< Mwanzo 9 >
1 Kisha Mungu akambariki Nuhu na wanawe, na kuwaambia, “Zaeni, mkaongezeke, na muijaze nchi.
E abençoou Deus a Noé e a seus filhos, e disse-lhes: Fructificae e multiplicae-vos, e enchei a terra.
2 Hofu na utisho wenu vitakuwa juu ya kila mnyama aliye hai juu ya nchi, juu ya kila ndege wa angani, juu ya kila kitu kiendacho chini juu ya ardhi, na juu ya samaki wote wa baharini. Vimetolewa katika mikono yenu.
E será o vosso temor e o vosso pavor sobre todo o animal da terra, e sobre toda a ave dos céus: tudo o que se move sobre a terra, e todos os peixes do mar, na vossa mão são entregues.
3 Kila kitu kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula kwa ajili yenu. Kama nilivyo wapa mimea, sasa nawapa kila kitu.
Tudo quanto se move, que é vivente, será para vosso mantimento: tudo vos tenho dado como herva verde.
4 Lakini msile nyama pamoja na uhai wake - yaani damu yake - ndani yake.
A carne, porém, com sua vida, isto é, com seu sangue, não comereis.
5 Lakini kwa ajili ya damu yenu, uhai uliomo katika damu yenu nitataka malipo. Kutoka katika mkono wa kila mnyama nitaitaka. Kutoka katika mkono wa kila mtu, yaani, kutoka katika mkono wa yule ambaye amemuua ndugu yake, nitataka fidia kwa ajili ya uhai wa mtu huyo.
E certamente requererei o vosso sangue, o sangue das vossas vidas; da mão de todo o animal o requererei: como tambem da mão do homem, e da mão do irmão de cada um requererei a vida do homem.
6 Yeyote amwagaye damu ya mtu, kwa njia ya mtu damu yake itamwagwa, kwa sababu ilikuwa ni katika mfano wa Mungu kwamba Mungu alimuumba mtu.
Quem derramar o sangue do homem, pelo homem o seu sangue será derramado: porque Deus fez o homem conforme á sua imagem.
7 Na hivyo nanyi zaeni na kuongezeka, sambaeni katika inchi yote na muongezeke juu yake.”
Mas vós fructificae e multiplicae-vos: povoae abundantemente a terra, e multiplicae-vos n'ella.
8 Kisha Mungu akazungumza na Nuhu na wanae pamoja naye, akisema,
E fallou Deus a Noé, e a seus filhos com elle, dizendo:
9 “Kwa ajili yangu, sikiliza! Ninakwenda kulithibitisha agano langu pamoja nawe na uzao wenu baada yenu,
E eu, eis que estabeleço o meu concerto comvosco e com a vossa semente depois de vós,
10 na kwa kila kiumbe hai kilicho pamoja nawe, pamoja na ndege, mnyama wa kufugwa, na kila kiumbe cha nchi pamoja nawe, kuanzia kwa wote waliotoka kwenye safina, mpaka kwa kila kiumbe hai juu ya nchi.
E com toda a alma vivente, que comvosco está, de aves, de rezes, e de todo o animal da terra comvosco: desde todos que sairam da arca, até todo o animal da terra.
11 Kwa sababu hii ninalithibitisha agano langu pamoja nanyi, kwamba hapatatokea kuangamizwa kwa mwenye mwili kwa njia ya maji ya gharika. Tena hapatatokea gharika ya kuangamiza nchi.”
E eu comvosco estabeleço o meu concerto, que não será mais destruida toda a carne pelas aguas do diluvio: e que não haverá mais diluvio, para destruir a terra.
12 Mungu akasema, “na hii ndiyo ishara ya agano ambalo ninafanya kati yangu na ninyi pamoja na kila kiumbe hai kilicho pamoja nanyi, kwa vizazi vyote vya baadaye:
E disse Deus: Este é o signal do concerto que ponho entre mim e vós, e entre toda a alma vivente, que está comvosco, por gerações eternas.
13 Nimeweka upinde wangu wa mvua katika wingu, na itakuwa ndiyo ishara ya agano kati yangu na nchi.
O meu arco tenho posto na nuvem: este será por signal do concerto entre mim e a terra.
