< Wahebrania 13 >

1 Basi upendo wa ndugu na uendelee.
Muyendelela kuganana chiulongo.
2 Msisahau kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivi, baadhi wamewakaribisha malaika pasipo kujua.
Mkoto kukosiwa kuvapokela vayehe munyumba zinu, muni kwa kukita genago vandu vangi vavapokili vamitumu va kunani kwa Chapanga changamanya.
3 Kumbuka wote waliomo gerezani, kana kwamba mulikuwa nao kule pamoja nao, na kama miili yenu ilitendewa kama wao.
Mvakumbukayi vandu vevavi muchifungu ngati mukukungiwi nawu. Mewawa muvakumbukayi veving'aiswa ngati mung'aiswa pamonga nawu.
4 Basi ndoa na iheshimiwe na wote na basi kitanda cha ndoa kifanywe kuwa safi, kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.
Mambu ga kugega mdala giganikiwa kutopeswa na vandu voha, mgosi na mdala vayepa uhakasa, ndava muni Chapanga yati akuvahamula vagoni na vakemi.
5 Basi njia zenu za maisha ziwe huru katika upendo wa pesa. Muwe wanoridhika na vitu mulivyonavyo, kwani Mungu mwenyewe alisema, “Sitawaacha ninyi kamwe, wala kuwatelekeza ninyi.”
Mkoto kuvya vandu va kugana mashonga, mkola na vindu vyemuvili navyu. Chapanga mwene ajovili, “Katu yati nikukuleka lepi, amala kukutaga.”
6 Basi tulidhikeni ili tusema kwa ujasiri, “Bawa ni msaidizi wangu; Sitaogopa. Mwanadamu aweza kunifanya nini?”
Ndava yeniyo tihotola kujova kwa ukekesi, “Bambu ndi mtangatila wangu, yati niyogopa lepi. Wu, mundu yati akunikita kyani?”
7 Wafikirieni wale walio waongoza, wale waliongea neno la Mungu kwenu, na kumbukeni matokeo ya mienendo yao; igeni imani zao.
Mvakumbuka vachilongosi vinu vevavakokosili lilovi la Chapanga. Mhololela ndava mwenendu wa kutama kwavi myiga sadika yavi.
8 Yesu Kristo ni yeye jana, leo, na ata milele. (aiōn g165)
Yesu Kilisitu ndi yulayula golo, lelu na magono goha gangali mwishu. (aiōn g165)
9 Usije ukaongozwa na mafundisho mbalimbali ya kigeni kwani ni vizuri kwamba moyo ujengwe kwa neema, na siyo kwa sheria kuhusu chakula hayo hayatawasaidia wale wanaoishi kwa hayo.
Mkoto kukongiwa na mawuliwu gayehe gegakuvayagisa, mitima yinu yisopewayi makakala kwa ubwina wa Chapanga, lepi kwa mawuliwu ga vyakulya, ndava mawuliwu genago gavatangatili lepi vala vevagalandili.
10 Tunayo madhabau ambayo wale wanaotumika ndani ya hekalu hawana haki ya kula.
Tete tivii na lusanja lwa luteta lwa kuhinja hinyama na vala vevavili vakona vihengela mu lindanda la Vayawudi vabesiwi kulya vindu vyevivikiwi panani yaki.
11 Kwa kuwa damu za wanyama, zilizotolewa dhabihu kwa ajili ya dhambi, ililetwa na kuhani mkuu ndani ya sehemu takatifu, lakini miili yao ilichomwa nje ya kambi.
Mteta Mkulu wa Vayawudi ipeleka ngasi ya hinyama Pandu Pamsopi Neju, ivika luteta ndava ya kumbudila Chapanga, nambu nyama za hinyama yeniyo yitinyiswa kuvala ya bwalu.
12 Kwa hiyo Yesu naye aliteseka nje ya lango la mji, hili kwamba kuweka wakfu watu kwa Mungu kupitia damu yake.
Ndava yeniyo mewawa Yesu mwene, muni ahotola kuvanyambisa vandu kwa ngasi yaki mwene, ang'aiswi na kufwa kuvala ya muji.
13 Na kwa hiyo twendeni kwake nje ya kambi, tukizibeba fadheha zake.
Hinu leka timuhambila kwenuko kuvala ya kambi, tigasindimala maligu ngati mwene cheasindimili maligu.
