mungu aliweka tena siku fulani, iitwayo “Leo.” Yeye aliiongeza siku hii alipozungumza kupitia Daudi, ambaye alisema kwa muda mrefu baada ya yaliyosemwa kwanza, “Leo kama mtasikia sauti yake, msifanye mioyo yenu kuwa migumu.”
Ma anghan, Pathien'n “Aviensûn” tiin nikhuo dang ânkhâm nôk ani. Kum tamtak suonûkin David mangin motona a lei rilsai: “Aviensûn Pathien rôl nin rietin chu, nin mulung minngar khâi no roi,” ti hah a ti nôka.
8 Kwani kama Yoshua aliwapatia pumziko, Mungu asingelisema juu ya siku nyingine.
Joshua'n mipui ngei hah Pathien chonginkhâm inngamna hah a lei pêk ngei thei nisenla chu, Pathien'n nûka han nikhuo dang roi misîr khâi no nih.
9 Kwa hiyo bado kuna Sabato ya pumziko iliyotunzwa kwa ajili ya watu wa Mungu.
Ma angdên han, Pathien mingei ta rangin chu sûn sarinia Pathien'n a sintho renga ânngam anghan inngamna hah a la om tit ani.
10 Kwani anayeingia katika pumziko la Mungu yeye mwenyewe pia amepumzika kutokana na matendo yake, kama Mungu alivyofanya katika yeye.
Tukhom Pathien chonginkhâm inngamna taka lût chu Pathien'n a sintho renga ânngam anghan ama khom a sintho renga inngamna man a tih.
11 Kwa hiyo tuweni na shauku ya kuingia katika lile pumziko, ili kwamba asiwepo atakayeanguka katika aina ya uasi waliofanya.
Tho, masikin anni ngei angin taksôn loina sika chukloia om loiin inngamna hah ei chang theina rangin ranak song ei tih u.
12 Kwa maana neno la Mungu li hai na lina nguvu na linaukali kuliko upanga wowote wenye makali kuwili. Na huchoma hata kufikia kugawanya nafsi na roho, na viungo kutika uboho. Na lenye kuweza kufahamu fikira za moyo nia yake.
Pathien chong chu aringa, sin a tho theia, khandai beniknei ngaidak nêkin khom angai uol ani. Ringna le ratha inchunna ngei, rolo le rithingngei dênin a sunkhoi theia. Miriem mulungrîla ôina le mindona khom a riet let ngâi ani.
13 . Hakuna kilichoumbwa kilichojificha katika uso wa Mungu. Badala yake, kila kitu ni dhahiri na wazi kwa macho ya mmoja ambaye ni lazima tutoe hesabu.
Pathien renga chu neinun ite ânthup thei ommak; neinunsin ngei murdi khom a mitmua chu ânlârphangin an ong-iem ani. Male ama kôm han ei sika ei thurchi chit ei la misîr let ngêt rang ani.
14 Baadaye kuwa na kuhani mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu Mwana wa Mungu, kwa uimara tushikilie imani zetu.
Pathien omna lele invâna lei sesai, Ochai Inlal roiinpuitak Jisua, Pathien Nâipasal hah ei dôn sikin ei taksônna hi sûr mindet tit ei ti u.
15 Kwa kuwa hatuna kuhani mkuu ambaye hawezi kuhisi huruma kwa ajili udhaifu wetu, lakini yeye ambaye kwa njia zote amekuwa akijaribiwa kama sisi, isipokuwa yeye ambaye hana dhambi.
Ochai Inlaltak ei dôn hih ei râtloina mi rietpui phâkloi ni maka, eini anghan lam tina huongna tong sai ani, aniatachu, sietna chu tho loi mi ei dôn ani.
16 Na tuje kwa ujasiri katika kiti cha enzi cha neema, ili kwamba tupokee rehema na kupata neema ya kutusaidia wakati wa hitaji.
Tho, masika han lungkhamna jâra moroina le sanna ei nâng tika ei man theina rangin Pathien moroina rêngsukmun hah hâitakin pan ei ti u.

< Wahebrania 4 >