< Wahebrania 13 >

1 Basi upendo wa ndugu na uendelee.
dun mre vayi ta sun kpaba
2 Msisahau kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivi, baadhi wamewakaribisha malaika pasipo kujua.
na kparisun ni bubu kpa bi tsiri na ni bubu ti na yi bbi kpa malaika wu bina to na
3 Kumbuka wote waliomo gerezani, kana kwamba mulikuwa nao kule pamoja nao, na kama miili yenu ilitendewa kama wao.
ya bin ba ha niikoh tru ti na bin he ni ba ne mi sor ya bi ba hemi kpokpo yah na bi he baba
4 Basi ndoa na iheshimiwe na wote na basi kitanda cha ndoa kifanywe kuwa safi, kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.
dun ko anh mla grama ti dun kbanci grami sun tsatsra rji ni tron bi kur ni mba ndi ni bi tre
5 Basi njia zenu za maisha ziwe huru katika upendo wa pesa. Muwe wanoridhika na vitu mulivyonavyo, kwani Mungu mwenyewe alisema, “Sitawaacha ninyi kamwe, wala kuwatelekeza ninyi.”
dun sorbu rju ni bubu sun kubu ikpe wu he ne wu yo sorme ni wu rji ni tun ma tre me na brin jina me na dun kpe ti yina
6 Basi tulidhikeni ili tusema kwa ujasiri, “Bawa ni msaidizi wangu; Sitaogopa. Mwanadamu aweza kunifanya nini?”
ki kun su ni dangana ki he ni gbagadi ni tre baci bu wa wa yi ni zonta me na kulu si siri na to a ge idin ni ya ti nimu?
7 Wafikirieni wale walio waongoza, wale waliongea neno la Mungu kwenu, na kumbukeni matokeo ya mienendo yao; igeni imani zao.
bi ka mla ya bi ninkonbi wa bi gbito ni yu ne tun tre rji bi ka mla yani din tsar bi ni kpa tsiro bi ti dindi ba
8 Yesu Kristo ni yeye jana, leo, na ata milele. (aiōn g165)
yesu Almasihu a riri lare ba luwa na he tutur (aiōn g165)
9 Usije ukaongozwa na mafundisho mbalimbali ya kigeni kwani ni vizuri kwamba moyo ujengwe kwa neema, na siyo kwa sheria kuhusu chakula hayo hayatawasaidia wale wanaoishi kwa hayo.
na kabye ni bi shi ji tsron kan kan a he nibi ni me sor mu ni ti bin ana he ni dunma ni birina bin wa bana zon ba ri bi wa ba kambani Yesu
10 Tunayo madhabau ambayo wale wanaotumika ndani ya hekalu hawana haki ya kula.
ki he ni gabagadi dun ni me biti chucun ne me hakali ba he ni gbele wu rii nituna
11 Kwa kuwa damu za wanyama, zilizotolewa dhabihu kwa ajili ya dhambi, ililetwa na kuhani mkuu ndani ya sehemu takatifu, lakini miili yao ilichomwa nje ya kambi.
i yiri ine ma bin me iji wa ba wu ba ni tun tigba ba krin den ye ni inji priest nime tsatsra bubu ba vun kpama na gun nithogon gbun
12 Kwa hiyo Yesu naye aliteseka nje ya lango la mji, hili kwamba kuweka wakfu watu kwa Mungu kupitia damu yake.
yesu me tiyah nikogon get wu migbu dun ni ba kban ijii ba ni ta mgon yima
13 Na kwa hiyo twendeni kwake nje ya kambi, tukizibeba fadheha zake.
dun ki ba hi ne gogon gbu ni shan ma
14 Kwani hatuna makao ya kudumu katika mji huu. Badala yake tutafute mji ambao unakuja.
kina he ne gbu wu ka klena ki yah rin wa ne yah
15 Kupitia Yesu mnapaswa mara kwa mara kujitoa sadaka ya kumtukuza Mungu, kumsifu kwamba tunda la midomo yetu likili jina lake.
ni ta ikho ma cacun kita na iton ni gbre rji gbre a wu lan wutre iyunbu waki kwikini gbashu ni gbresan
16 Na usisahau kufanya mazuri na kusadiana ninyi kwa ninyi, kwa kuwa ni kwa sadaka kama hiyo ndiyo Mungu hupendezwa sana.
kina kparisu ni ti kpe dindina ni zon rin huna rji ni grin kpukpome ni bibi iton
17 Tiini na kujishusha kwa viongozi wenu, kwani wanaendelea kuwalinda kwa ajili ya nafsi zenu, kama wale watakaotoa hesabu. Tiini ili kwamba viongozi wenu waweze kuwatunza kwa furaha, na sio kwa huzuni, ambayo haitawasaidia.
wo ni hu bi nikhubi ba ti dun gbin yi ni tun sur bi na bin ba no blanba bi wlo tre ba baba in bati dun yo yi ne me gri ba ni funba bi ta ti ni fun ana zon yin na
18 Tuombeni, kwani tuna uhakikwa kwamba tuna dhamira njema, tunatamani kuishi maisha ya heshima katika mambo yote.
bra nita ni tawu ni kini to ki he ni mrin dindi ki yin burini ki tsor wa a he dindi ni me bu wawu
19 Na nyote ninawatia moyo zaidi mfanye hivi, ili kwamba niweze kurudi kwenu hivi karibuni.
me no yi imrin ni dun yi tina yi ni me ye ni yi kbla kbla
20 Sasa Mungu wa amani, ambaye aliwaleta tena kutoka kwa wafu mchungaji mkuu wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano la milele, (aiōnios g166)
en rji wu no si wa a ghrin ye ne go ni kyu ni kikle idin wu ya intma ba ni baci yesu wa a no yinma wa a ka klema nda yo yi (aiōnios g166)
21 Atawapa uwezo kwa kila jambo zuri kufanya mapenzi yake, akifanya kazi ndani yetu iliyo njema ya kupendeza machoni pake, kupitia Yesu Kristo, kwake uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
a zon tun bi ni kpe wa abi na ti wa surma so ti dun ni tunbu wa abi ni wu nita igon yesukristi dun kunku gba shu na a naki niwu tutur amin (aiōn g165)
22 Sasa ninakutia moyo, ndugu, kuchukualiana na neno la kutia moyo ambalo kwa ufupi nililiandika kwenu.
mrivanyi ziza me no yi gbegble dun yi vun dre ni me wa me no yi gbegble tre wa me anh ni yiwu
23 Fahamu kwamba ndugu yetu Timotheo ameshaachiwa huru, ambaye pamoja naye nitawaona kama atakuja hivi karibuni.
me so dun yi to vanyi bu Timothy ba ka cuwo wa me to yi be ye gbagbla
24 Salimia viongozi wako wote na waumini wote. Wale wanaotoka Italia wanakusalimia.
cin bi nekun bi ni mrivanyi bi wa ba whu rji ni italy ci ba
25 Na neema iwe nanyi nyote.
du tibi ha yi wa wu

< Wahebrania 13 >