< Habakuki 1 >
1 Ujumbe ambao habakuki nabii alipokea,
Dette er det utsagn som profeten Habakuk skuet.
2 Yahwe, kwa muda gani nitalilia msaada, na hutasikia? Nimekulilia wewe katika kitisho, 'vurugu' lakini hutaniokoa.
Hvor lenge, Herre, skal jeg ennu rope uten at du hører! Jeg klager for dig over vold - og du frelser ikke.
3 Kwanini unanifanya nione mabaya na kuangalia matendo mabaya. Uharibifu na vurugu uko mbele yangu; kuna mapambano, na ushindani unainuka.
Hvorfor lar du mig skue urett, og hvorledes kan du selv se på slik elendighet? Ødeleggelse og vold har jeg for mine øine; det yppes kiv og opstår tretter.
4 Walakini sheria ni dhaifu, na haki haiishi kwa wakati wowote. Sababu uovu umezunguka haki; walakini haki ya uongo inatoweka. “Yahwe” anamjibu habakuki
Derfor er loven maktesløs, og retten kommer aldri frem; for ugudelige omringer den rettferdige, derfor kommer retten frem forvendt.
5 “Angalia mataifa na uwajaribu; stajaabishwa na shangazwa! Sababu nina uhakika kuhusu kufanya kitu katika siku zako kwamba hutaamini itakapotaarifiwa kwenu.
Se eder omkring blandt folkene, se og bli forferdet, ja forferdet! For en gjerning gjør jeg i eders dager - I skulde ikke tro den når den blev fortalt.
6 Sababu angalia! nakaribia kuwainua Wakaldayo - taifa katili na lenye kishindo - wanatembea kupitia upana wa nchi kuteka nyumba zisizo za kwao.
For se, jeg lar kaldeerne reise sig, det ville og voldsomme folk, som farer frem så vide som jorden når, for å ta i eie boliger som ikke hører det til.
7 Wanahofu na kuogopa; hukumu yao na uzuri kutoka kwao unaendelea.
Fryktelig og forferdelig er det; fra sig selv henter det sin rett og sin høihet.
8 Farasi wao pia wanambio sana kuliko chui, wepesi sana kuliko mbwa mwitu wa jioni. Farasi wao huwaseta, na wapanda farasi wao wanakuja kutoka mbali - wanapaa kama tai anayewahi kula.
Dets hester er raskere enn leoparder og skarpere til å springe enn ulver om aftenen; dets ryttere sprenger frem, dets ryttere kommer langt borte fra, de flyver som en ørn når den styrter sig over sitt rov.
9 Wote wanakuja kwa vurugu; makundi yao yanakwenda kama upepo wa jangwani, na wanakusanya mateka kama mchanga.
Alle kommer de for å gjøre voldsverk, de stirrer stridslystne fremad, og de samler fanger som sand.
10 Wanawadhihaki wafalme, na viongozi ni dhihaka kwaajili yao. Huicheka kila ngome, maana hurundika mavumbi na kuyaondoa.
De spotter konger, og fyrster er til latter for dem; de ler av hver festning, de dynger jord op mot den og tar den.
11 Ndipo upepo utapita; itaendelea kupita - watu wenye hatia, ambao uwezo wao ni katika mungu.” Habakuki anamuuliza Yahwe swali lingine
Så stryker de avsted som en vind og farer frem og drar skyld over sig; deres kraft er deres gud.
12 “Wewe si wa tangu nyakati za zamani, Yahwe Mungu wangu, uliye Mtakatifu? Sisi hatutakufa. Yahwe aliwatenga kwaajili ya hukumu, na ninyi, Mwamba, mmeimarisha kwaajili ya kusahihisha.
Er du ikke fra fordums tid Herren min Gud, min Hellige? Vi skal ikke dø. Herre! Til å fullbyrde dom har du satt dem. Du vår klippe! Til å straffe har du gitt dem fullmakt.
13 Macho yenu ni safi kuangaza juu ya uovu, lakini hamuwezi kuangalia matendo mabaya kwa fadhila; kwa nini mnaangalia kwa upendeleo hivyo juu ambao wanasaliti? Kwanini kunyamaza wakati uovu unameza sana wenye haki zaidi yao?
Du som er ren av øine, så du ikke kan se på ondt og ikke er i stand til å skue på elendighet! Hvorfor ser du på troløse, hvorfor tier du når den ugudelige tilintetgjør den som er rettferdigere enn han?
14 unawafanya watu kama samaki baharini, kama vitu vitambaavyo bila kiongozi juu yao.
Du har jo gjort med menneskene som med havets fisker, som med krypet, som ingen herre har!
15 Wao wanawaleta wote kwa ndoano; wanawakokota watu kutoka kwenye nyavu za samaki na kuwakusanya kwenye wavu wao. Hii ndiyo sababu wanafurahi na kupiga kelele kwa uchangamfu sana.
Dem alle drar de op med krok, samler dem i sin not og sanker dem i sitt garn; derfor gleder de sig og jubler.
16 Walakini wanatoa sadaka kwenye nyavu zao za kuvulia na kuchoma ubani kwenye nyavu zao, sababu wanyama wanene ni sehemu yao, na nyama iliyonona ni chakula chao.
Derfor ofrer de til sin not og brenner røkelse for sitt garn; for de gir dem deres fete lodd og deres kraftige mat.
17 Kwa sababu hiyo watamaliza nyavu zao za kuvulia na kuendelea kuchicha mataifa, bila kuhisi huruma”?
Men skal de derfor fremdeles få tømme sin not og uavlatelig slå folkeslag ihjel uten skånsel?