< Habakuki 1 >
1 Ujumbe ambao habakuki nabii alipokea,
Vision d'Habacuc, le prophète.
2 Yahwe, kwa muda gani nitalilia msaada, na hutasikia? Nimekulilia wewe katika kitisho, 'vurugu' lakini hutaniokoa.
Jusques à quand, Seigneur, crierai-je sans que Tu m'écoutes? Jusques à quand Te crierai-je que l'on me fait violence? N'en me sauveras-Tu pas?
3 Kwanini unanifanya nione mabaya na kuangalia matendo mabaya. Uharibifu na vurugu uko mbele yangu; kuna mapambano, na ushindani unainuka.
Pourquoi m'as-Tu affligé et m'as-Tu donné la douleur de voir la misère et l'impiété? Je suis en procès, et le juge reçoit des présents.
4 Walakini sheria ni dhaifu, na haki haiishi kwa wakati wowote. Sababu uovu umezunguka haki; walakini haki ya uongo inatoweka. “Yahwe” anamjibu habakuki
À cause de cela, la loi a été déchirée, et le jugement n'arrivera pas à bonne fin, parce que l'impie opprime le juste, et la sentence sera torturée.
5 “Angalia mataifa na uwajaribu; stajaabishwa na shangazwa! Sababu nina uhakika kuhusu kufanya kitu katika siku zako kwamba hutaamini itakapotaarifiwa kwenu.
Voyez, contempteurs de la loi, regardez et admirez ces merveilles, et soyez anéantis: car, de vos jours, Je vais faire une œuvre que vous ne croirez pas, quoiqu'on vous l'annonce.
6 Sababu angalia! nakaribia kuwainua Wakaldayo - taifa katili na lenye kishindo - wanatembea kupitia upana wa nchi kuteka nyumba zisizo za kwao.
Voilà que Je vais susciter les Chaldéens, nation cruelle et rapide, qui marche sur les plaines de la terre, pour prendre possession de tentes qui ne sont point les siennes.
7 Wanahofu na kuogopa; hukumu yao na uzuri kutoka kwao unaendelea.
Redoutable et fameuse, c'est d'elle que le jugement procédera; tout son butin proviendra d'elle-même.
8 Farasi wao pia wanambio sana kuliko chui, wepesi sana kuliko mbwa mwitu wa jioni. Farasi wao huwaseta, na wapanda farasi wao wanakuja kutoka mbali - wanapaa kama tai anayewahi kula.
Et ses chevaux s'élanceront plus agiles que le léopard; ils courront plus rapides que les loups de l'Arabie. Et ses cavaliers sortiront à cheval, et ils prendront de loin leur élan, et ils se déploieront comme l'aigle ardent à dévorer sa proie.
9 Wote wanakuja kwa vurugu; makundi yao yanakwenda kama upepo wa jangwani, na wanakusanya mateka kama mchanga.
La perdition tombera sur les impies qui leur feront face, et leur tiendront tête; et l'envahisseur emmènera des captifs aussi nombreux que les grains de sable.
10 Wanawadhihaki wafalme, na viongozi ni dhihaka kwaajili yao. Huicheka kila ngome, maana hurundika mavumbi na kuyaondoa.
Et il se raillera des rois, et les tyrans seront pour lui des jouets, et il rira de chaque forteresse, et il l'entourera de levées de terre, et il la prendra de force.
11 Ndipo upepo utapita; itaendelea kupita - watu wenye hatia, ambao uwezo wao ni katika mungu.” Habakuki anamuuliza Yahwe swali lingine
Alors son esprit changera, et il se transformera, et il fera pitié; telle est la force de mon Dieu.
12 “Wewe si wa tangu nyakati za zamani, Yahwe Mungu wangu, uliye Mtakatifu? Sisi hatutakufa. Yahwe aliwatenga kwaajili ya hukumu, na ninyi, Mwamba, mmeimarisha kwaajili ya kusahihisha.
Seigneur, mon Dieu et mon Saint, n'es-Tu pas dès le commencement? Est-ce que nous mourrons? Tu as établi ces choses pour le jugement, et Tu m'as formé, Seigneur, pour annoncer Ton châtiment.
13 Macho yenu ni safi kuangaza juu ya uovu, lakini hamuwezi kuangalia matendo mabaya kwa fadhila; kwa nini mnaangalia kwa upendeleo hivyo juu ambao wanasaliti? Kwanini kunyamaza wakati uovu unameza sana wenye haki zaidi yao?
L'œil du Seigneur est trop dur pour regarder le mal et s'arrêter sur les labeurs de l'affliction. Pourquoi, Seigneur, considères-Tu ceux qui Te méprisent? Pourquoi gardes-Tu le silence quand l'impie dévore le juste?
14 unawafanya watu kama samaki baharini, kama vitu vitambaavyo bila kiongozi juu yao.
Traites-Tu les hommes comme les poissons de la mer, ou comme les reptiles qui n'ont point de guide?
15 Wao wanawaleta wote kwa ndoano; wanawakokota watu kutoka kwenye nyavu za samaki na kuwakusanya kwenye wavu wao. Hii ndiyo sababu wanafurahi na kupiga kelele kwa uchangamfu sana.
Il a pris toute l'espèce à l'hameçon; il en a tiré un avec le filet; il en a enfermé un autre dans sa nasse. À cause de cela, il sera plein d'allégresse, et se réjouira en son cœur.
16 Walakini wanatoa sadaka kwenye nyavu zao za kuvulia na kuchoma ubani kwenye nyavu zao, sababu wanyama wanene ni sehemu yao, na nyama iliyonona ni chakula chao.
À cause de cela, il sacrifiera à sa nasse, il encensera son filet, parce qu'avec leur aide il aura engraissé sa part, et recueilli des aliments de choix.
17 Kwa sababu hiyo watamaliza nyavu zao za kuvulia na kuendelea kuchicha mataifa, bila kuhisi huruma”?
Et, à cause de cela, il jettera encore son filet, et ne se fera jamais faute de tuer les nations.