< Hagai 2 >

1 Katika Mwezi wa saba siku ya ishirini na moja ya mwezi, Neno la Bwana lilikuja kwa mkono wa Nabii Hagai, na kusema,
в седмый месяц, в двадесять первый месяца, глагола Господь рукою Аггеа пророка глаголя:
2 “Ongea na mkuu wa mkoa wa Yudah, Zerubabeli mwana wa Sheltieli, na kwa kuhani mkuu Yehozadaki; na kwa masalia ya watu. Waambie,
рцы ныне к Зоровавелю Салафиилеву от колена Иудова и ко Иисусу сыну Иоседекову, иерею великому, и ко всем прочиим людем, глаголя:
3 Ni nani amebaki kati yenu aliuona utukufu wa nyumba ya kwanza? Na mnauonaje huu wa sasa? Je si kama si chochote machoni penu?
кто от вас, иже виде храм сей в славе его прежней? И како вы видите его ныне якоже не суща пред вами?
4 Sasa, muwe hodari, Zerubabeli' -hili ni tamko la Bwana - na uwe hodari, kuhani mkuu Joshua mwana wa Yehozadaki; muwe hodari, enyi watu wa nchi! - hili ni tamko la Bwana - na kazi, kwa kuwa ni pamoja nawe! hili ni tamko la Bwana wa majeshi.
И ныне укрепляйся, Зоровавелю, глаголет Господь, и укрепляйся, Иисусе, сыне Иоседеков, иерею великий, и да укрепляются вси людие земли, глаголет Господь (Вседержитель), и творите: зане Аз с вами есмь, глаголет Господь Вседержитель:
5 Kutegemeana na ahadi ilioko katika agano nililofanya na ninyi mlipotoka Misri na Roho yangu ilisimama katikati yenu, msiogope'
слово, еже завещах с вами, егда исходисте из земли Египетския, и дух Мой настоит посреде вас: дерзайте, зане сице глаголет Господь Вседержитель:
6 Kwa kuwa Bwana wa majeshi anasema hivi: 'kitambo kidogo kwa mara nyingine nitatikisa mbingu na dunia, bahari na nchi kavu!
еще единою Аз потрясу небом и землею, и морем и сушею,
7 Na nitatikisa kila taifa, na kila taifa wataleta vitu vya thamani kwangu, na kuijaza nyumba hii na utukufu!' asema Bwana wa Majeshi
и сотрясу вся языки, и приидут избранная всех языков: и исполню храм сей славы, глаголет Господь Вседержитель.
8 Dhahabu na fedha ni yangu' - hili ni tamko la Bwana wa majeshi.
Мое сребро и Мое злато, глаголет Господь Вседержитель:
9 Utukufu wa nyumba hii utakuwa mkuu zaidi ya utukufu wa nyumba ya kwanza ', asema Bwana wa majeshi,' na nitawapa amani katika sehemu hii'- hili ni Tamko la Bwana wa majeshi
зане велия будет слава храма сего последняя паче первыя, глаголет Господь Вседержитель: и на месте сем дам мир, глаголет Господь Вседержитель, и мир души в снабдение всякому зиждущему, еже возставити церковь сию.
10 Katika siku ya ishirini na nne mwezi wa tisa, mwaka wa pili wa utawala wa Dario, neno la Bwana lilimjia nabii Hagaina kusema,
В двадесять четвертый девятаго месяца, во второе лето при Дарии цари, бысть слово Господне ко Аггею пророку глаголя:
11 “Bwana wa majeshi asema hivi: Muulize kuhani kuhusu sheria, na kusema:
сице глаголет Господь Вседержитель: вопроси иереев закона глаголя:
12 kama mtu akibeba nyama iliyotolewa kwa Bwana katika pindo la vazi lake, kama upindo utagusa mkate au mchuzi, mvinyo au mafuta, au chakula kingine, je chakula hicho kinafanyika kitakatifu?”Kuhani alijibu akasema, “hapana”
аще приимет человек мясо свято вскрай ризы своея, и коснется край ризы его хлеба, или варива, или вина, или масла, или всякаго брашна, еда освятится? И отвещаша священницы и реша: ни.
