< Wahebrania 4 >

1 Kwa hiyo, tunapaswa kuwa makini ili kwamba kati yenu asiwepo hata mmoja atakayeonekana kushindwa kufikia ahadi endelevu ya kuingia katika pumzika la Mungu.
Hinu, ndava Chapanga atipeli lilagizi ya kupokela pumulilo na tijiyangalila muni hati mmonga winu, angahotola kupata pumulilo lenilo.
2 Kwani tumekuwa na habari njema kuhusu pumziko la Mungu lililotangazwa kwetu kama Waisrael walivyokuwa nayo, lakini ujumbe huo haukuwasaidia wale ambao waliusikia bila kuunganisha imani kwa hilo.
Ndava muni tete mewawa tikokosiwi Lilovi la Bwina ngati chevakokosiliwi vandu va kadeni, vayuwini lilovi nambu yavatangatili lepi chindu, muni vala vevayuwini vaupokili lepi kwa sadika.
3 Kwa sisi, ambao tumekwisha amini-sisi ndio miongoni tutakaoingia katika lile pumuziko, Kama inavyosema, “Kama nilivyoapa kwa hasira yangu, Hawataingia katika pumziko mwangu.” Alisema hili, ingawa kazi zote alizotengeneza zilikuwa zimekamilika tangu mwanzo wa ulimwengu.
Nambu, tete vetisadika tipata pumulilo lenilo lealagizi Chapanga. Ngati cheajovili, “Penalapili mu ligoga langu, ‘Kuvya katu yati viyingila lepi pandu pangu pa pumulilo.’” Chapanga ajovili ago pamonga lihengu yaki amali kuyimala kutumbula peawumbili mulima.
4 Kwani ameshasema sehemu fulani kuhusu siku ya saba, “Mungu alipumzika siku ya saba katika yote aliyoyafanya.”
Muni Mayandiku Gamsopi gijova pandu nunuyu ndava ya ligono la saba, “Chapanga apumulili ligono la saba, alekili mahengu gaki goha.”
5 Tena ameshasema, “Hawataingia kwenye pumziko langu.”
Kangi lijambu lenili lijoviwi mewa, “Viyingila lepi katu pamulima wenikuvapela vapumulila.”
6 Kwa sababu hiyo, tangu pumziko la Mungu bado ni akiba kwa ajili ya baadhi kuingia, na tangu Waisraeli wengi ambao walisikia habari njema kuhusu pumziko lake hawakuingia kwa sababu ya kutotii,
Vandu vala vevayuwini hoti Lilovi la Bwina vapokili lepi pumulilo lenilo, ndava vabeli kuyidakila, nambu leajovili Chapanga lakona livili kwa vangi kupumulila.
7 Mungu aliweka tena siku fulani, iitwayo “Leo.” Yeye aliiongeza siku hii alipozungumza kupitia Daudi, ambaye alisema kwa muda mrefu baada ya yaliyosemwa kwanza, “Leo kama mtasikia sauti yake, msifanye mioyo yenu kuwa migumu.”
Nambu Chapanga avikili ligono lingi lelikemelewa “Lelu,” Akajova miyaka yamahele mwanakandahi mu njila ya Daudi malovi gegamali kuluwuliwa, “Ngati myuwana lwami lwa Chapanga lelu, mkoto kukita mitima yinu yinonopa.”
8 Kwani kama Yoshua aliwapatia pumziko, Mungu asingelisema juu ya siku nyingine.
Ngati Yoshua avapelili vandu avo pumulilo lenilo, Chapanga ngaajovili lepi ndava ya ligono lingi.
9 Kwa hiyo bado kuna Sabato ya pumziko iliyotunzwa kwa ajili ya watu wa Mungu.
Ndava yeniyo, kupumulila kwa vandu va Chapanga kwakona kuvili, ngati Chapanga cheapumulili ligono la saba.
10 Kwani anayeingia katika pumziko la Mungu yeye mwenyewe pia amepumzika kutokana na matendo yake, kama Mungu alivyofanya katika yeye.
Muni, kila mweiyingila pandu pa pumulilo leajovili Chapanga yati ipumulila kuhuma mulihengu laki ngati mewa Chapanga cheapumulili kuhuma mulihengu laki.
11 Kwa hiyo tuweni na shauku ya kuingia katika lile pumziko, ili kwamba asiwepo atakayeanguka katika aina ya uasi waliofanya.
Hinu, tikangamalayi kupokela pumulila lenilo, muni akotoka kuvya mundu pagati yitu mweibela kuyidakila ngati chavahengili vene.
12 Kwa maana neno la Mungu li hai na lina nguvu na linaukali kuliko upanga wowote wenye makali kuwili. Na huchoma hata kufikia kugawanya nafsi na roho, na viungo kutika uboho. Na lenye kuweza kufahamu fikira za moyo nia yake.
Lilovi la Chapanga ndi mumi na lina makakala. Na litema kuliku upanga wowoha wewitema pandi zoha. Kangi liholota mbaka pevikonganika mtima na mpungu, na mewawa litema mbaka muvinjukulundu na mahuta ga majege pevikonganika, kangi liyuyuka kuhamula mnogo na maholo ga mitima ya vandu.
13 . Hakuna kilichoumbwa kilichojificha katika uso wa Mungu. Badala yake, kila kitu ni dhahiri na wazi kwa macho ya mmoja ambaye ni lazima tutoe hesabu.
Kawaka chiwumbi chochoha chechifiyiki palongolo ya Chapanga, kila chindu chigubukuliwi njwe palongolo ya mihu gaki, mwene ndi mweihamula kila chindu chetihenga.
14 Baadaye kuwa na kuhani mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu Mwana wa Mungu, kwa uimara tushikilie imani zetu.
Hinu, tiyikamula bwina sadika yetiwungama. Muni tivii na Mteta Mkulu mweiyingili mbaka kunani kwa Chapanga, Yesu Mwana wa Chapanga.
15 Kwa kuwa hatuna kuhani mkuu ambaye hawezi kuhisi huruma kwa ajili udhaifu wetu, lakini yeye ambaye kwa njia zote amekuwa akijaribiwa kama sisi, isipokuwa yeye ambaye hana dhambi.
Ndava muni tivii na Mteta Mkulu wa Chapanga mweakutihengela lipyana, ndava ungolongondi witu, mwene alingiwi ngati tete mukila namuna nambu ambudili lepi Chapanga.
16 Na tuje kwa ujasiri katika kiti cha enzi cha neema, ili kwamba tupokee rehema na kupata neema ya kutusaidia wakati wa hitaji.
Hinu, na tichihegelela chigoda cha ulongosi cha Chapanga pepavi na ubwina, changali wogohi mweavi na ubwina, tipokela lipyana na mota wa kututangatila lukumbi lwa mang'ahiso.

< Wahebrania 4 >