< Hagai 1 >

1 Katika mwaka wa pili wa mfalme Dario, katika mwezi wa sita, siku ya kwanza ya mwezi, neno la Bwana likaja kwa kwa mkono wa nabii Haghai kwenda kwa gavana wa Yuda, Zerubabeli mwana wa Sheatieli na kuhani mkuu Joshua mwana wa Yehozadaki, kusema,
Darius siangpahrang ni a uknae a kum pahni, ataruknae thapa apasuek hnin vah, profet Haggai hno lahoi Judah kaukkung Shealtiel capa Zerubbabel hoi vaihma kacue Jehozadak e capa Joshua koe ka tho e BAWIPA lawk teh,
2 “Bwana wa Majeshi asema: 'Hawa watu husema, “Si wakati wetu kuja au kujenga nyumba ya Jehova."””
Ransahu BAWIPA Cathut ni a dei e teh, hete taminaw ni BAWIPA e im sak hanelah atueng phat hoeh rah ati awh.
3 Tena neno la Bwana lilikuja kwa mkono wa nabii Haghai kusema,
Profet Haggai koehoi BAWIPA e lawk ka tho e teh,
4 “Je ni wakati kwenu wenyewe kuishi katika nyumba zilizokamilika, na wakati nyumba hii inaharibika?
Oe! nangmae taminaw, namamouh na o nahane im teh lemphu coung hni touh e na tawn awh nahlangva vah, Kaie im teh ka rawkphai lahoi maw ao han.
5 Kwa hiyo sasa Bwana wa Majeshi asema hivi: 'zitafakarini njia zenu!
Ransahu BAWIPA ni a dei e lawk teh, na tawksak awh e hno, kahawicalah pouk awh haw.
6 Mmepanda mbengu nyingi, lakini mkaleta mavuno kidogo; mnakula lakini hamshibi, mnakunywa lakini hamkujazwa na vinywaji. Mnavaa nguo lakini hampati joto wenyewe, na mtu wa mshahara hupata pesa na kuweka kwenye mfuko wenye mashimo tu!'
Nangmouh ni cati moi na kahei awh eiteh, a paw yitca dueng na pâkhueng awh. Na ca a eiteh na von paha awh hoeh. Na nei a eiteh na boum a hoeh. Khohna na kho a eiteh na bet a hoeh. Thaw tawknae phu na hmu a eiteh ka vuk e yawngya dawk na pâtung awh.
7 Bwana wa Majeshi asema haya:
Ransahu BAWIPA BAWIPA ni a dei e teh, na sak e thaw kahawicalah pouk awh haw.
8 'Zitafakarini njia zetu! Pandeni milimani, mkalete mbao, na mjenge nyumba yangu; na pia nitakuwa radhi na nitatukuzwa!' Asema Bwana.
Mon luen nateh thing hrawm awh haw. Kaie im sak awh haw. Kai hai ka lung akuep vaiteh ka bawilennae ka kamnue sak han telah BAWIPA ni a ti.
9 'Mmetazamia kupata vingi, lakini tazama! ulileta nyumbani vichache, nitavitowesha mbali! kwa nini?'- Hivi ndivyo anatamka Bwana wa Majeshi! kwa sababu nyumba yangu inakaa kwenye uharibifu, lakini kila mtu yuko radhi kwenye nyumba yake.
Nangmouh ni moi ka tawn han telah na ngaihawi a eiteh hno yitca dueng na hmu awh, im na thokhai awh navah Kai ni phei ka hmu. Bangkongmaw telah ransahu BAWIPA ni na pacei awh. Kaie im teh karawk lah paroup ao. Bangkongtetpawiteh, namamouh im lengkaleng na yawng a dawk doeh.
10 Kwa sababu hii mbingu zimeshikiwa zisitoe umande kutoka kwako, na ardhi imeshikilia haizalishi.
Hatdawkvah nangmouh koe kho a kha vaiteh, tadamtui bawt mahoeh. Talai ni hai a paw paw sak mahoeh.
11 Nimekuita kutoka juu ya ardhi na juu ya milima, juu ya nafaka na juu ya mzabibu mpya, juu ya mafuta na juu ya mavuno ya ardhi, juu ya watu na juu ya wanyama, na juu ya kazi zote za mikono yako.
Talai van hai thoseh, monsom hai thoseh, cakui cakang, misur, satui dawk hai thoseh, talai dawk hoi ka tâcawt e pueng koehai thoseh, tami, moithang, saringnaw pueng koehai thoseh, tawksak e pueng dawk hai thoseh takang ka tho sak han a ti.
12 Kisha Zerubabeli mwana wa Shelitieli, na kuhani mkuu Yoshua mwana wa Yehozadaki, pamoja na mabaki ya watu, wakati sauti ya Bwana Mungu wao, na maneno ya Nabii Hagai, kwa sababu Bwana Mungu wao alikuwa amemtuma. Na watu wakaogopa uso wa Bwana.
Hat toteh, Shealtiel e capa Zerubbabel hoi vaihma kacue Jehozadak e capa Joshua koehoi kamtawng teh kacawie naw pueng ni, amamae BAWIPA lawk hai thoseh, BAWIPA ni a patoun e profet Haggai e lawk hai thoseh, a ngâi awh teh, BAWIPA a taki awh.
13 Ndipo Hagai, mjumbe wa Bwana, akaongea ujumbe wa Bwana kwa watu na kusema,”'Niko pamoja na wewe!'- Hili ni tamko la Bwana.
Hat toteh, BAWIPA ni patoune Haggai ni, kai teh nangmouh koe ka o telah BAWIPA ni a dei pouh e hah taminaw koe patuen a dei pouh.
14 Bwana alitibua roho ya mkuu wa mkoa wa Yudah, Zerubabeli mwana wa Sheltieli, na roho ya kuhani mkuu Joshua mwana wa Yehozadaki, na roho ya masalia ya watu, kwa kiasi kwamba wakaenda kufanya kazi katika nyumba ya Bwana Mungu wa majeshi, Mungu wao.
BAWIPA niyah, Judah kaukkung Shealtiel capa Zerubbabel hoi vaihma kacue Jehozadak e capa Joshua koehoi kamtawng teh, kacawie naw pueng hah a hroecoe teh, ransabawi Jehovah hane im sak hanelah,
15 katika siku ya ishirini na Mwezi wa sita, katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario.
Darius siangpahrang a bawinae kum pahni, ataruknae thapa, hnin 24 hnin vah a tho awh teh, amamae Cathut, ransahu BAWIPA e im dawk thaw a tawk awh.

< Hagai 1 >