< Mwanzo 9 >

1 Kisha Mungu akambariki Nuhu na wanawe, na kuwaambia, “Zaeni, mkaongezeke, na muijaze nchi.
I błogosławił Bóg Noego, i syny jego, i rzekł im: Rozradzajcie się, i rozmnażajcie się, i napełniajcie ziemię.
2 Hofu na utisho wenu vitakuwa juu ya kila mnyama aliye hai juu ya nchi, juu ya kila ndege wa angani, juu ya kila kitu kiendacho chini juu ya ardhi, na juu ya samaki wote wa baharini. Vimetolewa katika mikono yenu.
A strach wasz i bojaźń wasza będzie nad wszelkiem zwierzęciem ziemi, i nad wszystkiem ptastwem niebieskiem, i nad wszystkiem, co się rucha na ziemi, i nad wszystkiemi rybami morskiemi: w rękę waszę podane są.
3 Kila kitu kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula kwa ajili yenu. Kama nilivyo wapa mimea, sasa nawapa kila kitu.
Wszystko co się rucha, i co żyje, wam będzie na pokarm, jako jarzynę zieloną, dałem wam to wszystko.
4 Lakini msile nyama pamoja na uhai wake - yaani damu yake - ndani yake.
Wszakże mięsa z duszą jego, która jest krew jego, jeść nie będziecie.
5 Lakini kwa ajili ya damu yenu, uhai uliomo katika damu yenu nitataka malipo. Kutoka katika mkono wa kila mnyama nitaitaka. Kutoka katika mkono wa kila mtu, yaani, kutoka katika mkono wa yule ambaye amemuua ndugu yake, nitataka fidia kwa ajili ya uhai wa mtu huyo.
A zaiste krwi waszej, dusz waszych szukać będę, z ręki każdej bestyi szukać jej będę: także z ręki człowieczej, z ręki każdego brata jego będę szukał duszy człowieczej.
6 Yeyote amwagaye damu ya mtu, kwa njia ya mtu damu yake itamwagwa, kwa sababu ilikuwa ni katika mfano wa Mungu kwamba Mungu alimuumba mtu.
Kto wyleje krew człowieczą, przez człowieka krew jego wylana będzie: bo na wyobrażenie Boże uczynion jest człowiek.
7 Na hivyo nanyi zaeni na kuongezeka, sambaeni katika inchi yote na muongezeke juu yake.”
A wy rozradzajcie się, i rozmnażajcie się, rozpładzajcie się na ziemi, i mnóżcie się na niej.
8 Kisha Mungu akazungumza na Nuhu na wanae pamoja naye, akisema,
Tedy rzekł Bóg do Noego, i do synów jego z nim, mówiąc:
9 “Kwa ajili yangu, sikiliza! Ninakwenda kulithibitisha agano langu pamoja nawe na uzao wenu baada yenu,
A Ja, oto Ja stanowię przymierze moje z wami, i z nasieniem waszem po was.
10 na kwa kila kiumbe hai kilicho pamoja nawe, pamoja na ndege, mnyama wa kufugwa, na kila kiumbe cha nchi pamoja nawe, kuanzia kwa wote waliotoka kwenye safina, mpaka kwa kila kiumbe hai juu ya nchi.
I z każdą duszą żywiącą, która jest z wami: w ptastwie, w bydle, i w każdem zwierzęciu ziemi, które są z wami, ze wszystkich, co wyszły z korabia, aż do każdego zwierzęcia na ziemi.
11 Kwa sababu hii ninalithibitisha agano langu pamoja nanyi, kwamba hapatatokea kuangamizwa kwa mwenye mwili kwa njia ya maji ya gharika. Tena hapatatokea gharika ya kuangamiza nchi.”
I postanowię przymierze moje z wami; a nie będzie zatracone więcej wszelkie ciało wodami potopu; i nie będzie więcej potop na skażenie ziemi.
12 Mungu akasema, “na hii ndiyo ishara ya agano ambalo ninafanya kati yangu na ninyi pamoja na kila kiumbe hai kilicho pamoja nanyi, kwa vizazi vyote vya baadaye:
Tedy rzekł Bóg: To jest znak przymierza, który Ja dawam między mną i między wami, i między każdą duszą żywiącą, która jest z wami, w rodzaje wieczne.
13 Nimeweka upinde wangu wa mvua katika wingu, na itakuwa ndiyo ishara ya agano kati yangu na nchi.
Łuk mój położyłem na obłoku, który będzie na znak przymierza między mną, i między ziemią.