13 Halafu Hagai akasema.”Kama mtu mchafu najisi kwa ajili ya kumgusa maiti na kugusa vitu hivi, wote wanaweza kuwa wachafu?” Kuhani akajibu na kusema, “Ndiyo, watakuwa wachafu.”
И рече Аггей: аще прикоснется оскверненый или нечистый душею всякому сих, еда осквернится? И отвещаша иерее и реша: осквернится.
14 Kwa hiyo Haghai akajibu nakusema, “Ni pamoja na hawa watu na pamoja na taifa liliko mbele yangu! - haya anayasema Bwana- na pia kila kitu kimekwisha kwa mkono wake: walichotoa hakikuwa kisafi kilikuwa kichafu.
И отвеща Аггей и рече: сице людие сии, и сице язык сей предо Мною, глаголет Господь, и сице вся дела рук их: и иже аще приближится тамо, осквернится за приятия их утренняя, поболят от лица лукавств своих, и ненавидесте во вратех обличающаго.
15 Kwa hiyo, fikiri kutoka siku hii ya leo na za nyuma, kabla hata jiwe halijawekwa kwenye jiwe lingine katika hekalu la Bwana,
И ныне положите на сердцах ваших от дне сего и выше, прежде неже положити камень на камени в храме Господни.
16 ilikuwaje basi? kila mtu alipokuja kwenye vipimo ishirini vya nafaka, kumbe kulikuwa na vipimo kumi tu, na aliyekuja na aliyekuja kuchota divai ya vipimo hamsini, kumbe kuliwa na vipimo ishirini tu.
Кто бысте, егда влагасте в мех ячмене двадесять сат, и быша ячмене десять сат? И входисте в подточилие черпати пятьдесят мер, и быша двадесять.
17 Niliwataabisha ninyi na kazi za mikono yenu kwa doa na koga, nalikini hamkunirudia'- asema Bwana.
Поразих вы неплодием и ветротлением и градом вся дела рук ваших, и не обратистеся ко Мне, глаголет Господь.
18 tafakari siku hii ya leo na kuendelea, kutoka siku ya ishirini na nne katika mwezi mwezi wa tisa, toka siku ile msingi wa hekalu la Bwana kuwekwa. Tafakarini hilo!
Устройте же сердца ваша от сего дне и далее, от двадесять четвертаго дне девятаго месяца и от дне, в оньже основася церковь Господня: положите в сердцах ваших,
19 Je, bado kuna mbegu katika ghala? Mzabibu, mti wa mtini, komamanga, na mti wa mzeituni havikuzaa matunda! lakini kutoka siku hii ya leo nitawabariki!”'
аще еще познается на гумне, и аще еще виноград, и смокви, и яблонь, и древа масличная не творящая плода? От дне сего благословлю.
20 Tena neno la Bwana likaja kwa mara ya pili kwa Haghai siku ya ishiri na nne katika mwezi kusema,
И бысть слово Господне вторицею ко Аггею пророку в двадесять четвертый месяца глаголя:
21 “Sema na mkuu wa mkoa wa Yuda, Zerubabeli umwambie, 'Nitatikisa mbingu na dunia.
рцы к Зоровавелю сыну Салафиилеву от колена Иудова глаголя: Аз потрясу небом и землею, и морем и сушею,
22 kwa hiyo nitaanhusha kiti cha falme na kuharibu nguvu ya falme za mataifa! nitaangusha magahari na wapandao; farasi na wapanda farasi wataanguka, kila mmoja kwa sababu ya upanga wa ndugu zake.
и превращу престолы царей, и потреблю силу царей языческих, и превращу колесницы и всадники, и снидут кони и всадницы их, кийждо во оружии на брата своего.
23 Siku hiyo '-hivi ndivyo asema Bwana wa Majeshi- 'Nitakuchukua wewe Zerubabeli mwana wa Sheltieli, kama mtumishi wangu'- hivi ndivyo Bwana anavyosema. “Nitakutuma kama pete ya muhuri wangu, kwa sababu mimi ndiye niliyekuchagua!'- asema Bwana wa majeshi!”
В той день, глаголет Господь Вседержитель, прииму тя, Зоровавелю Салафиилев, рабе Мой, глаголет Господь, и положу тя яко печать, понеже тя избрах, глаголет Господь Вседержитель.

< Hagai 2 >