< Hagai 2 >
1 Katika Mwezi wa saba siku ya ishirini na moja ya mwezi, Neno la Bwana lilikuja kwa mkono wa Nabii Hagai, na kusema,
in/on/with seventh in/on/with twenty and one to/for month to be word LORD in/on/with hand: to Haggai [the] prophet to/for to say
2 “Ongea na mkuu wa mkoa wa Yudah, Zerubabeli mwana wa Sheltieli, na kwa kuhani mkuu Yehozadaki; na kwa masalia ya watu. Waambie,
to say please to(wards) Zerubbabel son: child Shealtiel governor Judah and to(wards) Joshua son: child Jehozadak [the] priest [the] great: large and to(wards) remnant [the] people to/for to say
3 Ni nani amebaki kati yenu aliuona utukufu wa nyumba ya kwanza? Na mnauonaje huu wa sasa? Je si kama si chochote machoni penu?
who? in/on/with you [the] to remain which to see: see [obj] [the] house: home [the] this in/on/with glory his [the] first: previous and what? you(m. p.) to see: see [obj] him now not like him like/as nothing in/on/with eye your
4 Sasa, muwe hodari, Zerubabeli' -hili ni tamko la Bwana - na uwe hodari, kuhani mkuu Joshua mwana wa Yehozadaki; muwe hodari, enyi watu wa nchi! - hili ni tamko la Bwana - na kazi, kwa kuwa ni pamoja nawe! hili ni tamko la Bwana wa majeshi.
and now to strengthen: strengthen Zerubbabel utterance LORD and to strengthen: strengthen Joshua son: child Jehozadak [the] priest [the] great: large and to strengthen: strengthen all people [the] land: country/planet utterance LORD and to make: do for I with you utterance LORD Hosts
5 Kutegemeana na ahadi ilioko katika agano nililofanya na ninyi mlipotoka Misri na Roho yangu ilisimama katikati yenu, msiogope'
[obj] [the] word which to cut: make(covenant) with you in/on/with to come out: come you from Egypt and spirit my to stand: stand in/on/with midst your not to fear
6 Kwa kuwa Bwana wa majeshi anasema hivi: 'kitambo kidogo kwa mara nyingine nitatikisa mbingu na dunia, bahari na nchi kavu!
for thus to say LORD Hosts still one little he/she/it and I to shake [obj] [the] heaven and [obj] [the] land: country/planet and [obj] [the] sea and [obj] [the] dry ground
7 Na nitatikisa kila taifa, na kila taifa wataleta vitu vya thamani kwangu, na kuijaza nyumba hii na utukufu!' asema Bwana wa Majeshi
and to shake [obj] all [the] nation and to come (in): come desire all [the] nation and to fill [obj] [the] house: home [the] this glory to say LORD Hosts
8 Dhahabu na fedha ni yangu' - hili ni tamko la Bwana wa majeshi.
to/for me [the] silver: money and to/for me [the] gold utterance LORD Hosts
9 Utukufu wa nyumba hii utakuwa mkuu zaidi ya utukufu wa nyumba ya kwanza ', asema Bwana wa majeshi,' na nitawapa amani katika sehemu hii'- hili ni Tamko la Bwana wa majeshi
great: large to be glory [the] house: home [the] this [the] last from [the] first: previous to say LORD Hosts and in/on/with place [the] this to give: give peace utterance LORD Hosts
10 Katika siku ya ishirini na nne mwezi wa tisa, mwaka wa pili wa utawala wa Dario, neno la Bwana lilimjia nabii Hagaina kusema,
in/on/with twenty and four to/for ninth in/on/with year two to/for Darius to be word LORD to(wards) Haggai [the] prophet to/for to say
11 “Bwana wa majeshi asema hivi: Muulize kuhani kuhusu sheria, na kusema:
thus to say LORD Hosts to ask please [obj] [the] priest instruction to/for to say
12 kama mtu akibeba nyama iliyotolewa kwa Bwana katika pindo la vazi lake, kama upindo utagusa mkate au mchuzi, mvinyo au mafuta, au chakula kingine, je chakula hicho kinafanyika kitakatifu?”Kuhani alijibu akasema, “hapana”
look! to lift: bear man: anyone flesh holiness in/on/with wing garment his and to touch in/on/with wing his to(wards) [the] food: bread and to(wards) [the] stew and to(wards) [the] wine and to(wards) oil and to(wards) all food to consecrate: consecate and to answer [the] priest and to say not
13 Halafu Hagai akasema.”Kama mtu mchafu najisi kwa ajili ya kumgusa maiti na kugusa vitu hivi, wote wanaweza kuwa wachafu?” Kuhani akajibu na kusema, “Ndiyo, watakuwa wachafu.”