14 Kwani hatuna makao ya kudumu katika mji huu. Badala yake tutafute mji ambao unakuja.
Muni pamulima apa tivii lepi na muji wa kusindimala, hinu tikuulindila muji wula weubwela.
15 Kupitia Yesu mnapaswa mara kwa mara kujitoa sadaka ya kumtukuza Mungu, kumsifu kwamba tunda la midomo yetu likili jina lake.
Hinu kwa utangatila wa Yesu, tiyonjokesa kumpela Chapanga luteta lwa kumulumba, ndi ulumba weuwusiwa kwa milomo yeyisadika liina laki.
16 Na usisahau kufanya mazuri na kusadiana ninyi kwa ninyi, kwa kuwa ni kwa sadaka kama hiyo ndiyo Mungu hupendezwa sana.
Mkoto kukosiwa kuhengelana gabwina na kutangatilana, muni luteta zenizi ndi zezimganisa Chapanga.
17 Tiini na kujishusha kwa viongozi wenu, kwani wanaendelea kuwalinda kwa ajili ya nafsi zenu, kama wale watakaotoa hesabu. Tiini ili kwamba viongozi wenu waweze kuwatunza kwa furaha, na sio kwa huzuni, ambayo haitawasaidia.
Muvayidakila vachilongosi vinu na kukamula Malagizu gavi. Vene vakuvayunga wumi winu kilu na muhi, ndava yati vakumjovela Chapanga chevavahengili. Ngati mvayidakili yati vihenga lihengu lavi mu luheku, ngati muvayidakili lepi yati vihenga lihengu kwa ungolongondi, ndava chindu chenicho chikuvatangatila lepi.
18 Tuombeni, kwani tuna uhakikwa kwamba tuna dhamira njema, tunatamani kuishi maisha ya heshima katika mambo yote.
Mutiyupila. Tete tisadika njwe ngati mitima yitu yikutijovela lepi ngati tibudili, muni tigana kuhenga gabwina mu mambu magono goha.
19 Na nyote ninawatia moyo zaidi mfanye hivi, ili kwamba niweze kurudi kwenu hivi karibuni.
Nikuvayupa neju mkangamala kuniyupila kwa Chapanga, muni aniwuyisa kanyata kwinu.
20 Sasa Mungu wa amani, ambaye aliwaleta tena kutoka kwa wafu mchungaji mkuu wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano la milele, (aiōnios g166)
Chapanga wa uteke mweamyukisi Bambu witu Yesu, Mdimaji Mkulu wa mambelele kwa ngasi yeyilangisa lilaganu la chakaka magono goha gangali mwishu, (aiōnios g166)
21 Atawapa uwezo kwa kila jambo zuri kufanya mapenzi yake, akifanya kazi ndani yetu iliyo njema ya kupendeza machoni pake, kupitia Yesu Kristo, kwake uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
avakita nyenye kuvya mukangala mukila chindu chabwina chemwikita, muhotola kukita maganu gaki munjila ya Kilisitu ahenga gala gegakumganisa mwene mugati yinu. Ukulu uvya kwa Yesu Kilisitu magono na magono goha gangali mwishu! Ena. (aiōn g165)
22 Sasa ninakutia moyo, ndugu, kuchukualiana na neno la kutia moyo ambalo kwa ufupi nililiandika kwenu.
Hinu valongo, nikuvayupa neju mpokela ujumbi wenuwu wa kukangamalisa mtima. Yenivandikili mubalua yihupi.
23 Fahamu kwamba ndugu yetu Timotheo ameshaachiwa huru, ambaye pamoja naye nitawaona kama atakuja hivi karibuni.
Nigana kuvamanyisa kuvya mlongo witu Timoti amali kulekekeswa kuhuma muchifungu. Ngati akabwelayi hinu, yati nibwela nayu penibwela kwinu.
24 Salimia viongozi wako wote na waumini wote. Wale wanaotoka Italia wanakusalimia.
Muvajambusa vachilongosi vinu voha pamonga na vandu voha va Chapanga! Vamsadika va Italia vakuvajambusa.
25 Na neema iwe nanyi nyote.
Tikuvaganila mwavoha nyeye ubwina wa Chapanga.

< Wahebrania 13 >