< Wahebrania 11 >
1 Sasa imani ni hakika aliyo nayo mtu wakati atarajiapo kitu fulani kwa ujasiri. Ni hakika ya kitu ambacho bado hakijaonekana.
vi"svaasa aa"sa. msitaanaa. m ni"scaya. h, ad. r"syaanaa. m vi. sayaa. naa. m dar"sana. m bhavati|
2 Kwa sababu hii mababu zetu walithibitika kwa imani yao.
tena vi"svaasena praa nco lokaa. h praamaa. nya. m praaptavanta. h|
3 Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa amri ya Mungu, ili kwamba kile kinachoonekana hakikutengenezwa kutokana na vitu ambavyo vilikuwa vinaonekana. (aiōn )
aparam ii"svarasya vaakyena jagantyas. rjyanta, d. r.s. tavastuuni ca pratyak. savastubhyo nodapadyantaitad vaya. m vi"svaasena budhyaamahe| (aiōn )
4 Ilikuwa kwa sababu ya imani kwamba Habili alimtolea Mungu sadaka ya kufaa kuliko alivyofanya Kaini. Ilikuwa ni kwa sababu hii kwamba alisifiwa kuwa mwenye haki. Mungu alimsifu kwa sababu ya zawadi alizoleta. Kwa sababu hiyo, Habili bado ananena, ingawa amekufa.
vi"svaasena haabil ii"svaramuddi"sya kaabila. h "sre. s.tha. m balidaana. m k. rtavaan tasmaacce"svare. na tasya daanaanyadhi pramaa. ne datte sa dhaarmmika ityasya pramaa. na. m labdhavaan tena vi"svaasena ca sa m. rta. h san adyaapi bhaa. sate|
5 Ilikuwa kwa imani kwamba Enoko alichukuliwa juu na hakuona mauti. “Hakuonekana, kwa sababu Mungu alimchukua” kwa vile ilinenwa juu yake kuwa alimpendeza Mungu kabla ya kuchukuliwa juu.
vi"svaasena hanok yathaa m. rtyu. m na pa"syet tathaa lokaantara. m niita. h, tasyodde"sa"sca kenaapi na praapi yata ii"svarasta. m lokaantara. m niitavaan, tatpramaa. namida. m tasya lokaantariikara. naat puurvva. m sa ii"svaraaya rocitavaan iti pramaa. na. m praaptavaan|
6 Pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu, kwa kuwa ajaye kwa Mungu lazima aamini kwamba Mungu anaishi na kwamba huwapatia zawadi wale wamtafutao.
kintu vi"svaasa. m vinaa ko. apii"svaraaya rocitu. m na "saknoti yata ii"svaro. asti svaanve. silokebhya. h puraskaara. m dadaati cetikathaayaam ii"svara"sara. naagatai rvi"svasitavya. m|
7 Ilikuwa ni kwa imani kwamba Nuhu, akiwa ameonywa na Mungu kuhusiana na mambo ambayo hayakuwa yameonekana, kwa heshima ya ki Mungu alitengeneza safina kwa ajili ya kuiokoa familia yake. Kwa kufanya hivi, aliuhukumu ulimwengu na akawa mrithi wa haki ambayo huja kupitia imani.
apara. m tadaanii. m yaanyad. r"syaanyaasan taanii"svare. naadi. s.ta. h san noho vi"svaasena bhiitvaa svaparijanaanaa. m rak. saartha. m pota. m nirmmitavaan tena ca jagajjanaanaa. m do. saan dar"sitavaan vi"svaasaat labhyasya pu. nyasyaadhikaarii babhuuva ca|
8 Ilikuwa ni kwa imani kwamba Ibrahimu, alipoitwa alitii na kwenda mahali ambapo alipaswa kupokea kama urithi. Alitoka bila kujua mahali gani alikuwa anakwenda.
vi"svaasenebraahiim aahuuta. h san aaj naa. m g. rhiitvaa yasya sthaanasyaadhikaarastena praaptavyastat sthaana. m prasthitavaan kintu prasthaanasamaye kka yaamiiti naajaanaat|
9 Ilikuwa ni kwa imani kwamba aliishi katika nchi ya ahadi kama mgeni. Aliishi katika mahema pamoja na Isaka na Yakobo, warithi wenzake wa ahadi ile ile.
