< Wahebrania 3 >

1 Kwa hiyo, ndugu watakatifu, washiriki wa wito wa mbinguni, mumfikiri Yesu, Mtume na Kuhani Mkuu wa ukiri wetu.
Henu, bhalongo bhatakatifu, bhashiriki bha bhwitu bhwa kumbinguni mu mfikirilajhi Yesu, Mtume ghwa Kuhani Mbaha ghwa ukiri ghwa tete.
2 Alikuwa mwaminifu kwa Mungu aliyemteua, kama Musa alivyokuwa mwaminifu pia katika nyumba yote ya Mungu.
Ajhele mwaminifu kwa K'yara jhaan'teuili, kama Musa kyaajhele mwaminifu kabhele mu nyumba jhioha jha K'yara.
3 Kwa kuwa Yesu amehesabiwa kuwa na heshima kubwa kuliko aliyokuwa nayo Musa, kwa sababu yule anayejenga nyumba anahesabiwa kuwa na heshima kubwa kuliko nyumba yenyewe.
Kwa kujha Yesu abhalangibhu kujha ni litengu libhaha kuliko lyaajhenalu Musa, kwandabha jhola jha ijenga nyumba ibhalangibhwa kujha ni litengu libhaha kuliko nyumba jha muene.
4 Kwa kuwa kila nyumba hujengwa na mtu fulani, lakini yule anayejenga kila kitu ni Mungu.
Kwa kujha khila nyumba jhijengibhwa ni munu fulani, lakini j'hola jha ijenga khila khenu ndo K'yara.
5 Hakika Musa alikuwa mwaminifu kama mtumishi katika nyumba yote ya Mungu, akitoa ushuhuda kuhusu mambo yatakayosemwa wakati ujao.
Hakika Musa ajhele mwaminifu kama n'tumishi mu nyumba jhioha jha K'yara, akabhosya bhushuhuda kuhusu mambo ghaghibetakujobhibhwa wakati bhwawihida.
6 Lakini Kristo ni Mwana katika usimamizi wa nyumba ya Mungu. Sisi ni nyumba yake kama tutashikilia haraka katika kujiamini na fahari ya kujiamini.
Lakini Kristu ndo Muana mu bhusimamizi bhwa nyumba j'ha K'yara. Tete ndo nyumba j'ha muene kama twibetakukamulila manyata mu kwiamini ni fahari j'ha kwij'hiamini.
7 Kwa hiyo, ni kama Roho Mtakatifu asemavyo, “Leo, kama utasikia sauti yake,
Henu, ndo kama Roho Mtakatifu kyaijobha, “Lelu, kama wibetakup'eleka sauti jha muene,
8 Usiufanye moyo wako kuwa mgumu kama Waisraeli walivyofanya katika uasi, katika wakati wa kujaribiwa nyikani.
Usibhokheli muoyo bhwa j'hobhi kujha bhunonono kama Bhaisraeli kyabhakhetili mu uasi, mu wakati bhwa kujaribibhwa mu nyika.
9 Huu ulikuwa wakati ambao baba zenu waliniasi kwa kunijaribu, na wakati, kwa miaka arobaini, waliona matendo yangu.
Obho bhwajhele wakati ambabho bhadadi jhinu bhaniniasili kwa kunighela, ni bhwakati, kwa miaka arobaini, bhabhuene matendo gha nene.
10 Kwa hiyo sikufurahishwa na kizazi hicho. Nilisema, 'Wanapotea kila mara katika mioyo yao, na hawajui njia zangu.
Henu nakihobhokili lepi kizazi e'khu. Najobhili, 'Bhij'hagha khila mara mu mioyo ghya bhene, na bhamanyilepi njela sya bhene.
11 Ni kama vile nilivyoapa katika hasira yangu: hawataiingia raha yangu.”
Ndo kama vile kyandelapili mu hasira sya nene: bhibetalepi kujhingila mu raha jha nene.”
12 Muwe waangalifu, ndugu, ili kwamba usije ukawepo moyo mwovu wa kutokuamini kwa mmoja wenu, moyo ambao utakwenda mbali na Mungu aliye hai.
Mujhelayi bhaangalifu, ndongo, ili kwamba usihidi ukajha ni muoyo bhukonyofu bhwa kubelakukiera kwa mmonga bhinu, muoyo bhwa wibetakutola patali ni K'yara jhaajhele muomi.
13 Badala yake, mhamasishane kila siku kila mmoja na mwenzie, ili kila iitwapo leo mtamani, ili kwamba mmoja kati yenu asifanywe kuwa mgumu kwa udanganyifu wa dhambi.
Bhadala jhiake, mukihamasiajhi khila ligono khila mmonga ni njhinu, ili khila j'haj'hikutibhwa lelu mnoghelayi, ili kwamba mmonga bhinu asibhombekhi kuj'ha n'nonono kwa bhudesi bhwa dhambi.
14 Kwa maana tumekuwa washiriki wa Kristo ikiwa tutashikamana na uthabiti wetu kwa nguvu katika yeye kutoka mwanzo hadi mwisho.
Kwandabha tuj'hele bhashiriki bha Kristu ikajhiajhi tubetakukamulana ni bhuthabiti bhwitu kwa nghofu kwa muene kuhom kubhwandelu hadi kumwishu.
15 Kuhusu hili imekwisha kusemwa, “Leo kama mtaisikiliza sauti yake, msiifanye mioyo yenu kuwa migumu, kama Waisraeli walivyofanya wakati wa uasi.”
Kuhusu e'le limalili kujobhibhwa, “Lelu kama mwibetakujhipelekesya sauti jha muene, musijhibhombi mioyo ghya muenga kujha minonono, kama Bhaisraeli kyabhabhombili wakati bhwa uasi.”
16 Ni akina nani hao waliomsikia Mungu na kuasi? Hawakuwa wale wote ambao Musa alikuwa amewaongoza kutoka Misri?
Ndo bhaniani abhu bhabhamp'eliki K'yara ni kuasi? Bhajhelepi bhala bhoha ambabho Musa ajhele abhalonguisi kuhomela Misri?
17 Na kina nani ambao Mungu aliwakasirikia kwa miaka arobaini? Siyo pamoja na wale waliotenda dhambi, ambao miili yao iliyokufa ililala jangwani?
Na bhaniani ambabho K'yara abhadadili kwa miaka arobaini? Sio pamonga ni bhala bhabhabhombili dhambi, ambabho mibhele ghya bhene ghyaghifuili ghyagonili mu jangwa?
18 Ni akina nani aliowaapia Mungu kwamba hawataingia katika raha yake, kama siyo wale ambao hawakumtii yeye?
Ndo bhaniani bhabhalapili K'yara kujha bhibetalepi kuj'hingila mu raha j'ha muene, kama bhalalepi ambabho bhabelikun'tii muene?
19 Tunaona kwamba hawakuweza kuingia katika raha yake kwa sababu ya kutokuamini.
Twilola kujha bhabhwesililepi kuj'hingila mu raha j'ha muene kwandabha j'ha kutokukiera.

< Wahebrania 3 >