and to say Haggai if to touch unclean soul: dead in/on/with all these to defile and to answer [the] priest and to say to defile
14 Kwa hiyo Haghai akajibu nakusema, “Ni pamoja na hawa watu na pamoja na taifa liliko mbele yangu! - haya anayasema Bwana- na pia kila kitu kimekwisha kwa mkono wake: walichotoa hakikuwa kisafi kilikuwa kichafu.
and to answer Haggai and to say so [the] people [the] this and so [the] nation [the] this to/for face: before my utterance LORD and so all deed: work hand their and which to present: bring there unclean he/she/it
15 Kwa hiyo, fikiri kutoka siku hii ya leo na za nyuma, kabla hata jiwe halijawekwa kwenye jiwe lingine katika hekalu la Bwana,
and now to set: consider please heart your from [the] day [the] this and above [to] from before to set: put stone to(wards) stone in/on/with temple LORD
16 ilikuwaje basi? kila mtu alipokuja kwenye vipimo ishirini vya nafaka, kumbe kulikuwa na vipimo kumi tu, na aliyekuja na aliyekuja kuchota divai ya vipimo hamsini, kumbe kuliwa na vipimo ishirini tu.
from to be they to come (in): come to(wards) heap twenty and to be ten to come (in): come to(wards) [the] wine to/for to strip fifty winepress and to be twenty
17 Niliwataabisha ninyi na kazi za mikono yenu kwa doa na koga, nalikini hamkunirudia'- asema Bwana.
to smite [obj] you in/on/with blight and in/on/with mildew and in/on/with hail [obj] all deed: work hand: themselves your and nothing [obj] you to(wards) me utterance LORD
18 tafakari siku hii ya leo na kuendelea, kutoka siku ya ishirini na nne katika mwezi mwezi wa tisa, toka siku ile msingi wa hekalu la Bwana kuwekwa. Tafakarini hilo!
to set: consider please heart your from [the] day [the] this and above [to] from day twenty and four to/for ninth to/for from [the] day which to found temple LORD to set: consider heart your
19 Je, bado kuna mbegu katika ghala? Mzabibu, mti wa mtini, komamanga, na mti wa mzeituni havikuzaa matunda! lakini kutoka siku hii ya leo nitawabariki!”'
still [the] seed in/on/with fear and till [the] vine and [the] fig and [the] pomegranate and tree [the] olive not to lift: bear from [the] day [the] this to bless
20 Tena neno la Bwana likaja kwa mara ya pili kwa Haghai siku ya ishiri na nne katika mwezi kusema,
and to be word LORD second to(wards) Haggai in/on/with twenty and four to/for month to/for to say
21 “Sema na mkuu wa mkoa wa Yuda, Zerubabeli umwambie, 'Nitatikisa mbingu na dunia.
to say to(wards) Zerubbabel governor Judah to/for to say I to shake [obj] [the] heaven and [obj] [the] land: country/planet
22 kwa hiyo nitaanhusha kiti cha falme na kuharibu nguvu ya falme za mataifa! nitaangusha magahari na wapandao; farasi na wapanda farasi wataanguka, kila mmoja kwa sababu ya upanga wa ndugu zake.
and to overturn throne kingdom and to destroy strength kingdom [the] nation and to overturn chariot and to ride her and to go down horse and to ride their man: anyone in/on/with sword brother: compatriot his
23 Siku hiyo '-hivi ndivyo asema Bwana wa Majeshi- 'Nitakuchukua wewe Zerubabeli mwana wa Sheltieli, kama mtumishi wangu'- hivi ndivyo Bwana anavyosema. “Nitakutuma kama pete ya muhuri wangu, kwa sababu mimi ndiye niliyekuchagua!'- asema Bwana wa majeshi!”
in/on/with day [the] he/she/it utterance LORD Hosts to take: take you Zerubbabel son: child Shealtiel servant/slave my utterance LORD and to set: make you like/as signet for in/on/with you to choose utterance LORD Hosts