vi"svaasena sa pratij naate de"se parade"savat pravasan tasyaa. h pratij naayaa. h samaanaa. m"sibhyaam ishaakaa yaakuubaa ca saha duu. syavaasyabhavat|
10 Hii ni kwa sababu alitarajia kuupata mji ambao mwenye kuubuni na mjenzi wake angelikuwa ni Mungu.
yasmaat sa ii"svare. na nirmmita. m sthaapita nca bhittimuulayukta. m nagara. m pratyaik. sata|
11 Ilikuwa ni kwa imani kwamba Ibrahimu, na Sara mwenyewe, walipokea nguvu ya kutunga mimba ingawa walikuwa wazee sana, kwa kuwa walimuona Mungu kuwa mwaminifu, ambaye aliwaahidia mtoto wa kiume.
apara nca vi"svaasena saaraa vayotikraantaa santyapi garbhadhaara. naaya "sakti. m praapya putravatyabhavat, yata. h saa pratij naakaari. na. m vi"svaasyam amanyata|
12 Kwa hiyo pia kutoka kwa mtu huyu mmoja ambaye alikuwa amekaribia kufa wakazaliwa watoto wasiohesabika. Walikuwa wengi kama nyota za angani na wengi kama mbegu za mchanga katika ufukwe wa bahari.
tato heto rm. rtakalpaad ekasmaat janaad aakaa"siiyanak. satraa. niiva ga. nanaatiitaa. h samudratiirasthasikataa iva caasa. mkhyaa lokaa utpedire|
13 Hawa wote walikufa katika imani pasipo kupokea ahadi. Isipokuwa, wakiwa wameziona na kuzikaribisha kwa mbali, walikiri kwamba walikuwa wageni na wapitaji juu ya nchi.
ete sarvve pratij naayaa. h phalaanyapraapya kevala. m duuraat taani niriik. sya vanditvaa ca, p. rthivyaa. m vaya. m vide"sina. h pravaasina"scaasmaha iti sviik. rtya vi"svaasena praa. naan tatyaju. h|
14 Kwa wale wasemao mambo kama haya wanaweka bayana kuwa wanatafuta nchi yao wenyewe.
ye tu janaa ittha. m kathayanti tai. h pait. rkade"so. asmaabhiranvi. syata iti prakaa"syate|
15 Kwa kweli, kama wangekuwa wakiifikiria nchi ambayo kwayo walitoka, wangelikuwa na nafasi ya kurejea.
te yasmaad de"saat nirgataasta. m yadyasmari. syan tarhi paraavarttanaaya samayam alapsyanta|
16 Lakini kama ilivyo, wanatamani nchi iliyo bora, ambayo, ni ya kimbingu. Kwa hiyo Mungu haoni aibu kuitwa Mungu wao, kwa kuwa ametayarisha mji kwa ajili yao.
kintu te sarvvotk. r.s. tam arthata. h svargiiya. m de"sam aakaa"nk. santi tasmaad ii"svarastaanadhi na lajjamaanaste. saam ii"svara iti naama g. rhiitavaan yata. h sa te. saa. m k. rte nagarameka. m sa. msthaapitavaan|
17 Ilikuwa ni kwa imani kwamba Ibrahimu baada ya kujaribiwa, alimtoa Isaka. Ndiyo, yeye ambaye alipokea kwa furaha ahadi, alimtoa mwanawe wa pekee,
aparam ibraahiima. h pariik. saayaa. m jaataayaa. m sa vi"svaaseneshaakam utsasarja,
18 ambaye juu yake ilinenwa, “Kutoka kwa Isaka uzao wako utaitwa.”
vastuta ishaaki tava va. m"so vikhyaasyata iti vaag yamadhi kathitaa tam advitiiya. m putra. m pratij naapraapta. h sa utsasarja|
19 IbrahImU alijua kwamba Mungu alikuwa na uwezo wa kumfufua Isaka kutoka katika wafu, na kwa kuzungumza kwa lugha ya maumbo, alimpokea.
