< Wahebrania 13 >

1 Basi upendo wa ndugu na uendelee.
Láska bratrská zůstávejž mezi vámi.
2 Msisahau kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivi, baadhi wamewakaribisha malaika pasipo kujua.
Na přívětivost k hostem nezapomínejte; skrze ni zajisté někteří, nevěděvše, anděly za hostě přijímali.
3 Kumbuka wote waliomo gerezani, kana kwamba mulikuwa nao kule pamoja nao, na kama miili yenu ilitendewa kama wao.
Pomněte na vězně, jako byste spolu vězňové byli, na soužené, jakožto ti, jenž také v těle jste.
4 Basi ndoa na iheshimiwe na wote na basi kitanda cha ndoa kifanywe kuwa safi, kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.
Poctivéť jest u všech lidí manželství a lože nepoškvrněné, smilníky pak a cizoložníky souditi bude Bůh.
5 Basi njia zenu za maisha ziwe huru katika upendo wa pesa. Muwe wanoridhika na vitu mulivyonavyo, kwani Mungu mwenyewe alisema, “Sitawaacha ninyi kamwe, wala kuwatelekeza ninyi.”
Obcování vaše budiž bez lakomství, dosti majíce na tom, což máte. Onť zajisté řekl: Nikoli nenechám tebe tak, aniž tě opustím;
6 Basi tulidhikeni ili tusema kwa ujasiri, “Bawa ni msaidizi wangu; Sitaogopa. Mwanadamu aweza kunifanya nini?”
Tak abychom doufanlivě říkali: Pán spomocník můj, aniž se budu báti, by mi co učiniti mohl člověk.
7 Wafikirieni wale walio waongoza, wale waliongea neno la Mungu kwenu, na kumbukeni matokeo ya mienendo yao; igeni imani zao.
Zpomínejte na vůdce vaše, kteříž vám mluvili slovo Boží, jejichžto jaký byl cíl obcování, spatřujíce, následujtež jejich víry.
8 Yesu Kristo ni yeye jana, leo, na ata milele. (aiōn g165)
Ježíš Kristus jest včera i dnes, tentýž i na věky. (aiōn g165)
9 Usije ukaongozwa na mafundisho mbalimbali ya kigeni kwani ni vizuri kwamba moyo ujengwe kwa neema, na siyo kwa sheria kuhusu chakula hayo hayatawasaidia wale wanaoishi kwa hayo.
Učením rozličným a cizím nedejte se točiti. Výbornéť jest zajisté, aby milostí upevněno bylo srdce, a ne pokrmy, kteříž neprospěli těm, jenž se jimi vázali.
10 Tunayo madhabau ambayo wale wanaotumika ndani ya hekalu hawana haki ya kula.
Mámeť oltář, z něhož nemají moci jísti ti, jenž stánku slouží.
11 Kwa kuwa damu za wanyama, zilizotolewa dhabihu kwa ajili ya dhambi, ililetwa na kuhani mkuu ndani ya sehemu takatifu, lakini miili yao ilichomwa nje ya kambi.
Nebo kterýchž hovad krev vnášína bývá do svatyně skrze nejvyššího kněze za hřích, těch pálena bývají těla vně za stany.
12 Kwa hiyo Yesu naye aliteseka nje ya lango la mji, hili kwamba kuweka wakfu watu kwa Mungu kupitia damu yake.
Protož i Ježíš, aby posvětil lidu skrze svou vlastní krev, vně za branou trpěl.
13 Na kwa hiyo twendeni kwake nje ya kambi, tukizibeba fadheha zake.
Vyjděmež tedy k němu ven z stanů, pohanění jeho nesouce.
14 Kwani hatuna makao ya kudumu katika mji huu. Badala yake tutafute mji ambao unakuja.
Neboť nemáme zde města zůstávajícího, ale onoho budoucího hledáme.
15 Kupitia Yesu mnapaswa mara kwa mara kujitoa sadaka ya kumtukuza Mungu, kumsifu kwamba tunda la midomo yetu likili jina lake.
Protož skrze něho obětujme Bohu obět chvály vždycky, to jest ovoce rtů, oslavujících jméno jeho.
16 Na usisahau kufanya mazuri na kusadiana ninyi kwa ninyi, kwa kuwa ni kwa sadaka kama hiyo ndiyo Mungu hupendezwa sana.
Na účinnost pak a na sdílnost nezapomínejte; nebo v takových obětech zvláštní svou libost má Bůh.
17 Tiini na kujishusha kwa viongozi wenu, kwani wanaendelea kuwalinda kwa ajili ya nafsi zenu, kama wale watakaotoa hesabu. Tiini ili kwamba viongozi wenu waweze kuwatunza kwa furaha, na sio kwa huzuni, ambayo haitawasaidia.
Povolni buďte správcům vašim a poslušni buďte jich; oniť zajisté bdějí nad dušemi vašimi, jako ti, kteříž počet mají vydati; ať by to s radostí činili, a ne s stýskáním. Neboť by vám to nebylo užitečné.
18 Tuombeni, kwani tuna uhakikwa kwamba tuna dhamira njema, tunatamani kuishi maisha ya heshima katika mambo yote.
Modltež se za nás; doufámeť zajisté, že dobré svědomí máme, jakožto ti, kteříž se chceme ve všem chvalitebně chovati.
19 Na nyote ninawatia moyo zaidi mfanye hivi, ili kwamba niweze kurudi kwenu hivi karibuni.
Pročež prosímť vás, abyste to hojněji činili, abych tím dříve navrácen byl vám.
20 Sasa Mungu wa amani, ambaye aliwaleta tena kutoka kwa wafu mchungaji mkuu wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano la milele, (aiōnios g166)
Bůh pak pokoje, kterýž toho velikého pro krev smlouvy věčné Pastýře ovcí vzkřísil z mrtvých, Pána našeho Ježíše, (aiōnios g166)
21 Atawapa uwezo kwa kila jambo zuri kufanya mapenzi yake, akifanya kazi ndani yetu iliyo njema ya kupendeza machoni pake, kupitia Yesu Kristo, kwake uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Učiniž vás způsobné ve všelikém skutku dobrém, k činění vůle jeho, působě v vás to, což jest libé před obličejem jeho, skrze Jezukrista, jemuž sláva na věky věků. Amen. (aiōn g165)
22 Sasa ninakutia moyo, ndugu, kuchukualiana na neno la kutia moyo ambalo kwa ufupi nililiandika kwenu.
Prosímť pak vás, bratří, snestež trpělivě slovo napomenutí tohoto; neboť jsem krátce psal vám.
23 Fahamu kwamba ndugu yetu Timotheo ameshaachiwa huru, ambaye pamoja naye nitawaona kama atakuja hivi karibuni.
Věztež o bratru Timoteovi, že jest propuštěn, s kterýmžto, (přišel-li by brzo), navštívím vás.
24 Salimia viongozi wako wote na waumini wote. Wale wanaotoka Italia wanakusalimia.
Pozdravtež všech správců svých, i všech svatých. Pozdravují vás bratři z Vlach.
25 Na neema iwe nanyi nyote.
Milost Boží se všemi vámi. Amen. K Židům psán jest z Vlach po Timoteovi.

< Wahebrania 13 >