< Hagai 2 >

1 Katika Mwezi wa saba siku ya ishirini na moja ya mwezi, Neno la Bwana lilikuja kwa mkono wa Nabii Hagai, na kusema,
Le septième mois, le vingt et unième jour du mois, la parole de Yahvé fut adressée à Aggée, le prophète, en ces termes:
2 “Ongea na mkuu wa mkoa wa Yudah, Zerubabeli mwana wa Sheltieli, na kwa kuhani mkuu Yehozadaki; na kwa masalia ya watu. Waambie,
Parle à Zorobabel, fils de Shealthiel, gouverneur de Juda, à Josué, fils de Jotsadak, grand prêtre, et au reste du peuple, et dis-leur:
3 Ni nani amebaki kati yenu aliuona utukufu wa nyumba ya kwanza? Na mnauonaje huu wa sasa? Je si kama si chochote machoni penu?
Qui est resté parmi vous, qui a vu cette maison dans sa gloire passée? Comment la voyez-vous maintenant? N'est-elle pas à vos yeux comme un rien?
4 Sasa, muwe hodari, Zerubabeli' -hili ni tamko la Bwana - na uwe hodari, kuhani mkuu Joshua mwana wa Yehozadaki; muwe hodari, enyi watu wa nchi! - hili ni tamko la Bwana - na kazi, kwa kuwa ni pamoja nawe! hili ni tamko la Bwana wa majeshi.
Mais maintenant, sois fort, Zorobabel, dit Yahvé. Sois fort, Josué, fils de Jéhozadak, le grand prêtre. Fortifie-toi, vous tous, peuple du pays, dit Yahvé, et travaille, car je suis avec toi, dit Yahvé des armées.
5 Kutegemeana na ahadi ilioko katika agano nililofanya na ninyi mlipotoka Misri na Roho yangu ilisimama katikati yenu, msiogope'
C'est la parole que j'ai promise à vous lorsque vous êtes sortis d'Égypte et que mon Esprit a habité au milieu de vous. N'ayez pas peur.
6 Kwa kuwa Bwana wa majeshi anasema hivi: 'kitambo kidogo kwa mara nyingine nitatikisa mbingu na dunia, bahari na nchi kavu!
Car voici ce que dit l'Éternel des armées: « Encore une fois, c'est encore un peu de temps, et j'ébranlerai les cieux, la terre, la mer et la terre ferme,
7 Na nitatikisa kila taifa, na kila taifa wataleta vitu vya thamani kwangu, na kuijaza nyumba hii na utukufu!' asema Bwana wa Majeshi
et j'ébranlerai toutes les nations. Les trésors de toutes les nations viendront, et je remplirai cette maison de gloire, dit Yahvé des armées.
8 Dhahabu na fedha ni yangu' - hili ni tamko la Bwana wa majeshi.
L'argent est à moi, et l'or est à moi, dit l'Éternel des armées.
9 Utukufu wa nyumba hii utakuwa mkuu zaidi ya utukufu wa nyumba ya kwanza ', asema Bwana wa majeshi,' na nitawapa amani katika sehemu hii'- hili ni Tamko la Bwana wa majeshi
La dernière gloire de cette maison sera plus grande que la première, dit l'Éternel des armées; et dans ce lieu je donnerai la paix, dit l'Éternel des armées. »
10 Katika siku ya ishirini na nne mwezi wa tisa, mwaka wa pili wa utawala wa Dario, neno la Bwana lilimjia nabii Hagaina kusema,
Le vingt-quatrième jour du neuvième mois, la deuxième année de Darius, la parole de Yahvé fut adressée à Aggée, le prophète, en ces termes:
11 “Bwana wa majeshi asema hivi: Muulize kuhani kuhusu sheria, na kusema:
« Yahvé des armées dit: Interroge maintenant les prêtres au sujet de la loi, en disant:
12 kama mtu akibeba nyama iliyotolewa kwa Bwana katika pindo la vazi lake, kama upindo utagusa mkate au mchuzi, mvinyo au mafuta, au chakula kingine, je chakula hicho kinafanyika kitakatifu?”Kuhani alijibu akasema, “hapana”
'Si quelqu'un porte de la viande sainte dans le pli de son vêtement, et qu'avec ce pli il touche du pain, du ragoût, du vin, de l'huile, ou n'importe quel aliment, cela deviendra-t-il saint?'". Les prêtres ont répondu: « Non. »
13 Halafu Hagai akasema.”Kama mtu mchafu najisi kwa ajili ya kumgusa maiti na kugusa vitu hivi, wote wanaweza kuwa wachafu?” Kuhani akajibu na kusema, “Ndiyo, watakuwa wachafu.”