yata ii"svaro m. rtaanapyutthaapayitu. m "saknotiiti sa mene tasmaat sa upamaaruupa. m ta. m lebhe|
20 Ilikuwa ni kwa imani kwamba Isaka alimbariki Yakobo na Esau kuhusu mambo yajayo.
aparam ishaak vi"svaasena yaakuub e. saave ca bhaavivi. sayaanadhyaa"si. sa. m dadau|
21 Ilikuwa ni kwa imani kwamba Yakobo alipokuwa katika hali ya kufa, alimbariki kila mmoja wa watoto wa Yusufu. Yakobo akaabudu, akiegemea juu ya fimbo yake.
apara. m yaakuub mara. nakaale vi"svaasena yuu. sapha. h putrayorekaikasmai janaayaa"si. sa. m dadau ya. s.tyaa agrabhaage samaalambya pra. nanaama ca|
22 Ilikuwa ni kwa imani kwamba Yusufu wakati wake wa mwisho ulipokaribia, alinena juu ya kutoka kwa wana wa Israel Misri na akawaagiza kuchukua pamoja nao mifupa yake.
apara. m yuu. saph caramakaale vi"svaasenesraayelva. m"siiyaanaa. m misarade"saad bahirgamanasya vaaca. m jagaada nijaasthiini caadhi samaadide"sa|
23 Ilikuwa ni kwa imani kwamba Musa, alipozaliwa, alifichwa kwa miezi mitatu na wazazi wake kwa sababu walimuona kuwa ni mtoto mchanga aliyekuwa mzuri, na hawakutishwa na amri ya mfalme.
navajaato muusaa"sca vi"svaasaat traan maasaan svapit. rbhyaam agopyata yatastau sva"si"su. m paramasundara. m d. r.s. tavantau raajaaj naa nca na "sa"nkitavantau|
24 Ilikuwa ni kwa imani kwamba Musa, alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mtoto wa binti Farao.
apara. m vaya. hpraapto muusaa vi"svaasaat phirau. no dauhitra iti naama naa"ngiicakaara|
25 Badala yake, alichagua kushiriki mateso pamoja na watu wa Mungu badala ya kufurahia anasa za dhambi kwa kitambo.
yata. h sa k. sa. nikaat paapajasukhabhogaad ii"svarasya prajaabhi. h saarddha. m du. hkhabhoga. m vavre|
26 Alifikiri aibu ya kumfuata Kristo kuwa ni utajiri mkuu kuliko hazina za Misri kwa kuwa alikaza macho yake katika zawadi ya wakati wake ujao.
tathaa misarade"siiyanidhibhya. h khrii. s.tanimittaa. m nindaa. m mahatii. m sampatti. m mene yato heto. h sa puraskaaradaanam apaik. sata|
27 Ilikuwa ni kwa imani kwamba Musa alitoka Misri. Hakuhofia hasira ya Mfalme, kwa kuwa alivumilia kwa kutazama kwa asiyeonekana.
apara. m sa vi"svaasena raaj na. h krodhaat na bhiitvaa misarade"sa. m paritatyaaja, yatastenaad. r"sya. m viik. samaa. neneva dhairyyam aalambi|
28 Ilikuwa ni kwa imani kwamba aliishika pasaka na kunyunyiza damu, ili kwamba mharibu wa mzaliwa wa kwanza asiweze kuwagusa wazaliwa wa kwanza wa kiume wa waisrael.
apara. m prathamajaataanaa. m hantaa yat sviiyalokaan na sp. r"set tadartha. m sa vi"svaasena nistaaraparvviiyabalicchedana. m rudhirasecana ncaanu. s.thitaavaan|
29 Ilikuwa ni kwa imani kwamba walipita katika bahari ya shamu kama katika nchi kavu. Wakati wamisri walipojaribu kupita, walimezwa.
