< Wahebrania 12 >
1 Kwahiyo, kwa kuwa tumezungukwa na wingu kubwa la mashaidi, na tutupe kila kitu kinacho tulemea pamoja na dhambi ambayo inatuzingira kwa urahisi. Tupige mbio kwa saburi katika mashindano yaliyowekwa mbele yetu.
ahei naki undi gbugbuu ba kata ni yiri shubi yi u kle ni tre ukika ko gye cuwo wa ani nawa ita ni tau ni nla tre wa anigba ta uni son bu vu sur ni tsar wa a hei ni koshishibu
2 Tuyaelekeze macho yetu kwa Yesu, aliye mwanzilishi na mwenye kutimiliza imani yetu, ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake alistahmili msalaba, akiidharau aibu yake, na akakaa chini mkono wa kulia wa kiti cha enzi cha Mungu.
uki ka yo shishi mbu ni irji wa wau yi wu mumla utaba ace tere ujaji ugyawa hei ni koshishima wa vu sur ni giciye da wur sur le ni shan wakuson niwo kori wukur siyi allah
3 Maana mtafakarini yeye aliye stahimili maneno ya chuki kutoka kwa wenye dhambi, dhidi yake mwenyewe ili kwamba msije mkachoka au kuzimia mioyo yenu.
naki bika rhimre ma uwa vu sur yiri adawana nla tere ni na du yi wuton ko bika bacuwo na
4 Hamjataabika au kuteseka mkishindana na dhambi kiasi cha kuishiwa damu.
bina kle gbangba ni gbi sur ni nla tr wa tsar wa ukayi bi le rina wu bikparisu ni tere wa ba hla nitere ni mini
5 Tena mmesahau kule kutiwa moyo ambako kunawaelekeza kama watoto wa kiume: “Mwanangu, usiyachukuwe kwa wepesi marudia ya Bwana, wala usikate tamaa unapo rekebishwa na yeye.”
vur mu na banhoron rji ni ro na wu bi yi me na se niton wa bano horonma
6 Kwa kuwa Bwana humrudi yeyote ambaye anampenda, na humwadhibu kila mwana ambaye humpokea.
anaki ba wu irji ani horon ni biwa wa kpayeme ni ba wani hukunta ni biwa a kpa ba
7 Stahimili majaribu kama kurudiwa. Mungu hushughulika nanyi kama anavyoshughulika na watoto, maana ni mtoto yupi ambaye baba yake hawezi kumrudi?
vusur niya ni son wu horo irji ni tei ni na bi minima u vur rime wa tema na no horo na?
8 Lakini kama hakuna kurudiwa, ambako sisi sote tunashiriki, basi ninyi ni haramu na si watoto wake.
wubi tana hei ni horona na ind bariba hei niwu bishegukena ubina minina
9 Zaidi ya yote, tulikuwa na baba zetu kidunia wa kuturudi, na tuliwaheshimu. Je haitupasi hata zaidi kumtii Baba wa kiroho na kuishi?
u hei na kiki hei ni bate ugbugbuu wa ba hurance nita wuki no ba daraja ba wa ana wa kiyi ni ubanmu wu ruhuniya ni sona na
10 Kwa hakika baba zetu walituadhibu kwa miaka michache kama ilivyoonekana sawa kwao, lakini Mungu hutuadhibu kwa faida yetu ili tushiriki utakatifu wake.
u ba tembu ba no ta horo wu ton zizama ubi ma urji wa ani hurace nita nikon wu bimawa ki fe rabo ni mitsarkinma
11 Hakuna adhabu inayofurahisha kwa wakati huo. Huwa na maumivu. Hata hivyo, baadaye huzaa tunda la amani ya utauwa kwa wale waliofundishwa nayo.
u ba horo wa abi ni ton ma u hei ni loma u yar sur uani gni mini u ruhaniya ni adalci ni du biwa ba gni ba nimi
12 Kwa hiyo inueni mikono yenu iliyolegea na kufanya magoti yenu yaliyo dhaifu kuwa yenye nguvu tena;
wu anaki u bika mla wo bi tei wa ani reto ni kpanubi wa ba kaduwa
13 nyosheni mapito ya nyayo zenu, ili kwamba yeyote aliye mlemavu hataongozwa upotevuni lakini apate kuponywa.
bika wu kon wa gegere me wu kpe wa a vu kuma ni ko san dunazina waka se
14 Tafuteni amani na watu wote, na pia utakatifu ambao bila huo hakuna atakayemwona Bwana.
bika wa son se ni kpabi nirayuwa wutsarki wa ana hei tokina bandi wa ani to rji
15 Muwe waangalifu ili kwamba asiwepo atakayetengwa mbali na neema ya Mungu, na kwamba lisije shina la uchungu litakalochipuka na kusababisha shida na kukengeusha wengi.
