+ Mwanzo 1 >

1 Hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na nchi.
Apuengcue vah, Cathut ni kalvan hoi talai a sak.
2 Nayo nchi haikuwa na umbo na ilikuwa tupu. Giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji. Roho wa Mungu alikuwa akielea juu ya uso wa maji.
Talai teh meilam tawn hoeh. Ahrawng lah doeh ao. Hmonae ni kadung poung e hmuen a ramuk. Cathut e Muitha teh tui van a kâroe.
3 Mungu akasema, “na kuwe nuru,” na kulikuwa na nuru.
Cathut ni angnae awm seh ati teh angnae teh ao.
4 Mungu akaona nuru kuwa ni njema. Akaigawa nuru na giza.
Angnae teh Cathut ni a khet navah ahawi ati teh, Cathut ni angnae teh hmonae dawk hoi a kapek.
5 Mungu akaiita nuru “mchana” na giza akaliita “usiku.” Ikawa jioni na asubuhi, siku ya kwanza.
Cathut ni angnae hah khodai telah a phung, hmonae hah karum telah a phung. Hottelah, tangmin hoi amom teh apasuek hnin lah ao.
6 Mungu akasema, “na kuwe na anga kati ya maji, na ligawe maji na maji.”
Hahoi Cathut ni, tui lungui lathueng awmseh, tui hoi tui kâkapek seh telah ati.
7 Mungu akafanya anga na kugawanya maji yaliyo kuwa chini ya anga na maji ambayo yalikuwa juu ya anga. Ikawa hivyo.
Hottelah Cathut ni lathueng a sak teh, lathueng lah kaawm e tui hoi lathueng rahim lah kaawm e tui hah a kapek teh hottelah ao awh.
8 Mungu akaita anga “mbingu.” Ikawa jioni na asubuhi siku ya pili.
Cathut ni lathueng teh kalvan telah a phung. Hottelah tangmin hoi amom teh apâhni hnin lah ao.
9 Mungu akasema, “maji yaliyo chini ya mbingu yakusanyike pamoja mahali pamoja, na ardhi kavu ionekane.” Ikawa hivyo.
Hahoi Cathut ni kalvan rahim kaawm e tui hmuen buet touh koe awm seh. Kaphui e talai kamnuek seh ati e patetlah ao.
10 Mungu aliita ardhi kavu “nchi,” na maji yaliyo kusanyika akayaita “bahari.” Akaona kuwa ni vyema.
Cathut ni kaphui e talai hah talai telah ati teh, tuikamuemnae teh tuipui telah a phung. Cathut ni a khet navah ahawi telah ati.
11 Mungu akasema, nchi ichipushe mimea: miche itoayo mbegu na miti ya matunda itoayo matunda ambayo mbegu yake imo ndani ya tunda, kila kitu kwa namna yake.” Ikawa hivyo.
Hahoi Cathut ni hettelah ati, talai ni pho, cati ka tâcawt sak e cakung, a paw ka paw e thingkung, amamouh a coung e patetlah atimu katâcawtkhai e naw hah paw naseh ati e patetlah ao awh.
12 Nchi ikatoa mimea, miche itoayo mbegu ya aina yake, na miti itoayo tunda ambalo mbegu yake imo ndani yake, kwa aina yake. Mungu akaona kuwa ni vyema.
Talai ni pho, cati ka tâcawt sak e cakung, ati ka tawn ni teh a paw ka paw e thingkungnaw a pâw sak. Hotnaw hah Cathut ni a khet navah ahawi telah ati.
13 Ikawa jioni na asubuhi, siku ya tatu.
Hottelah tangmin hoi amom teh apâthum hnin lah ao.
14 Mungu akasema, “kuwe na mianga katika anga kutenganisha mchana na usiku. Na ziwe kama ishara, kwa majira, kwa siku na miaka.
Hahoi Cathut ni karum dawk hoi khodai kapek nahanelah, kalvan e lathueng dawk angnae awm seh, mitnoutnae tue, hnin hoi kumnaw awmseh.
15 Ziwe mianga katika anga ili kutoa mwanga juu ya nchi.” Ikawa hivyo.
Kalvan e lathueng dawk, talai angnae ka poe hanelah, angnae awmseh telah ati e patetlah ao.
16 Mungu akafanya mianga mikuu miwili, mwanga mkuu zaidi kutawala mchana, na mwanga mdogo kutawala usiku. Akafanya nyota pia.
Hahoi Cathut ni angnae kalen kahni touh a sak teh, khodai ka uk hanelah kalen e buet touh, karum ka uk hanelah kathoenge buet touh hoi âsinaw a sak.
17 Mungu akazipanga katika anga kutoa mwanga juu nchi,
Cathut ni talai dawk ang sak hanelah thoseh, khodai hoi karum ka uk hanelah thoseh, hmonae dawk hoi angnae kapek hanelah thoseh, kalvan e lathueng dawk a hruek.
18 kutawala mchana na usiku, na kugawanya mwanga kutoka kwenye giza. Mungu akaona kuwa ni vyema.
Hote hah Cathut ni a khet navah, ahawi telah ati.
19 Ikawa jioni na asubuhi, siku ya nne.
Hottelah tangmin hoi amom teh apali hnin lah ao.
