< Habakuki 3 >

1 Maombi ya Habakuki nabii:
A prayer of Habakkuk the prophet on shiggionoth.
2 Yahwe, nimesikia taarifa zako, na mimi naogopa. Yahwe, fufua kazi yako katikati wakati; katikati ya muda huu; fanya hiyo ijulikane; kumbuka kuwa na rehema katika ghadhabu yako.
O Yahweh I have heard report your I fear O Yahweh work your in [the] midst of years restore it in [the] midst of years you will make [it] known in wrath to have compassion you will remember.
3 Mungu alikuja kutoka Temani, na yule Mtakatifu kutoka Parani. (Sela) Utukufu wake umezifunika mbingu, na dunia ilikuwa imejaa utukufu wake.
God from Teman he comes and [the] holy [one] from [the] mountain of Paran (Selah) it has covered [the] heavens splendor his and praise his it has filled the earth.
4 Miali miwili ya mikono yake ilikuwa iking'aa kama mwanga, ambapo uweza wake ulifichwa.
And brightness like the light it is two horns from hand his [belong] to him and [is] there [the] hiding place of (strength his. *Q(K)*)
5 Ugonjwa wa kuua ulitangulia mbele yake, na adha iliifuta miguu yake.
Before him it goes pestilence so it may go out lightning to feet his.
6 Yeye alisimama na akaipima nchi; aliangalia na aliyatikisa mataifa. Hata milima ya milele iliharibiwa kabisa, na vilima vya milele vilianguka chini. Njia yake ni ya milele.
He stood - and he shook [the] earth he has seen and he has made jump nations and they have been shattered mountains of antiquity they have bowed down hills of antiquity ways of antiquity [belong] to him.
7 Niliona mahema ya Wakushi katika mateso, na vitambaa vya mahema katika Midiani vinatetema.
Under trouble I have seen [the] tents of Cushan they tremble! [the] tent curtains of [the] land of Midian.
8 Yahwe alikuwa na hasira pale mtoni? Ghadhabu yako ilikuwa dhidi ya mito, au hasira yako dhidi ya bahari, unapopanda juu ya farasi wenye mikokoteni na wa ushindi wako?
¿ On rivers has it burned O Yahweh or? on the rivers [is] anger your or? on the sea [is] fury your that you will ride on horses your chariots your salvation.
9 Umeleta upinde wako bila mfuniko; unaweka mishale kwenye upinde wako! (Sela) uliigawa nchi na mito.
Bareness it is made bare bow your oaths of arrows a word (Selah) rivers you split open [the] earth.
10 Milima ilikuona wewe na kugeuka kwa huzuni. Maji yaliyomwagwa chini yalipita juu yao; kina cha bahari kilipaza sauti. Mawimbi yake yakainuka juu.
They have seen you they writhe mountains a downpour of water it has passed over it has given forth [the] deep voice its height hands its it has lifted.
11 Jua na mwezi vilisimama imara juu mahali pake katika mwanga wa mishale yako na ilipaa, pale katika uangavu wa mwanga wa mikuki yako.
Sun moon it has stood still a lofty abode to light arrows your they go to brightness [the] lightning flash of spear your.
12 Umetembea juu ya nchi kwa uchungu. Katika ghadhabu umepukuchua mataifa.
In indignation you march [the] earth in anger you trample down nations.
13 Ulikwenda nje kwaajili ya wokovu wa watu wako, Kwaajili ya wokovu wa mteule wako. Wewe pondaponda kichwa cha nyumba ya mwovu kuweka wazi msingi wa shingo. (Sela)
You have gone out for [the] salvation of people your for [the] salvation anointed your you have shattered [the] chief from [the] house of [the] wicked you have laid bare foundation[s] to neck (Selah)
14 Umekichoma kichwa cha wapiganaji wake kwa mshale wake mwenyewe sababu walikuja kama upepo kututawanya sisi, wivu wao ulikuwa kama mtu ambaye anamteketeza masikini katika mahali pamaficho.
You pierced with own arrows his [the] head of (warriors his *Q(K)*) they storm to scatter me exultation their [was] like to devour [the] afflicted in the secret place.
15 Umesafiri juu ya bahari kwa farasi wako, na kuyapita maji makuu.
You trod on the sea horses your a heap of waters many.
16 Nilisikia, na ndani yangu nilitetemeka! midomo yangu ilitetemesha sauti. Uozo unakuja katika mifupa yangu, na chini yangu mwenyewe nilitetemeka kama nasubiri kwaajili ya siku ya kuhuzunisha ifike juu ya watu waliotushambulia sisi.
I heard - and it trembled belly my to [the] sound they quivered lips my it came rottenness in bones my and under me I trembled that I will be quiet for [the] day of trouble to come up to [the] people [which] attacks us it.
17 Ingawa mtini hauchipui na hauzai kutokana na mzababibu; na ingawa kuzaa kwa mti wa mzaituni hakuridhishi na mashamba hayatoi chakula; na ingawa kundi mifugo limetoweka na hakuna ng'ombe katika zizi, hiki ndicho nitakacho kifanya.
For [the] fig tree not it buds and there not [is] produce on the vines it fails [the] product of [the] olive tree and fields not it produces food someone cuts off from [the] fold [the] flock and not cattle [is] in the stalls.
18 Bado, nitafurahia katika Yahwe. Nitakuwa nafuraha kwa sababu ya Mungu wa wokovu wangu.
And I in Yahweh I will exult I will rejoice in [the] God of salvation my.
19 Bwana Yahwe ni nguvu yangu na anaifanya miguu yangu kama ya kulungu. Ananifanya mimi niende mbele mahali pangu pa juu. - kufuata maelekezo ya muziki, katika vyombo vyangu vya nyuzi.
(Yahweh *L(abh)*) [the] Lord [is] strength my and he makes feet my like does and on high places my he makes tread me to the choirmaster with stringed instruments my.

< Habakuki 3 >