< Habakuki 1 >

1 Ujumbe ambao habakuki nabii alipokea,
The birthun that Abacuk, the profete, sai.
2 Yahwe, kwa muda gani nitalilia msaada, na hutasikia? Nimekulilia wewe katika kitisho, 'vurugu' lakini hutaniokoa.
Hou longe, Lord, schal Y crye, and thou schalt not here? Y suffrynge violence schal crie an hiy to thee, and thou schalt not saue?
3 Kwanini unanifanya nione mabaya na kuangalia matendo mabaya. Uharibifu na vurugu uko mbele yangu; kuna mapambano, na ushindani unainuka.
Whi schewidist thou to me wickidnesse and trauel, for to se prey and vnriytwisnesse ayens me? Whi biholdist thou dispiseris, and art stille, the while an vnpitouse man defoulith a riytfulere than hym silf? And thou schalt make men as fischis of the see, and as crepynge thingis not hauynge a ledere; and doom is maad, and ayenseiyng is more miyti.
4 Walakini sheria ni dhaifu, na haki haiishi kwa wakati wowote. Sababu uovu umezunguka haki; walakini haki ya uongo inatoweka. “Yahwe” anamjibu habakuki
For this thing lawe is `to-brokun, and doom cometh not til to the ende; for the vnpitouse man hath miyt ayens the iust, therfor weiward doom schal go out.
5 “Angalia mataifa na uwajaribu; stajaabishwa na shangazwa! Sababu nina uhakika kuhusu kufanya kitu katika siku zako kwamba hutaamini itakapotaarifiwa kwenu.
Biholde ye in hethene men, and se ye, and wondre ye, and greetli drede ye; for a werk is doon in youre daies, which no man schal bileue, whanne it schal be teld.
6 Sababu angalia! nakaribia kuwainua Wakaldayo - taifa katili na lenye kishindo - wanatembea kupitia upana wa nchi kuteka nyumba zisizo za kwao.
For lo! Y schal reise Caldeis, a bittir folk and swift, goynge on the breede of erthe, that he welde tabernaclis not hise.
7 Wanahofu na kuogopa; hukumu yao na uzuri kutoka kwao unaendelea.
It is orible, and dredeful; the dom and birthun therof schal go out of it silf.
8 Farasi wao pia wanambio sana kuliko chui, wepesi sana kuliko mbwa mwitu wa jioni. Farasi wao huwaseta, na wapanda farasi wao wanakuja kutoka mbali - wanapaa kama tai anayewahi kula.
His horsis ben liytere than pardis, and swifter than euentyd woluys, and hise horse men schulen be scaterid abrood; for whi `horse men schulen come fro fer, thei schulen fle as an egle hastynge to ete.
9 Wote wanakuja kwa vurugu; makundi yao yanakwenda kama upepo wa jangwani, na wanakusanya mateka kama mchanga.
Alle men schulen come to preye, the faces of hem is as a brennynge wynd; and he schal gadere as grauel caitifte,
10 Wanawadhihaki wafalme, na viongozi ni dhihaka kwaajili yao. Huicheka kila ngome, maana hurundika mavumbi na kuyaondoa.
and he schal haue victorie of kyngis, and tirauntis schulen be of his scornyng. He schal leiye on al strengthe, and schal bere togidere heep of erthe, and schal take it.
11 Ndipo upepo utapita; itaendelea kupita - watu wenye hatia, ambao uwezo wao ni katika mungu.” Habakuki anamuuliza Yahwe swali lingine
Thanne the spirit schal be chaungid, and he schal passe forth, and falle doun; this is the strengthe of hym, of his god.
12 “Wewe si wa tangu nyakati za zamani, Yahwe Mungu wangu, uliye Mtakatifu? Sisi hatutakufa. Yahwe aliwatenga kwaajili ya hukumu, na ninyi, Mwamba, mmeimarisha kwaajili ya kusahihisha.
Whether `thou, Lord, art not my God, myn hooli, and we schulen not die? Lord, in to doom thou hast set hym, and thou groundidist hym strong, that thou schuldist chastise.
13 Macho yenu ni safi kuangaza juu ya uovu, lakini hamuwezi kuangalia matendo mabaya kwa fadhila; kwa nini mnaangalia kwa upendeleo hivyo juu ambao wanasaliti? Kwanini kunyamaza wakati uovu unameza sana wenye haki zaidi yao?
Thin iyen ben clene, se thou not yuel, and thou schalt not mowe biholde to wickidnesse. Whi biholdist thou not on men doynge wickidli, and thou art stille, while the vnpitouse man deuourith a more iust man than hymsilf?
14 unawafanya watu kama samaki baharini, kama vitu vitambaavyo bila kiongozi juu yao.
And thou schalt make men as fischis of the see, and as a crepynge thing not hauynge prince.
15 Wao wanawaleta wote kwa ndoano; wanawakokota watu kutoka kwenye nyavu za samaki na kuwakusanya kwenye wavu wao. Hii ndiyo sababu wanafurahi na kupiga kelele kwa uchangamfu sana.
He schal lifte vp al in the hook; he drawide it in his greet net, and gaderide in to his net; on this thing he schal be glad, and make ioie with outforth.
16 Walakini wanatoa sadaka kwenye nyavu zao za kuvulia na kuchoma ubani kwenye nyavu zao, sababu wanyama wanene ni sehemu yao, na nyama iliyonona ni chakula chao.
Therfore he schal offere to his greet net, and schal make sacrifice to his net; for in hem his part is maad fat, and his mete is chosun.
17 Kwa sababu hiyo watamaliza nyavu zao za kuvulia na kuendelea kuchicha mataifa, bila kuhisi huruma”?
Therfor for this thing he spredith abrood his greet net, and euere more he ceesith not for to sle folkis.

< Habakuki 1 >