< Habakuki 3 >
1 Maombi ya Habakuki nabii:
Yahweh, I have heard about you; I revere you because of [all the amazing] things that you have done. In our time, do again [some of] those things that you did long ago! Even when you are angry [with us], be merciful [to us]!
2 Yahwe, nimesikia taarifa zako, na mimi naogopa. Yahwe, fufua kazi yako katikati wakati; katikati ya muda huu; fanya hiyo ijulikane; kumbuka kuwa na rehema katika ghadhabu yako.
3 Mungu alikuja kutoka Temani, na yule Mtakatifu kutoka Parani. (Sela) Utukufu wake umezifunika mbingu, na dunia ilikuwa imejaa utukufu wake.
[In the vision, I saw] God, the Holy One, coming from the Teman [district in Edom]; [and I also saw] him coming from the Paran Hills [in the Sinai area]. His glory filled the sky, and the earth was full of [people who were] praising him.
4 Miali miwili ya mikono yake ilikuwa iking'aa kama mwanga, ambapo uweza wake ulifichwa.
His glory was like [SIM] a sunrise; rays flashed from his hands where he hides his power.
5 Ugonjwa wa kuua ulitangulia mbele yake, na adha iliifuta miguu yake.
He sent plagues in front of him, and [other] plagues came behind him.
6 Yeye alisimama na akaipima nchi; aliangalia na aliyatikisa mataifa. Hata milima ya milele iliharibiwa kabisa, na vilima vya milele vilianguka chini. Njia yake ni ya milele.
When he stopped, the earth shook. When he looked at the nations, [all the people] trembled. The hills and mountains that have existed for a very long time [HYP] collapsed and crumbled. Yahweh is the one who exists eternally/forever!
7 Niliona mahema ya Wakushi katika mateso, na vitambaa vya mahema katika Midiani vinatetema.
[In the vision] I saw the [people who live in] tents in the Cushan [region] being afflicted, and the people in the Midian [region] trembling.
8 Yahwe alikuwa na hasira pale mtoni? Ghadhabu yako ilikuwa dhidi ya mito, au hasira yako dhidi ya bahari, unapopanda juu ya farasi wenye mikokoteni na wa ushindi wako?
Yahweh, was it because you were angry with the rivers and streams that you were angry with them? Did the seas cause you to be furious, with the result that you rode through them with horses that were pulling chariots that enabled you to defeat them?
9 Umeleta upinde wako bila mfuniko; unaweka mishale kwenye upinde wako! (Sela) uliigawa nchi na mito.
[It was as though] you uncovered your bow, took arrows from your quiver, [and prepared to shoot them]. [Then with lightning] you split open the earth, and streams burst forth.
10 Milima ilikuona wewe na kugeuka kwa huzuni. Maji yaliyomwagwa chini yalipita juu yao; kina cha bahari kilipaza sauti. Mawimbi yake yakainuka juu.
[It is as though] the mountains saw you [doing that], and they trembled. Floods rushed by; [it was as though] the deep ocean roared and caused its waves to rise up high.
11 Jua na mwezi vilisimama imara juu mahali pake katika mwanga wa mishale yako na ilipaa, pale katika uangavu wa mwanga wa mikuki yako.
The sun and moon stopped moving in the sky while your [lightning] flashed [past like] a swift arrow, and your glittering spear flashed.
12 Umetembea juu ya nchi kwa uchungu. Katika ghadhabu umepukuchua mataifa.
Being very angry [DOU], you walked across the earth and trampled the [armies of many] nations.
13 Ulikwenda nje kwaajili ya wokovu wa watu wako, Kwaajili ya wokovu wa mteule wako. Wewe pondaponda kichwa cha nyumba ya mwovu kuweka wazi msingi wa shingo. (Sela)
But you [also] went to rescue us, your people, and to save the [king] (Or, [people]) whom you had chosen [MTY]. You struck down the leader [MTY] of those wicked people and stripped off his clothes, from his head to his feet.
14 Umekichoma kichwa cha wapiganaji wake kwa mshale wake mwenyewe sababu walikuja kama upepo kututawanya sisi, wivu wao ulikuwa kama mtu ambaye anamteketeza masikini katika mahali pamaficho.
With his own spear you destroyed the leader of those soldiers who rushed like [SIM] a whirlwind to [attack and] scatter us, thinking that they could conquer us [Israelis] easily.
15 Umesafiri juu ya bahari kwa farasi wako, na kuyapita maji makuu.
You walked through the sea with your horses [to destroy our enemies], and caused the waves to surge.
16 Nilisikia, na ndani yangu nilitetemeka! midomo yangu ilitetemesha sauti. Uozo unakuja katika mifupa yangu, na chini yangu mwenyewe nilitetemeka kama nasubiri kwaajili ya siku ya kuhuzunisha ifike juu ya watu waliotushambulia sisi.
When I saw that vision, my heart pounded and my lips quivered [because I became afraid]. My legs became weak and I shook, [because I was terrified]. But I will wait quietly for the people [of Babylonia], those who invaded our country, to experience disasters!
17 Ingawa mtini hauchipui na hauzai kutokana na mzababibu; na ingawa kuzaa kwa mti wa mzaituni hakuridhishi na mashamba hayatoi chakula; na ingawa kundi mifugo limetoweka na hakuna ng'ombe katika zizi, hiki ndicho nitakacho kifanya.
[Therefore, ] even if there are no blossoms on the fig trees, and there are no grapes on the grapevines, and even if there are no olives growing on the olive trees, and there are no crops in the fields, and even if the flocks [of sheep and goats] die in the fields, and there are no cattle in the stalls/barns,
18 Bado, nitafurahia katika Yahwe. Nitakuwa nafuraha kwa sababu ya Mungu wa wokovu wangu.
I will rejoice because [I know] Yahweh. I will be joyful because Yahweh my God is the one who saves me!
19 Bwana Yahwe ni nguvu yangu na anaifanya miguu yangu kama ya kulungu. Ananifanya mimi niende mbele mahali pangu pa juu. - kufuata maelekezo ya muziki, katika vyombo vyangu vya nyuzi.
Yahweh the Lord is the one who causes me to be strong; he enables me to climb [(safely/without falling)] in the [rocky] mountains, like [SIM] a deer does. (This message is for the choir director: [When this prayer is sung, it is to be accompanied by people playing] stringed instruments.)