apara. m te vi"svaasaat sthaleneva suuphsaagare. na jagmu. h kintu misriiyalokaastat karttum upakramya toye. su mamajju. h|
30 Ilikuwa ni kwa imani kwamba ukuta wa Yeriko ulianguka chini, baada ya kuuzunguka kwa siku saba.
apara nca vi"svaasaat tai. h saptaaha. m yaavad yiriiho. h praaciirasya pradak. si. ne k. rte tat nipapaata|
31 Ilikuwa ni kwa imani kwamba Rahabu yule kahaba hakuangamia pamoja na wale ambao hawakuwa watiifu, kwa sababu alikuwa amewapokea wapelelezi na kuwahifadhi salama.
vi"svaasaad raahabnaamikaa ve"syaapi priityaa caaraan anug. rhyaavi"svaasibhi. h saarddha. m na vinanaa"sa|
32 Na niseme nini zaidi? Maana muda hautoshi kusimulia ya Gideoni, Barak, Samsoni, Yeftha, Daudi, Samwel na za manabii,
adhika. m ki. m kathayi. syaami? gidiyono baaraka. h "sim"sono yiptaho daayuud "simuuyelo bhavi. syadvaadina"scaite. saa. m v. rttaantakathanaaya mama samayaabhaavo bhavi. syati|
33 ambao kupitia imani walizishinda falme, walitenda haki, na wakapokea ahadi. Walizuia vinywa vya simba,
vi"svaasaat te raajyaani va"siik. rtavanto dharmmakarmmaa. ni saadhitavanta. h pratij naanaa. m phala. m labdhavanta. h si. mhaanaa. m mukhaani ruddhavanto
34 walizima nguvu za moto, walikwepa ncha ya upanga, waliponywa kutoka katika magonjwa, walikuwa mashujaa vitani, na walisababisha majeshi wageni kukimbia.
vahnerdaaha. m nirvvaapitavanta. h kha"ngadhaaraad rak. saa. m praaptavanto daurbbalye sabaliik. rtaa yuddhe paraakrami. no jaataa. h pare. saa. m sainyaani davayitavanta"sca|
35 Wanawake walipokea wafu wao kwa njia ya ufufuo. Wengine waliteswa, bila kukubali kuachwa huru ili kwamba waweze kupata uzoefu wa ufufuo ulio bora zaidi.
yo. sita. h punarutthaanena m. rtaan aatmajaan lebhire, apare ca "sre. s.thotthaanasya praapteraa"sayaa rak. saam ag. rhiitvaa taa. danena m. rtavanta. h|
36 Wengine waliteswa kwa dhihaka na kwa vichapo, naam, hata kwa vifungo na kwa kutiwa gerezani.
apare tiraskaarai. h ka"saabhi rbandhanai. h kaarayaa ca pariik. sitaa. h|
37 Walipondwa mawe. Walikatwa vipande kwa misumeno. Waliuawa kwa upanga. Walikwenda kwa ngozi za kondoo na ngozi za mbuzi walikuwa wahitaji, wakiendelea katika maumivu na wakitendewa mabaya
bahava"sca prastaraaghaatai rhataa. h karapatrai rvaa vidiir. naa yantrai rvaa kli. s.taa. h kha"ngadhaarai rvaa vyaapaaditaa. h| te me. saa. naa. m chaagaanaa. m vaa carmmaa. ni paridhaaya diinaa. h pii. ditaa du. hkhaarttaa"scaabhraamyan|
38 (ambayo ulimwengu haukustahili kuwa nao), wakitangatanga nyikani, milimani, katika mapango na katika mashimo ya ardhini.
sa. msaaro ye. saam ayogyaste nirjanasthaane. su parvvate. su gahvare. su p. rthivyaa"schidre. su ca paryya. tan|
39 Ingawa watu wote hawa walikubaliwa na Mungu kwa sababu ya imani yao, hawakupokea alichoahidi.
etai. h sarvvai rvi"svaasaat pramaa. na. m praapi kintu pratij naayaa. h phala. m na praapi|
40 Mungu alitangulia kutupatia kitu kilichobora, ili kwamba bila sisi wasingeweza kukamilishwa.
yataste yathaasmaan vinaa siddhaa na bhaveyustathaive"svare. naasmaaka. m k. rte "sre. s.thatara. m kimapi nirdidi"se|