< Habakuki 2 >
1 Nitasimama kwenye nguzo yangu ya ulinzi na kujiweka mwenyewe juu ya mnara wa mlinzi, na nitatazama kwa makini kuona yeye atasema nini kwangu na namna gani nitageuka kutoka kwenye lawama yangu.
upon charge my to stand: stand and to stand upon siege and to watch to/for to see: see what? to speak: speak in/on/with me and what? to return: reply upon argument my
2 Yahwe alinijibu na alisema, “Rekodi maono haya, na uandike dhahiri juu ya kibao ili kwamba anayesoma anaweza kukimbia.
and to answer me LORD and to say to write vision and to make plain upon [the] tablet because to run: run to call: read out in/on/with him
3 Sababu maono haya bado ni kwa wakati ujao na hatimaye atazungumza bila kuanguka. Ingawa inachelewa, isubiri. Sababu kwa hakika itatakuja na haitachelewa.
for still vision to/for meeting: time appointed and to breathe to/for end and not to lie if to delay to wait to/for him for to come (in): fulfill to come (in): fulfill not to delay
4 Tazama! yule ambae hamu yake siyo sawa ndani yake anapumua kwa nguvu. Lakini mwenye haki ataishi kwa imani.
behold to swell not to smooth soul his in/on/with him and righteous in/on/with faithfulness his to live
5 Sababu mvinyo ni msaliti wa kijana mwenye kiburi ili kwamba asistahimili, lakini hukuza tamaa yake kama kaburi na, kama kifo, haitaweza kuridhishwa. Yeye anajikusanyia kila taifa na anakusanya kwaajili yake watu wote. (Sheol )
and also for [the] wine to act treacherously great man proud and not to dwell which to enlarge like/as hell: Sheol soul: appetite his and he/she/it like/as death and not to satisfy and to gather to(wards) him all [the] nation and to gather to(wards) him all [the] people (Sheol )
6 Haya yote hayatatengeneza usemi kumdhihaki na wimbo wa dhihaka unaomhusu, 'ole wake yule aongezaye visivyo vya kwake! kwa muda gani utaongeza uzito wa dhamana uliyochukua?'
not these all their upon him proverb to lift: loud and mockery riddle to/for him and to say woe! [the] to multiply not to/for him till how and to honor: heavy upon him debt
7 Wale wanao ngojea kwako hawatainuka ghafla? na wale wanaokutetemesha kuamka? Utakuwa mwathirika kwaajili yao.
not suddenness to arise: rise to bite you and to awake to tremble you and to be to/for plunder to/for them
8 Kwasababu umeteka nyara watu wengi, mabaki yote ya watu, yatakuteka nyara wewe. Sababu umemwaga damu nyingi za watu na umetenda kwa uasi kinyume cha nchi, miji, na wote wanaokaa ndani yake.
for you(m. s.) to loot nation many to loot you all remainder people from blood man and violence land: country/planet town and all to dwell in/on/with her
9 Ole kwa yule anayechonga mapato maovu kwaajili ya nyumba yake, hivyo anaweza kutengeneza kiota chake juu kumweka yeye salama mbali na mikono ya uovu.
woe! to cut off: to gain unjust-gain bad: evil to/for house: household his to/for to set: make in/on/with height nest his to/for to rescue from palm bad: evil
10 Umebuni aibu kwa nyumba yako kwa kuwakata watu wengi, na umefanya dhambi dhidi yako mwenyewe.
to advise shame to/for house: household your to cut off people many and to sin soul: life your
11 Sababu jiwe litapaza sauti kutoka ukutani, na pao la mbao litawajibu,
for stone from wall to cry out and rafter from tree: wood to answer her
12 'Ole wake yule ajengaye mji kwa damu, na anayeimarisha mji kwa katika uovu.
woe! to build city in/on/with blood and to establish: make town in/on/with injustice
13 Hii haitoki kwa Yahwe wa majeshi kwamba watu wafanye kazi kwa moto na mataifa yote mengine yanachakaa menyewe bila kitu?
not behold from with LORD Hosts and be weary/toil people in/on/with sufficiency fire and people in/on/with sufficiency vain to faint
14 Bado nchi itajaa maarifa ya utukufu wa Yahwe kama maji yanavyojaza bahari.
for to fill [the] land: country/planet to/for to know [obj] glory LORD like/as water to cover upon sea
15 'Ole wake yule anayemfanya jirani yake alewe, wewe ambaye unaye ongeza sumu uwafanye walewe ili uweze kutazama uchi wao.
woe! to water: drink neighbor his to attach rage your and also be drunk because to look upon nakedness their
16 Utavimbiwa na aibu zaidi kuliko utukufu. Kunywa hiyo vilevile, na funua uchi wako mwenyewe. Kikombe cha mkono wa kuume wa Yahwe utakuja katika kukugeukia wewe, na aibu itafunika heshima yako.
to satisfy dishonor from glory to drink also you(m. s.) and be uncircumcised to turn: turn upon you cup right LORD and disgrace upon glory your
17 Vurugu iliyofanywa kwa Lebanoni itakufunika na uharibifu wa wanyama utakuogopesha. Sababu umemwaga damu za watu na umetenda kwa uasi dhidi ya ile nchi, miji, na wote wanaokaa humo.
for violence Lebanon to cover you and violence animal to to be dismayed them from blood man and violence land: country/planet town and all to dwell in/on/with her
18 Sanamu iliyochongwa inakufaidia nini? Sababu yule aliyeichonga hiyo, au ambaye kaisubu kwa kuiyeyusha metali, ni mwalimu wa uongo; Sababu anaiamini kazi ya mikono yake anapotengeneza miungu hii isiyoongea.
what? to gain idol for to hew him to form: formed him liquid and to show deception for to trust to form: formed intention his upon him to/for to make idol mute
19 'Ole kwa yule anayeuambia ubao, Amka! Au kwa jiwe lisiloongea, Inuka!' Vitu hivi vinafundisha? Angalia, hiki juu kimefunikwa kwa dhahabu na fedha, lakini ndani yake hakipumui kabisa.
woe! to say to/for tree: wood to awake [emph?] to rouse to/for stone silence he/she/it to show behold he/she/it to capture gold and silver: money and all spirit: breath nothing in/on/with entrails: among his
20 Lakini Yahwe yumo katika hekalu lake takatifu! Nchi yote iwe kimya mbele zake.
and LORD in/on/with temple holiness his to silence from face: before his all [the] land: country/planet