< Habakuki 1 >
1 Ujumbe ambao habakuki nabii alipokea,
The burden which Habakkuk the prophet saw.
2 Yahwe, kwa muda gani nitalilia msaada, na hutasikia? Nimekulilia wewe katika kitisho, 'vurugu' lakini hutaniokoa.
O Jehovah, how long shall I cry, and thou will not hear? I cry out to thee of violence, and thou will not save.
3 Kwanini unanifanya nione mabaya na kuangalia matendo mabaya. Uharibifu na vurugu uko mbele yangu; kuna mapambano, na ushindani unainuka.
Why do thou show me iniquity, and look upon perverseness? For destruction and violence are before me, and there is strife, and contention rises up.
4 Walakini sheria ni dhaifu, na haki haiishi kwa wakati wowote. Sababu uovu umezunguka haki; walakini haki ya uongo inatoweka. “Yahwe” anamjibu habakuki
Therefore the law is slacked, and justice never goes forth. For the wicked man surrounds the righteous man, therefore justice goes forth perverted.
5 “Angalia mataifa na uwajaribu; stajaabishwa na shangazwa! Sababu nina uhakika kuhusu kufanya kitu katika siku zako kwamba hutaamini itakapotaarifiwa kwenu.
Behold ye scoffers, and look, and wonder marvelously. For I am working a work in your days, which ye will not believe though it be told you.
6 Sababu angalia! nakaribia kuwainua Wakaldayo - taifa katili na lenye kishindo - wanatembea kupitia upana wa nchi kuteka nyumba zisizo za kwao.
For, lo, I raise up the Chaldeans, that bitter and hasty nation, who march through the breadth of the earth to possess dwelling-places that are not theirs.
7 Wanahofu na kuogopa; hukumu yao na uzuri kutoka kwao unaendelea.
They are fearful and dreadful. Their judgment and their dignity proceed from themselves.
8 Farasi wao pia wanambio sana kuliko chui, wepesi sana kuliko mbwa mwitu wa jioni. Farasi wao huwaseta, na wapanda farasi wao wanakuja kutoka mbali - wanapaa kama tai anayewahi kula.
Their horses also are swifter than leopards, and are more fierce than the evening wolves. And their horsemen press proudly on. Yea, their horsemen come from far. They fly as an eagle that hastens to devour.
9 Wote wanakuja kwa vurugu; makundi yao yanakwenda kama upepo wa jangwani, na wanakusanya mateka kama mchanga.
They come all of them for violence. The set of their faces is forwards, and they gather captives as the sand.
10 Wanawadhihaki wafalme, na viongozi ni dhihaka kwaajili yao. Huicheka kila ngome, maana hurundika mavumbi na kuyaondoa.
Yea, he scoffs at kings, and rulers are a derision to him. He derides every stronghold, for he heaps up dust, and takes it.
11 Ndipo upepo utapita; itaendelea kupita - watu wenye hatia, ambao uwezo wao ni katika mungu.” Habakuki anamuuliza Yahwe swali lingine
Then he shall sweep by as a wind, and shall pass over, and be guilty; he whose might is his god.
12 “Wewe si wa tangu nyakati za zamani, Yahwe Mungu wangu, uliye Mtakatifu? Sisi hatutakufa. Yahwe aliwatenga kwaajili ya hukumu, na ninyi, Mwamba, mmeimarisha kwaajili ya kusahihisha.
Are not thou from everlasting, O Jehovah my God, my Holy One? We shall not die. O Jehovah, thou have ordained him for judgment, and thou, O Rock, have established him for correction.
13 Macho yenu ni safi kuangaza juu ya uovu, lakini hamuwezi kuangalia matendo mabaya kwa fadhila; kwa nini mnaangalia kwa upendeleo hivyo juu ambao wanasaliti? Kwanini kunyamaza wakati uovu unameza sana wenye haki zaidi yao?
Thou who are of purer eyes than to behold evil, and who cannot look on perverseness, why do thou look upon those who deal treacherously, and hold thy peace when the wicked man swallows up the man who is more righteous than he,
14 unawafanya watu kama samaki baharini, kama vitu vitambaavyo bila kiongozi juu yao.
and makes men as the fishes of the sea, as the creeping things, that have no ruler over them?
15 Wao wanawaleta wote kwa ndoano; wanawakokota watu kutoka kwenye nyavu za samaki na kuwakusanya kwenye wavu wao. Hii ndiyo sababu wanafurahi na kupiga kelele kwa uchangamfu sana.
He takes all of them up with the hook. He catches them in his net, and gathers them in his drag. Therefore he rejoices and is glad.
16 Walakini wanatoa sadaka kwenye nyavu zao za kuvulia na kuchoma ubani kwenye nyavu zao, sababu wanyama wanene ni sehemu yao, na nyama iliyonona ni chakula chao.
Therefore he sacrifices to his net, and burns incense to his drag, because by them his portion is fat, and his food plentiful.
17 Kwa sababu hiyo watamaliza nyavu zao za kuvulia na kuendelea kuchicha mataifa, bila kuhisi huruma”?
Shall he therefore empty his net, and not spare to kill the nations continually?