mla tumbi tei ni du ri na fe alheri Allah na u du kpe u tushe wu rima dutsiro ni yi da gyi kpe wu fitina wa gbugbuu nikpabi baka gurbata ni tumba
16 Angalieni kuwa hakuna zinaa au mtu asiye mtauwa kama vile Esau, ambaye kwa sababu ya mlo mmoja aliuza haki yake ya kuzaliwa.
bika tzir sereme ni duba nato bi wamba niyi na nibi wa bana hei ni ibada niyi na Isuwa wa don biri wa ka le ni son wu ver wu mumla
17 Kwa kuwa mnajua kwamba baadaye, alipotamani kurithi baraka, alikataliwa, kwa sababu hakupata fursa ya kutubu pamoja na baba yake, hata ingawa alitafuta sana kwa machozi.
bika to ni kpayeme nawa a tei yo sur waani son za u albarka u koshishi u bana kpayena anafe ton wu bre nla tere mana wa naki obre ni yimashi
18 Kwa kuwa hamkuja katika mlima ambao unaweza kuguswa, Mlima unaowaka moto, giza, kukatisha tamaa na dhoruba.
bi na ye nigbilu wa ba sawo na wa gbulu wu rilu ni bwu ni tukuki ni tsin wubwu ni hadari
19 Hamkuja kwa sauti za tarumbeta, au kwa maneno yatokanayo na sauti ambayo ilisababisha kila wasikiao wasiombe neno lolote kusemwa kwao.
bina ye ni vri kpunu u no se sir ni nla wu no sesir na wu bi sere ton ba bre nidu ba na wo gana
20 Kwa kuwa hawakuweza kuvumilia kile kilichoamuliwa: “Ikiwa hata mnyama agusaye mlima, lazima apigwe kwa mawe.”
u bana son u vu sur na nikpa wa ba yo doka ni tuma na uko daba a taba nigbulu ani ta ni teta
21 Ya kutisha zaidi aliyoyaona Musa alisema, “Nimeogopa sana kiasi cha kutetemeka”.
wa kpe wu sesir gbugbuu wa musa tere me son sesir me firgita
22 Badala yake, mmekuja mlima Sayuni na katika mji wa Mungu aliye hai, Yerualem ya mbinguni, na kwa malaika elfu kumi wanaosherehekea.
wa hei naki u biye ni gbulu zron ni mi gbuu wa rji wu rai wu shu ni wu urushalimo ni wulo dubu mini ba gyir
23 Mmekuja katika kusanyiko la wazaliwa wa kwanza wote waliosajiliwa mbinguni, kwa Mungu hakimu wa wote, na kwa roho za watakatifu ambao wamekamilishwa.
wu biye ni shubi mini bi mumla waba nha nha wu shulu bi kaye ni rji wa wau yi u bla kogye naki he ni ruhu wu dalai wa ba riga da tsrkake
24 Mmekuja kwa Yesu mpatanishi wa agano jipya, na kwa damu iliyonyunyizwa ambayo hunena mema zaidi kuliko damu ya Habili.
wu wa u kpa rji u wa wau a matsakanci wu sabon alkawari ni yi wa babwa wa tere zun ni yi Habila
25 Angalia kuwa usije ukamkataa mmoja ambaye anenaye. Kwa kuwa kama hawakuepuka walipomkataa mmoja aliye waonya duniani, kwa hakika hatutaepuka ikiwa tutageuka mbali kutoka kwa yule atuonyaye kutoka mbinguni.
na kabi ni wa asi tere ubana gbiju na wa ba kaba niwa ba ba gbi ton na ni nigbugbuu u feme ba tsira i kita kama gon tei wa ase gbiton mbu ni shu
26 Kwa wakati huo sauti yake ilitikisa dunia. Lakini sasa ameahidi na kunena, “Bado mara nyingine tena sitatikisa dunia pekee, bali mbingu pia.”
uni ton ri ikro ma a guru gbugbuu u zizaa a yi alkawali da tere iton a hei wa me guru ana gbugbuu me gye na du ni shulu
27 Maneno haya, “Mara moja tena,” inaonesha kutoweshwa kwa vitu vile vitetemeshwavyo, hivi ni, vitu vile ambavyo vimeumbwa, ili kwamba vile vitu visivyotetemeshwa vibakie.
u nla tere bayi har ila zizaa a tsor cunu kpe biwa gunu wa to kpe wa ba tei du kpe wa bana gunu wa ba hei
28 Kwa hiyo, tupokee ufalme ambao hautetemeshwi, tufurahi katika hali ya kumwabudu Mungu kwa kukubali pamoja na kunyenyekea katika kicho,
wa naki fe bubu son wa ana guru bana wuji ka son u gir ni iri son wu zizaa wa ki yi sujadani rji ni kpa ye niwu ni wu ni na son ma wu bima
29 kwa maana Mungu wetu ni moto ulao.
ana ji irjimbu a lu wu gon