< Habakuki 3 >
1 Maombi ya Habakuki nabii:
Pre se inge ma lal Habakkuk, mwet palu:
2 Yahwe, nimesikia taarifa zako, na mimi naogopa. Yahwe, fufua kazi yako katikati wakati; katikati ya muda huu; fanya hiyo ijulikane; kumbuka kuwa na rehema katika ghadhabu yako.
O LEUM GOD, nga lohng tari ke pungom, Ac nga arulana fwefela ke orekma lom. Sifilpa oru in pacl lasr uh Orekma usrnguk ma kom tuh oru meet ah. Pakoten nu sesr, finne pacl kom kasrkusrak.
3 Mungu alikuja kutoka Temani, na yule Mtakatifu kutoka Parani. (Sela) Utukufu wake umezifunika mbingu, na dunia ilikuwa imejaa utukufu wake.
God El ac sifilpa tuku Edom me; God mutal El tuku liki eol srisrik lun Paran, Wolana lal afunla inkusrao, Ac faclu sessesla ke kaksakinyal.
4 Miali miwili ya mikono yake ilikuwa iking'aa kama mwanga, ambapo uweza wake ulifichwa.
El tuku wi kalmen sarom; Kalem sarmelik liki inpaol, Yen ku lal wikla we.
5 Ugonjwa wa kuua ulitangulia mbele yake, na adha iliifuta miguu yake.
El supu mas upa uh in fahsr meet lukel, Ac sapkin tuh misa in fahsr tokol.
6 Yeye alisimama na akaipima nchi; aliangalia na aliyatikisa mataifa. Hata milima ya milele iliharibiwa kabisa, na vilima vya milele vilianguka chini. Njia yake ni ya milele.
Ke pacl se El tui, faclu kusrusr; Ke ngetang lal, mutunfacl uh rarrar. Fineol ma nuna oan oemeet me muliplipi, Ac eol srisrik su ac oan nwe tok tili, Aok eol srisrik yen El fahsr we in pacl oemeet ah.
7 Niliona mahema ya Wakushi katika mateso, na vitambaa vya mahema katika Midiani vinatetema.
Nga liye ke mwet Cushan elos sangeng, Ac ke mwet Midian elos rarrar.
8 Yahwe alikuwa na hasira pale mtoni? Ghadhabu yako ilikuwa dhidi ya mito, au hasira yako dhidi ya bahari, unapopanda juu ya farasi wenye mikokoteni na wa ushindi wako?
LEUM GOD, ya infacl uh pa tuh oru kom kasrkusrakak ah? Ya meoa uh pa tuh oru kom foloyak ah? Kom kasrusr fin pukunyeng uh; Pukunyeng in paka uh pa chariot nutum Ke kom tuh use kutangla nu sin mwet lom.
9 Umeleta upinde wako bila mfuniko; unaweka mishale kwenye upinde wako! (Sela) uliigawa nchi na mito.
Kom akola in orekmakin mwe pisr nutum, Akola in pisrik sukan pisr nutum. Sarom lom foklalik faclu.
10 Milima ilikuona wewe na kugeuka kwa huzuni. Maji yaliyomwagwa chini yalipita juu yao; kina cha bahari kilipaza sauti. Mawimbi yake yakainuka juu.
Pacl se ke eol uh tuh liye kom, elos rarrar; Kof uh kahkla inkusrao me. Kof ye faclu ngirngir, Ac noa kaclos pisryak nwe lucng.
11 Jua na mwezi vilisimama imara juu mahali pake katika mwanga wa mishale yako na ilipaa, pale katika uangavu wa mwanga wa mikuki yako.
Ke usren mui lun pisr nutum Ac saromla lun osra saromrom nutum Faht uh ac malem uh tui, tia mukuikui.
12 Umetembea juu ya nchi kwa uchungu. Katika ghadhabu umepukuchua mataifa.
Kom fahsr sasla fin faclu ke kasrkusrak, Kom futfutungya facl puspis ke folo lom.
13 Ulikwenda nje kwaajili ya wokovu wa watu wako, Kwaajili ya wokovu wa mteule wako. Wewe pondaponda kichwa cha nyumba ya mwovu kuweka wazi msingi wa shingo. (Sela)
Kom illa in molela mwet lom, In molela tokosra lom su kom sulela. Kom uniya mwet kol lun mwet koluk Ac sukela mwet lal nukewa.
14 Umekichoma kichwa cha wapiganaji wake kwa mshale wake mwenyewe sababu walikuja kama upepo kututawanya sisi, wivu wao ulikuwa kama mtu ambaye anamteketeza masikini katika mahali pamaficho.
Mwe pisr nutum fakisya ac sasla ke mwet kol fulat lun un mwet mweun Ke elos tuku oana sie paka in liskutelik. Elos engnu oana mwet su akkeokye mwet sukasrup in lukma.
15 Umesafiri juu ya bahari kwa farasi wako, na kuyapita maji makuu.
Horse nutum uh futungya inkof uh, Oru inkof uh wiawala.
16 Nilisikia, na ndani yangu nilitetemeka! midomo yangu ilitetemesha sauti. Uozo unakuja katika mifupa yangu, na chini yangu mwenyewe nilitetemeka kama nasubiri kwaajili ya siku ya kuhuzunisha ifike juu ya watu waliotushambulia sisi.
Nga lohng ma inge nukewa, ac nga rarrar; Ngoasrok rarak ke sangeng. Monuk ulla, Ac niuk tukulkul. Nga fah misla tupan pacl se Ke God El ac fah kalyei mwet ma mweuni kut uh.
17 Ingawa mtini hauchipui na hauzai kutokana na mzababibu; na ingawa kuzaa kwa mti wa mzaituni hakuridhishi na mashamba hayatoi chakula; na ingawa kundi mifugo limetoweka na hakuna ng'ombe katika zizi, hiki ndicho nitakacho kifanya.
Sak fig finne wangin fahko Ac wangin grape ke oa in grape uh, Sak olive finne tia fokla Ac ima uh finne tia isus fahko, Sheep nukewa finne misa Ac kalkal in cow uh pisala,
18 Bado, nitafurahia katika Yahwe. Nitakuwa nafuraha kwa sababu ya Mungu wa wokovu wangu.
Nga fah srakna insewowo ac engan Mweyen LEUM GOD El langoeyu.
19 Bwana Yahwe ni nguvu yangu na anaifanya miguu yangu kama ya kulungu. Ananifanya mimi niende mbele mahali pangu pa juu. - kufuata maelekezo ya muziki, katika vyombo vyangu vya nyuzi.
LEUM GOD Fulatlana El ase ku nu sik. El oru niuk in oakwuk oana soko deer, Ac karinginyu fineol uh.