20 Mungu akasema, “maji yajae idadi kubwa ya viumbe hai, na ndege waruke juu ya nchi katika anga la mbingu.”
Hahoi, Cathut ni kahring ni teh kâroe e saring, tui ni pungdaw sak naseh. Tavanaw hai kalvan e lathueng dawk kamleng naseh telah ati.
21 Mungu akaumba viumbe wakubwa wa baharini, pamoja na kila kiumbe hai cha aina yake, viumbe waendao na wanaojaa kila mahali majini, na kila ndege mwenye mabawa kwa aina yake. Mungu akaona kuwa ni vyema.
Hahoi, Cathut ni tuipui dawk e saring kalenpoungnaw, kahring ni teh kâroe e saringnaw tui ni amamouh coungnae patetlah lengkaleng a pungdaw sak teh, rathei ka tawn e tavanaw hai amamouh coungnae patetlah lengkaleng a sak. Hote hah Cathut ni a khet navah ahawi telah ati.
22 Mungu akavibariki, akisema, “zaeni na muongezeke, na mjae majini katika bahari. Ndege waongezeke juu nchi.”
Cathut ni hote saringnaw hah yawhawi a poe teh, moikapap pungdaw awh nateh, tuipui tuinaw dawk kawi sak awh. Tavanaw hai talai dawk pungdaw awh telah ati.
23 Ikawa jioni na asubuhi, siku ya tano.
Hottelah tangmin hoi amom teh apanga hnin lah ao.
24 Mungu akasema, “nchi na itoe viumbe hai, kila kiumbe kwa aina yake, mnyama wa kufugwa, vitu vitambaavyo, na wanyama wa nchi, kila kitu kwa jinsi yake.” Ikawa hivyo.
Hahoi Cathut ni saring hoi moithangnaw, vonpui hoi kâva e moithangnaw talî ni pungdaw sak seh telah ati e patetlah ao.
25 Mungu akafanya wanyama wa nchi kwa aina yake, wanyama wa kufugwa kwa aina yake, na kila kitambaaho juu ya ardhi kwa aina yake. Akaona kuwani vyema.
Hottelah Cathut ni moithangnaw, saringnaw, vonpui hoi kâva e moithang pueng teh a sak. Hote hah Cathut ni a khet navah ahawi telah ati.
26 Mung akasema, “na tumfanye mtu katika mfano wetu, wa kufanana na sisi. Wawe na mamlaka juu ya samaki wa bahari, juu ya ndege wa angani, juu ya wanyama wa kufuga, juu ya nchi yote, na juu ya kila kitu kitambaacho kinacho tambaa juu ya nchi.”
Hahoi Cathut ni, mamae mei hoi kâvan lah, meikalat lah tami sak awh sei. Ahni ni tuipui dawk e tanganaw, kalvan e tavanaw, talai dawk e saring pueng hoi, vonpui hoi kâva e saring pueng e lathueng kâ tawn seh telah ati.
27 Mungu akamuumba mtu kwa mfano wake. Katika mfano wake alimuumba. Mwanaume na mwanamke aliwaumba.
Hottelah Cathut ni amae mei hoi kâvan lah, amae meikalat lah tongpa hoi napui hah a sak.
28 Mungu akawabariki na akawaambia, “zaeni na kuongezeka. Jazeni nchi, na muitawale. Muwe na mamlaka juu ya samaki wa baharini, juu ya ndege wa angani, na juu ya kila kiumbe hai kiendacho juu ya nchi,”
Hahoi ahnimouh roi hah Cathut ni yawhawinae a poe teh, Cathut ni ahnimouh roi koe, canaw moikapap khe nateh pungdaw awh. Talai dawk kawi awh nateh, tâ awh loe. Tuipui dawk e tanganaw, kalvan e tavanaw, talai dawk vonpui hoi kâva e moithang pueng koe kâ tawn awh telah ati.
29 Mungu akasema, “tazama, nimewapeni kila mmea uzaao mbegu ambao uko juu ya nchi, na kila mti wenye tunda ambalo lina mbegu ndani yake. Vitakuwa ni chakula kwenu.
Hahoi Cathut ni khenhaw! talai dawk cati ka tâcawt sak e cakung aphunphun, a paw dawk a mu kaawm e thingkung pueng, na ca awh hanelah kai ni na poe.
30 Kwa kila mnyama wa nchi, kwa kila ndege wa angani, na kila kitambaacho juu ya nchi, na kila kiumbe ambacho kina pumzi ya uhai ni metoa kila mmea kwa ajili ya chakula.” ikawa hivyo.
Hahoi, talai e moithang, kalvan e tava, hoi kahring niteh, talai dawk vonpui hoi kâva e moithang pueng ni a ca hanelah, pho kahring aphunphun ka poe telah ati e patetlah ao.
31 Mungu akaona kila kitu alichokiumba. Tazama, kikawa chema sana. Ikawa jioni na asubuhi siku ya sita.
Hahoi, Cathut ni a sak e pueng a khet navah, ahawipoung telah ati. Hottelah tangmin hoi amom teh ataruk hnin lah ao.

+ Mwanzo 1 >