14 Hata itakuwa nitakapoleta wingu juu ya nchi na upinde wa mvua ukaonekana katika wingu,
I stanie się, gdy wzbudzę ciemny obłok nad ziemią, a ukaże się łuk na obłoku:
15 ndipo nitakumbuka agano langu, ambalo ni kati yangu na ninyi na kila kiumbe hai cha wote mwenye mwili. Maji hayatafanyika tena gharika kuharibu wote wenye mwili.
Że wspomnę na przymierze moje, które jest między mną i między wami, i między każdą duszą żywiącą w każdem ciele; i nie będą więcej wody na potop, ku wytraceniu wszelkiego ciała.
16 Upinde wa mvua utakuwa katika mawingu na nitauona, ili kukumbuka agano la milele kati ya Mungu na kila kiumbe hai cha wote wenye mwili ambacho kiko juu ya nchi.”
Będzie tedy łuk on na obłoku, i wejrzę nań, abym wspomniał na przymierze wieczne, między Bogiem i między wszelką duszą żywiącą w każdem ciele, które jest na ziemi.
17 Kisha Mungu akamwambia Nuhu, “Hii ni ishara ya agano ambalo nimelithibitisha kati yangu na wenye mwili wote ambao wako juu ya nchi.”
Zatem rzekł Bóg do Noego: Tenci jest znak przymierza, którem postanowił między mną, i między wszelkiem ciałem, które jest na ziemi.
18 Wana wa Nuhu ambao walitoka katika safina walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi. Na Hamu akamzaa kanaani.
A byli synowie Noego, którzy wyszli z korabia, Sem, i Cham, i Jafet; a Cham jest ojcem Chanaan.
19 Watatu hawa walikuwa ndio wana wa Nuhu, na kutokea kwa hawa nchi yote ikajaa watu.
Ci trzej synowie Noego, przez które się napełniła ludem wszystka ziemia.
20 Nuhu akaanza kuwa mkulima, na akapanda mizabibu.
Tedy Noe począł uprawiać ziemię, i nasadził winnicę.
21 Akanywa sehemu ya divai na akalewa. Akawa amelala hemeani uchi.
Potem pił wino; a upiwszy się, odkrył się w namiocie swoim.
22 Kisha Hamu, baba yake na Kanaani, akaona uchi wa baba yake na akawaambia ndugu zake wawili waliokuwa nje.
A ujrzawszy Cham, ojciec Chanaanów, nagość ojca swego, oznajmił to dwom braciom swoim na dworze.
23 Kwa hiyo Shemu na Yafethi wakachukua kanzu wakaitanda juu ya mabega yao, na wakatembea kinyumenyume na wakaufunika uchi wa baba yao. Nyuso zao zikiwa zimegeuka nyuma upande mwingine, kwa hiyo hawakuona uchi wa baba yao.
Tedy wziąwszy Sem i Jafet szatę, a włożywszy ją oba na ramiona swe, szli wspak, i zakryli nagość ojca swego; a oblicza ich odwrócone były, że nagości ojca swego nie widzieli.
24 Nuhu alipozinduka kutoka katika ulevi wake, alijua ni jambo gani mtoto wake mdogo amemfanyia.
A ocuciwszy się Noe z wina swego, gdy się dowiedział, co mu uczynił syn jego młodszy, rzekł:
25 Hivyo akasema, “Alaaniwe Kanaani. Na awe mtumishi kwa watumishi wa ndugu zake.”
Przeklęty Chanaan, sługą sług braci swojej będzie.
26 Akasema pia, Yahwe, Mungu wa Shemu, abarikiwe, Kanaani na awe mtumwa wake.
Rzekł też: Błogosławiony Pan Bóg Semów, a niech będzie Chanaan sługą ich.
27 Mungu na apanuwe mipaka ya Yafethi, na afanye makazi yake katika hema za Shemu. Kanaani na awe mtumwa wake.”
Niech rozszerzy Bóg Jafeta, i niech mieszka w namieciech Semowych a niech Chanaan sługą ich.
28 Baada ya gharika, Nuhu aliishi miaka miatatu na hamsini.
I żył Noe po potopie trzy sta lat, i pięćdziesiąt lat.
29 Siku zote za Nuhu zilikuwa ni miaka mia tisa na hamsini, na kisha alikufa.
I było wszystkich dni Noego, dziewięć set lat, i pięćdziesiąt lat, i umarł.

< Mwanzo 9 >