< Habakuki 3 >

1 Maombi ya Habakuki nabii:
A prayer of Habakkuk the prophet, according to the Shigionoth.
2 Yahwe, nimesikia taarifa zako, na mimi naogopa. Yahwe, fufua kazi yako katikati wakati; katikati ya muda huu; fanya hiyo ijulikane; kumbuka kuwa na rehema katika ghadhabu yako.
I have heard, Lord, of your fame, I have seen, Lord, your work; through the years you have make yourself known, in wrath you remember mercy.
3 Mungu alikuja kutoka Temani, na yule Mtakatifu kutoka Parani. (Sela) Utukufu wake umezifunika mbingu, na dunia ilikuwa imejaa utukufu wake.
God comes from Teman, and the Holy One from the mountain-land of Paran. (Selah) His glory covers the heavens, and his splendour fills the earth.
4 Miali miwili ya mikono yake ilikuwa iking'aa kama mwanga, ambapo uweza wake ulifichwa.
Before him it is like the light, rays he has at his side, where his power is hidden.
5 Ugonjwa wa kuua ulitangulia mbele yake, na adha iliifuta miguu yake.
Before him pestilence stalks, after him plague follows.
6 Yeye alisimama na akaipima nchi; aliangalia na aliyatikisa mataifa. Hata milima ya milele iliharibiwa kabisa, na vilima vya milele vilianguka chini. Njia yake ni ya milele.
He stands, and the earth trembles, he looks, and the nations melt away, and the mountains of old are scattered, the everlasting hills bow down. These are his ways from of old.
7 Niliona mahema ya Wakushi katika mateso, na vitambaa vya mahema katika Midiani vinatetema.
The tents of Cushan are afraid, the curtains of Midian tremble.
8 Yahwe alikuwa na hasira pale mtoni? Ghadhabu yako ilikuwa dhidi ya mito, au hasira yako dhidi ya bahari, unapopanda juu ya farasi wenye mikokoteni na wa ushindi wako?
Is your wrath, Lord, with the rivers? Is your anger against the streams? Or your rage against the sea? Is that why you ride on your war-steeds? Why you mount your chariots of victory?
9 Umeleta upinde wako bila mfuniko; unaweka mishale kwenye upinde wako! (Sela) uliigawa nchi na mito.
Why you bare your bow? Why you fill your quiver with shafts? You split the earth with torrents.
10 Milima ilikuona wewe na kugeuka kwa huzuni. Maji yaliyomwagwa chini yalipita juu yao; kina cha bahari kilipaza sauti. Mawimbi yake yakainuka juu.
The mountains see you and writhe. The tempest of waters sweeps by. The great deep sends forth its voice, and lifts up its hands.
11 Jua na mwezi vilisimama imara juu mahali pake katika mwanga wa mishale yako na ilipaa, pale katika uangavu wa mwanga wa mikuki yako.
The sun forgets to rise. The moon stands still in its place. Your arrows go forth to give light. Your glittering spear is as lightning.
12 Umetembea juu ya nchi kwa uchungu. Katika ghadhabu umepukuchua mataifa.
In rage you stride over the earth. In wrath you trample the nations.
13 Ulikwenda nje kwaajili ya wokovu wa watu wako, Kwaajili ya wokovu wa mteule wako. Wewe pondaponda kichwa cha nyumba ya mwovu kuweka wazi msingi wa shingo. (Sela)
You go forth to save your people. You go to help your anointed. You crush the head of the wicked nation, laying him bare from thigh to neck. (Selah)
14 Umekichoma kichwa cha wapiganaji wake kwa mshale wake mwenyewe sababu walikuja kama upepo kututawanya sisi, wivu wao ulikuwa kama mtu ambaye anamteketeza masikini katika mahali pamaficho.
You pierced his head with his spears, as his champions storm out to scatter us, as they rejoice to devour the poor secretly.
15 Umesafiri juu ya bahari kwa farasi wako, na kuyapita maji makuu.
You tread the sea with your horses, while the mighty waters roar.
16 Nilisikia, na ndani yangu nilitetemeka! midomo yangu ilitetemesha sauti. Uozo unakuja katika mifupa yangu, na chini yangu mwenyewe nilitetemeka kama nasubiri kwaajili ya siku ya kuhuzunisha ifike juu ya watu waliotushambulia sisi.
I hear, and my body trembles, and at the sound my lips quiver. My bones begin to decay, and my footsteps totter beneath me, while I long for the day of distress to come upon those who attack us.
17 Ingawa mtini hauchipui na hauzai kutokana na mzababibu; na ingawa kuzaa kwa mti wa mzaituni hakuridhishi na mashamba hayatoi chakula; na ingawa kundi mifugo limetoweka na hakuna ng'ombe katika zizi, hiki ndicho nitakacho kifanya.
Though the fig tree bears no fruit, and there are no grapes on the vines, though the olive harvest fails, and the fields produce no food, though the flock is cut off from the fold, and there is no herd in the stalls,
18 Bado, nitafurahia katika Yahwe. Nitakuwa nafuraha kwa sababu ya Mungu wa wokovu wangu.
yet I will exult in the Lord, and rejoice in the God who saves me.
19 Bwana Yahwe ni nguvu yangu na anaifanya miguu yangu kama ya kulungu. Ananifanya mimi niende mbele mahali pangu pa juu. - kufuata maelekezo ya muziki, katika vyombo vyangu vya nyuzi.
The Lord God is my strength; he makes my feet as sure as the feet of deer, and causes me to walk on the heights! To the music director: Use stringed instruments.

< Habakuki 3 >