14 Hata itakuwa nitakapoleta wingu juu ya nchi na upinde wa mvua ukaonekana katika wingu,
E acontecerá que, quando eu trouxer nuvens sobre a terra, apparecerá o arco nas nuvens:
15 ndipo nitakumbuka agano langu, ambalo ni kati yangu na ninyi na kila kiumbe hai cha wote mwenye mwili. Maji hayatafanyika tena gharika kuharibu wote wenye mwili.
Então me lembrarei do meu concerto, que está entre mim e vós, e entre toda a alma vivente de toda a carne: e as aguas não se tornarão mais em diluvio, para destruir toda a carne.
16 Upinde wa mvua utakuwa katika mawingu na nitauona, ili kukumbuka agano la milele kati ya Mungu na kila kiumbe hai cha wote wenye mwili ambacho kiko juu ya nchi.”
E estará o arco nas nuvens, e eu o verei, para me lembrar do concerto eterno entre Deus e toda a alma vivente de toda a carne, que está sobre a terra.
17 Kisha Mungu akamwambia Nuhu, “Hii ni ishara ya agano ambalo nimelithibitisha kati yangu na wenye mwili wote ambao wako juu ya nchi.”
E disse Deus a Noé: Este é o signal do concerto que tenho estabelecido entre mim e entre toda a carne, que está sobre a terra.
18 Wana wa Nuhu ambao walitoka katika safina walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi. Na Hamu akamzaa kanaani.
E os filhos de Noé, que da arca sairam, foram Sem, e Cão, e Japhet; e Cão, é o pae de Canaan.
19 Watatu hawa walikuwa ndio wana wa Nuhu, na kutokea kwa hawa nchi yote ikajaa watu.
Estes tres foram os filhos de Noé; e d'estes se povoou toda a terra.
20 Nuhu akaanza kuwa mkulima, na akapanda mizabibu.
E começou Noé a ser lavrador da terra, e plantou uma vinha:
21 Akanywa sehemu ya divai na akalewa. Akawa amelala hemeani uchi.
E bebeu do vinho, e embebedou-se; e descobriu-se no meio de sua tenda.
22 Kisha Hamu, baba yake na Kanaani, akaona uchi wa baba yake na akawaambia ndugu zake wawili waliokuwa nje.
E viu Cão, o pae de Canaan, a nudez do seu pae, e fel-o saber a ambos seus irmãos fóra.
23 Kwa hiyo Shemu na Yafethi wakachukua kanzu wakaitanda juu ya mabega yao, na wakatembea kinyumenyume na wakaufunika uchi wa baba yao. Nyuso zao zikiwa zimegeuka nyuma upande mwingine, kwa hiyo hawakuona uchi wa baba yao.
Então tomaram Sem e Japhet uma capa, e puzeram-n'a sobre ambos os seus hombros, e indo virados para traz, cubriram a nudez do seu pae, e os seus rostos eram virados, de maneira que não viram a nudez do seu pae.
24 Nuhu alipozinduka kutoka katika ulevi wake, alijua ni jambo gani mtoto wake mdogo amemfanyia.
E despertou Noé do seu vinho, e soube o que seu filho menor lhe fizera.
25 Hivyo akasema, “Alaaniwe Kanaani. Na awe mtumishi kwa watumishi wa ndugu zake.”
E disse: Maldito seja Canaan: servo dos servos seja aos seus irmãos.
26 Akasema pia, Yahwe, Mungu wa Shemu, abarikiwe, Kanaani na awe mtumwa wake.
E disse: Bemdito seja o Senhor Deus de Sem: e seja-lhe Canaan por servo.
27 Mungu na apanuwe mipaka ya Yafethi, na afanye makazi yake katika hema za Shemu. Kanaani na awe mtumwa wake.”
Alargue Deus a Japhet, e habite nas tendas de Sem: e seja-lhe Canaan por servo.
28 Baada ya gharika, Nuhu aliishi miaka miatatu na hamsini.
E viveu Noé, depois do diluvio, trezentos e cincoenta annos.
29 Siku zote za Nuhu zilikuwa ni miaka mia tisa na hamsini, na kisha alikufa.
E foram todos os dias de Noé novecentos e cincoenta annos, e morreu.