Alors Aggée dit: « Si quelqu'un qui est impur à cause d'un cadavre touche l'un de ces objets, sera-t-il impur? » Les prêtres ont répondu: « Ce sera impur. »
14 Kwa hiyo Haghai akajibu nakusema, “Ni pamoja na hawa watu na pamoja na taifa liliko mbele yangu! - haya anayasema Bwana- na pia kila kitu kimekwisha kwa mkono wake: walichotoa hakikuwa kisafi kilikuwa kichafu.
Aggée répondit: « Il en est ainsi de ce peuple, il en est ainsi de cette nation devant moi, dit l'Éternel, et il en est ainsi de tout ce que font leurs mains. Ce qu'ils offrent là est impur.
15 Kwa hiyo, fikiri kutoka siku hii ya leo na za nyuma, kabla hata jiwe halijawekwa kwenye jiwe lingine katika hekalu la Bwana,
Maintenant, considérez ce qui s'est passé depuis aujourd'hui et en arrière, avant qu'une pierre ne soit posée sur une pierre dans le temple de Yahvé.
16 ilikuwaje basi? kila mtu alipokuja kwenye vipimo ishirini vya nafaka, kumbe kulikuwa na vipimo kumi tu, na aliyekuja na aliyekuja kuchota divai ya vipimo hamsini, kumbe kuliwa na vipimo ishirini tu.
Pendant tout ce temps, quand on arrivait à un tas de vingt mesures, il n'y en avait que dix. Quand on s'approchait de la cuve à vin pour en tirer cinquante, il n'y en avait que vingt.
17 Niliwataabisha ninyi na kazi za mikono yenu kwa doa na koga, nalikini hamkunirudia'- asema Bwana.
Je t'ai frappé par le mildiou, la moisissure et la grêle dans tout l'ouvrage de tes mains, et tu ne t'es pas tourné vers moi, dit l'Éternel.
18 tafakari siku hii ya leo na kuendelea, kutoka siku ya ishirini na nne katika mwezi mwezi wa tisa, toka siku ile msingi wa hekalu la Bwana kuwekwa. Tafakarini hilo!
Considérez, je vous prie, depuis ce jour et à rebours, depuis le vingt-quatrième jour du neuvième mois, depuis le jour où les fondements du temple de Yahvé ont été posés, considérez.
19 Je, bado kuna mbegu katika ghala? Mzabibu, mti wa mtini, komamanga, na mti wa mzeituni havikuzaa matunda! lakini kutoka siku hii ya leo nitawabariki!”'
La semence est-elle encore dans la grange? Oui, la vigne, le figuier, le grenadier et l'olivier n'ont pas produit. A partir d'aujourd'hui, je te bénirai ».
20 Tena neno la Bwana likaja kwa mara ya pili kwa Haghai siku ya ishiri na nne katika mwezi kusema,
La parole de Yahvé fut adressée pour la seconde fois à Aggée, le vingt-quatrième jour du mois, en ces termes:
21 “Sema na mkuu wa mkoa wa Yuda, Zerubabeli umwambie, 'Nitatikisa mbingu na dunia.
Parle à Zorobabel, gouverneur de Juda, et dis-lui: « J'ébranlerai les cieux et la terre.
22 kwa hiyo nitaanhusha kiti cha falme na kuharibu nguvu ya falme za mataifa! nitaangusha magahari na wapandao; farasi na wapanda farasi wataanguka, kila mmoja kwa sababu ya upanga wa ndugu zake.
Je renverserai le trône des royaumes. Je détruirai la force des royaumes des nations. Je renverserai les chars et ceux qui les montent. Les chevaux et leurs cavaliers tomberont, chacun par l'épée de son frère.
23 Siku hiyo '-hivi ndivyo asema Bwana wa Majeshi- 'Nitakuchukua wewe Zerubabeli mwana wa Sheltieli, kama mtumishi wangu'- hivi ndivyo Bwana anavyosema. “Nitakutuma kama pete ya muhuri wangu, kwa sababu mimi ndiye niliyekuchagua!'- asema Bwana wa majeshi!”
En ce jour-là, dit Yahvé des armées, je te prendrai, Zorobabel, mon serviteur, fils de Shealtiel, dit Yahvé, et je te rendrai semblable à un sceau, car je t'ai choisi, dit Yahvé des armées. »

< Hagai 2 >