< Habakuki 3 >

1 Maombi ya Habakuki nabii:
Omdamlaa dongah tonghma Habakkuk kah thangthuinah.
2 Yahwe, nimesikia taarifa zako, na mimi naogopa. Yahwe, fufua kazi yako katikati wakati; katikati ya muda huu; fanya hiyo ijulikane; kumbuka kuwa na rehema katika ghadhabu yako.
BOEIPA aw na olthang ka yaak tih kan hiin coeng. BOEIPA aw na khoboe te kum laklo ah hing sak. Te te kum laklo ah tueng sak. Ngaihmang vaengah haidam lamtah thoelh lah.
3 Mungu alikuja kutoka Temani, na yule Mtakatifu kutoka Parani. (Sela) Utukufu wake umezifunika mbingu, na dunia ilikuwa imejaa utukufu wake.
Pathen tah Teman lamloh, aka Cim tah Paran tlang lamloh pai coeng. (Selah) A mueithennah loh vaan a khuk tih amah koehnah he diklai ah bae.
4 Miali miwili ya mikono yake ilikuwa iking'aa kama mwanga, ambapo uweza wake ulifichwa.
A aa he khosae bangla om. A kut lamkah a ki amah taengah om tih a sarhi dongkah thingthungnah la pahoi om.
5 Ugonjwa wa kuua ulitangulia mbele yake, na adha iliifuta miguu yake.
A hmai ah duektahaw cet tih a kho dongah hmaino a khuen.
6 Yeye alisimama na akaipima nchi; aliangalia na aliyatikisa mataifa. Hata milima ya milele iliharibiwa kabisa, na vilima vya milele vilianguka chini. Njia yake ni ya milele.
A pai vaengah diklai tuen, a hmuh vaengah namtom te cungpet. Suen kah tlang rhoek te taekyak uh tih khosuen som khaw tim. Te dongah khosuen kah lambong khaw amah la om coeng.
7 Niliona mahema ya Wakushi katika mateso, na vitambaa vya mahema katika Midiani vinatetema.
Boethae khuikah Kushan dap rhoek te ka hmuh vaengah Midian kho kah himbaiyan rhoek tlai uh.
8 Yahwe alikuwa na hasira pale mtoni? Ghadhabu yako ilikuwa dhidi ya mito, au hasira yako dhidi ya bahari, unapopanda juu ya farasi wenye mikokoteni na wa ushindi wako?
BOEIPA aw tuiva taengah na sai nama? Khangnah dongah na marhang, na leng neh na ngol vaengah, na thintoek te tuiva taengla, na thinpom te tuipuei taengah na sah mai.
9 Umeleta upinde wako bila mfuniko; unaweka mishale kwenye upinde wako! (Sela) uliigawa nchi na mito.
Olhlo bangla na lii te a ah la na yueh tih olkhueh caitueng neh diklai tuiva na phih coeng. (Selah)
10 Milima ilikuona wewe na kugeuka kwa huzuni. Maji yaliyomwagwa chini yalipita juu yao; kina cha bahari kilipaza sauti. Mawimbi yake yakainuka juu.
Na hmuh vaengah tlang rhoek kilkul uh tih cingtui tui loh a kawt. Tuidung loh a ol a paek tih a kut te a sang la a thueng.
11 Jua na mwezi vilisimama imara juu mahali pake katika mwanga wa mishale yako na ilipaa, pale katika uangavu wa mwanga wa mikuki yako.
Na thaltang a thui vaengkah vangnah dongah khaw, na caai dongkah rhaek aa dongah khaw khomik neh hla tah a imhmuen ah pai.
12 Umetembea juu ya nchi kwa uchungu. Katika ghadhabu umepukuchua mataifa.
Kosi dongah diklai na luei sak tih thintoek dongah namtom na til.
13 Ulikwenda nje kwaajili ya wokovu wa watu wako, Kwaajili ya wokovu wa mteule wako. Wewe pondaponda kichwa cha nyumba ya mwovu kuweka wazi msingi wa shingo. (Sela)
Na pilnam kah khangnah ham khaw, na koelh te khangnah ham khaw na cet coeng. Halang imkhui kah boeilu te na phop tih a khoengim te a rhawn duela na khoel pah. (Selah)
14 Umekichoma kichwa cha wapiganaji wake kwa mshale wake mwenyewe sababu walikuja kama upepo kututawanya sisi, wivu wao ulikuwa kama mtu ambaye anamteketeza masikini katika mahali pamaficho.
A pueng, a pueng kah lu tah a caitueng neh na toeh pah coeng. Amih tah a huephael ah mangdaeng a dolh uh bangla amamih kah kocuknah neh kai taekyak ham thikthuek uh.
15 Umesafiri juu ya bahari kwa farasi wako, na kuyapita maji makuu.
Na marhang neh tuitunli soah na cawt vaengah tui dongkah lainaeng muep yet.
16 Nilisikia, na ndani yangu nilitetemeka! midomo yangu ilitetemesha sauti. Uozo unakuja katika mifupa yangu, na chini yangu mwenyewe nilitetemeka kama nasubiri kwaajili ya siku ya kuhuzunisha ifike juu ya watu waliotushambulia sisi.
Ka yaak vaengah, ka bungko he ol dongah tlai tih, ka hmuilai khaw umya. Ka rhuh khuila keet kun tih, a dang duela ka tlai. Te dongah kaimih aka tloek pilnam soah aka pai ham, citcai hnin ni ka rhing.
17 Ingawa mtini hauchipui na hauzai kutokana na mzababibu; na ingawa kuzaa kwa mti wa mzaituni hakuridhishi na mashamba hayatoi chakula; na ingawa kundi mifugo limetoweka na hakuna ng'ombe katika zizi, hiki ndicho nitakacho kifanya.
Thaibu te cuen pawt tih misur dongah cangpai tal coeng. Olive muei loh n'namnah tih, lohmali loh caak khueh pawh. Vongtung lamkah boiva loh n'tuiphih tak tih, saelim ah saelhung khaw tal coeng.
18 Bado, nitafurahia katika Yahwe. Nitakuwa nafuraha kwa sababu ya Mungu wa wokovu wangu.
Tedae kai tah, BOEIPA rhangneh ka sundaep vetih, kamah daemnah Pathen rhangnen ni ka omngaih eh.
19 Bwana Yahwe ni nguvu yangu na anaifanya miguu yangu kama ya kulungu. Ananifanya mimi niende mbele mahali pangu pa juu. - kufuata maelekezo ya muziki, katika vyombo vyangu vya nyuzi.
Yahovah tah, ka Boeipa neh ka thadueng ni. Te dongah ka kho he, sayuk bangla a khueh tih, ka hmuensang ah kai n'cawt sak. Rhotoeng neh aka tingtoeng ham.

< Habakuki 3 >