< Wahebrania 4 >
1 Kwa hiyo, tunapaswa kuwa makini ili kwamba kati yenu asiwepo hata mmoja atakayeonekana kushindwa kufikia ahadi endelevu ya kuingia katika pumzika la Mungu.
Bójmy się więc, gdy jeszcze trwa obietnica wejścia do jego odpoczynku, aby czasem się nie okazało, że ktoś z was [jej] nie osiągnął.
2 Kwani tumekuwa na habari njema kuhusu pumziko la Mungu lililotangazwa kwetu kama Waisrael walivyokuwa nayo, lakini ujumbe huo haukuwasaidia wale ambao waliusikia bila kuunganisha imani kwa hilo.
I nam bowiem głoszono ewangelię jak i tamtym. Lecz tamtym nie pomogło słowo, które słyszeli, gdyż nie było powiązane z wiarą tych, którzy [je] słyszeli.
3 Kwa sisi, ambao tumekwisha amini-sisi ndio miongoni tutakaoingia katika lile pumuziko, Kama inavyosema, “Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia katika pumziko mwangu.” Alisema hili, ingawa kazi zote alizotengeneza zilikuwa zimekamilika tangu mwanzo wa ulimwengu.
Bo do odpoczynku wchodzimy my, którzy uwierzyliśmy, jak powiedział: Dlatego przysiągłem w moim gniewie, że nie wejdą do mojego odpoczynku, choć [jego] dzieła były dokonane od założenia świata.
4 Kwani ameshasema sehemu fulani kuhusu siku ya saba, “Mungu alipumzika siku ya saba katika yote aliyoyafanya.”
Powiedział bowiem w pewnym miejscu o siódmym dniu tak: I odpoczął Bóg siódmego dnia od wszystkich swoich dzieł.
5 Tena ameshasema, “Hawataingia kwenye pumziko langu.”
A tutaj znowu: Nie wejdą do mego odpoczynku.
6 Kwa sababu hiyo, tangu pumziko la Mungu bado ni akiba kwa ajili ya baadhi kuingia, na tangu Waisraeli wengi ambao walisikia habari njema kuhusu pumziko lake hawakuingia kwa sababu ya kutotii,
Ponieważ więc jest tak, że niektórzy mają wejść do niego, a ci, którym najpierw głoszono, nie weszli z powodu niewiary;
7 Mungu aliweka tena siku fulani, iitwayo “Leo.” Yeye aliiongeza siku hii alipozungumza kupitia Daudi, ambaye alisema kwa muda mrefu baada ya yaliyosemwa kwanza, “Leo kama mtasikia sauti yake, msifanye mioyo yenu kuwa migumu.”
Znowu wyznacza pewien dzień, mówiąc przez Dawida po tak długim czasie „Dzisiaj”, jak to zostało powiedziane: Dzisiaj, jeśli usłyszycie jego głos, nie zatwardzajcie waszych serc.
8 Kwani kama Yoshua aliwapatia pumziko, Mungu asingelisema juu ya siku nyingine.
Gdyby bowiem Jozue zapewnił im odpoczynek, [Bóg] nie mówiłby potem o innym dniu.
9 Kwa hiyo bado kuna Sabato ya pumziko iliyotunzwa kwa ajili ya watu wa Mungu.
A tak zostaje [jeszcze] odpoczynek dla ludu Bożego.
10 Kwani anayeingia katika pumziko la Mungu yeye mwenyewe pia amepumzika kutokana na matendo yake, kama Mungu alivyofanya katika yeye.
Kto bowiem wszedł do jego odpoczynku, on także odpoczął od swoich czynów, tak jak Bóg od swoich.
11 Kwa hiyo tuweni na shauku ya kuingia katika lile pumziko, ili kwamba asiwepo atakayeanguka katika aina ya uasi waliofanya.
Starajmy się więc wejść do owego odpoczynku, aby nikt nie wpadł w ten sam przykład niewiary.
12 Kwa maana neno la Mungu li hai na lina nguvu na linaukali kuliko upanga wowote wenye makali kuwili. Na huchoma hata kufikia kugawanya nafsi na roho, na viungo kutika uboho. Na lenye kuweza kufahamu fikira za moyo nia yake.
Słowo Boże bowiem jest żywe i skuteczne, ostrzejsze niż wszelki miecz obosieczny, przenikające aż do rozdzielenia duszy i ducha, stawów i szpiku, [zdolne] rozsądzić myśli i zamiary serca.
13 . Hakuna kilichoumbwa kilichojificha katika uso wa Mungu. Badala yake, kila kitu ni dhahiri na wazi kwa macho ya mmoja ambaye ni lazima tutoe hesabu.
[Żadne] stworzenie nie ukryje się przed nim, przeciwnie, wszystko jest obnażone i odkryte przed oczami tego, któremu musimy zdać sprawę.
14 Baadaye kuwa na kuhani mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu Mwana wa Mungu, kwa uimara tushikilie imani zetu.
Mając więc wielkiego najwyższego kapłana, który przeszedł przez niebiosa, Jezusa, Syna Bożego, trzymajmy się [naszego] wyznania.
15 Kwa kuwa hatuna kuhani mkuu ambaye hawezi kuhisi huruma kwa ajili udhaifu wetu, lakini yeye ambaye kwa njia zote amekuwa akijaribiwa kama sisi, isipokuwa yeye ambaye hana dhambi.
Nie mamy bowiem najwyższego kapłana, który by nie mógł współczuć naszym słabościom, lecz kuszonego we wszystkim podobnie jak [my], ale bez grzechu.
16 Na tuje kwa ujasiri katika kiti cha enzi cha neema, ili kwamba tupokee rehema na kupata neema ya kutusaidia wakati wa hitaji.
Przystąpmy więc z ufnością do tronu łaski, abyśmy dostąpili miłosierdzia i znaleźli łaskę ku pomocy w stosownej chwili.