< Wahebrania 13 >

1 Basi upendo wa ndugu na uendelee.
KOMAIL tewedi on limpok en jaulan!
2 Msisahau kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivi, baadhi wamewakaribisha malaika pasipo kujua.
Komail der monokela, en apwali men kairu kan. Pwe i me akai kajamoki tounlan kai, ap jaja.
3 Kumbuka wote waliomo gerezani, kana kwamba mulikuwa nao kule pamoja nao, na kama miili yenu ilitendewa kama wao.
Komail tamanda me jalidi kan, due pein komail jalidier, o irail me kaankamekam, due pein komail, me memaureki pali war.
4 Basi ndoa na iheshimiwe na wote na basi kitanda cha ndoa kifanywe kuwa safi, kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.
Karoj en wauneki inau en papaud o loj en jojamin, a me nenek o kamal akan Kot me pan kotin kadeik on irada.
5 Basi njia zenu za maisha ziwe huru katika upendo wa pesa. Muwe wanoridhika na vitu mulivyonavyo, kwani Mungu mwenyewe alisema, “Sitawaacha ninyi kamwe, wala kuwatelekeza ninyi.”
Komail der norok moni, a komail injenemauki me mi re omail. Pwe a kotin majanier: I jota pan muei jan uk de kaje uk ala.
6 Basi tulidhikeni ili tusema kwa ujasiri, “Bawa ni msaidizi wangu; Sitaogopa. Mwanadamu aweza kunifanya nini?”
Ari, kitail ap aima on indinda: Kaun o jauaj pa i, i jota pan majak, pwe da me aramaj amen pan kak wiai on ia?
7 Wafikirieni wale walio waongoza, wale waliongea neno la Mungu kwenu, na kumbukeni matokeo ya mienendo yao; igeni imani zao.
Tamatamanda omail jaunpadak kan, me kawewe on komail er majan en Kot, alale jan arail pojon, o madamadaua imwin arail wiawia.
8 Yesu Kristo ni yeye jana, leo, na ata milele. (aiōn g165)
lejuj Krijtuj me duedueta, aio, ran wet, o kokolata. (aiōn g165)
9 Usije ukaongozwa na mafundisho mbalimbali ya kigeni kwani ni vizuri kwamba moyo ujengwe kwa neema, na siyo kwa sheria kuhusu chakula hayo hayatawasaidia wale wanaoishi kwa hayo.
Komail ender wukiwukki jili padak likam akai; pwe pai kajampwal eu, monion atail en tenetenela, me kin wiauiki mak, it kaidin ni kijin mana, me jo kadopa on, me kin apapwali.
10 Tunayo madhabau ambayo wale wanaotumika ndani ya hekalu hawana haki ya kula.
Atail pei jaraui mia, me jota mau on, irail en tunole jan, me kin papa nan im likau.
11 Kwa kuwa damu za wanyama, zilizotolewa dhabihu kwa ajili ya dhambi, ililetwa na kuhani mkuu ndani ya sehemu takatifu, lakini miili yao ilichomwa nje ya kambi.
Pwe war en man akan, me ntar wijikilon on nan pera jaraui ren jamero lapalap aki dip, Ijijer likin kanim.
12 Kwa hiyo Yesu naye aliteseka nje ya lango la mji, hili kwamba kuweka wakfu watu kwa Mungu kupitia damu yake.
Iduen lejuj, pwen kajaraula aramaj akan ki nta, kamela likin kanim.
13 Na kwa hiyo twendeni kwake nje ya kambi, tukizibeba fadheha zake.
Kitail ari en koie lan re a likin kanim o ian i kankaururla.
14 Kwani hatuna makao ya kudumu katika mji huu. Badala yake tutafute mji ambao unakuja.
Pwe jota atail kanim potopot met, a kitail raparapaki eu, me mi mo’tail.
15 Kupitia Yesu mnapaswa mara kwa mara kujitoa sadaka ya kumtukuza Mungu, kumsifu kwamba tunda la midomo yetu likili jina lake.
Kitail ari poden maironki kapin on Kot ren (lejuj); iei wan kilin aua, me kadededa mar a.
16 Na usisahau kufanya mazuri na kusadiana ninyi kwa ninyi, kwa kuwa ni kwa sadaka kama hiyo ndiyo Mungu hupendezwa sana.
Wiawia mau o kijakij, komail der monokela, pwe i mairon me Kot kotin kupura.
17 Tiini na kujishusha kwa viongozi wenu, kwani wanaendelea kuwalinda kwa ajili ya nafsi zenu, kama wale watakaotoa hesabu. Tiini ili kwamba viongozi wenu waweze kuwatunza kwa furaha, na sio kwa huzuni, ambayo haitawasaidia.
Peiki on omail kaun akan o duki on irail! Pwe re kin tauli kin nen omail, duen me pan pakajaui ren Kot, pwe ren wiawia mepukat ni peren, a jo ni injenjued, pwe i me japai on komail.
18 Tuombeni, kwani tuna uhakikwa kwamba tuna dhamira njema, tunatamani kuishi maisha ya heshima katika mambo yote.
Kapakapa kin kit. Je kin peren kida atail injen mau, o je kin nantion wiawia mau ren aramaj karoj.
19 Na nyote ninawatia moyo zaidi mfanye hivi, ili kwamba niweze kurudi kwenu hivi karibuni.
I panaui komail en porijok wia met, pwe i en kak pitipit pwaralan komail.
20 Sasa Mungu wa amani, ambaye aliwaleta tena kutoka kwa wafu mchungaji mkuu wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano la milele, (aiōnios g166)
A Kot en popol, me kotin kaiajadar Jilepan jip lapalap, iei atail Kaun lejuj jan ren me melar akan, ki ntan inau joutuk, (aiōnios g166)
21 Atawapa uwezo kwa kila jambo zuri kufanya mapenzi yake, akifanya kazi ndani yetu iliyo njema ya kupendeza machoni pake, kupitia Yesu Kristo, kwake uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
I en kotin kamaui komail en kapwaiada kupur a o jon en wiawia mau ren lejuj Krijtuj. I me udan linan kokolata! Amen. (aiōn g165)
22 Sasa ninakutia moyo, ndugu, kuchukualiana na neno la kutia moyo ambalo kwa ufupi nililiandika kwenu.
Ri ai kan, i panaui komail, peiki on ai panau wet. Pwe I intin won komail er motomot.
23 Fahamu kwamba ndugu yetu Timotheo ameshaachiwa huru, ambaye pamoja naye nitawaona kama atakuja hivi karibuni.
Komail aja, ri atail Timoteuj jaladokelar; ma a pan madan don ia, i pan ian i kilan komail.
24 Salimia viongozi wako wote na waumini wote. Wale wanaotoka Italia wanakusalimia.
Ranamau on omail kaun akan karoj o me jaraui kan karoj. Men Italien kan ar ranamau won komail.
25 Na neema iwe nanyi nyote.
Mak en mi re omail karoj!

< Wahebrania 13 >