< Mwanzo 9 >
1 Kisha Mungu akambariki Nuhu na wanawe, na kuwaambia, “Zaeni, mkaongezeke, na muijaze nchi.
Ket binendisionan ti Dios ni Noe ken dagiti annakna, a kinunana kadakuada, “Agbalinkayo a nabunga, agpaadukayo, ken punoenyo ti daga.
2 Hofu na utisho wenu vitakuwa juu ya kila mnyama aliye hai juu ya nchi, juu ya kila ndege wa angani, juu ya kila kitu kiendacho chini juu ya ardhi, na juu ya samaki wote wa baharini. Vimetolewa katika mikono yenu.
Panagbuteng kadakayo ken panagamak kadakayo ti maaddanto iti tunggal agbibiag nga ayup iti rabaw ti daga, iti tunggal tumatayab iti tangatang, iti tunggal parsua nga agkarkarayam iti daga, ken kadagiti amin a lames iti baybay. Naipaimada kadakayo.”
3 Kila kitu kiendacho kilicho hai kitakuwa chakula kwa ajili yenu. Kama nilivyo wapa mimea, sasa nawapa kila kitu.
Tunggal aggargaraw a banag nga agbibiag ket agserbi a taraonyo. Itedko kadakayo ita ti amin a banag, kas intedko met kadakayo dagiti nalangto a mulmula.
4 Lakini msile nyama pamoja na uhai wake - yaani damu yake - ndani yake.
Ngem nasken a saankayo a mangan kadagiti karne nga adda pay laeng iti daytoy ti biagna-nga isu ti darana.
5 Lakini kwa ajili ya damu yenu, uhai uliomo katika damu yenu nitataka malipo. Kutoka katika mkono wa kila mnyama nitaitaka. Kutoka katika mkono wa kila mtu, yaani, kutoka katika mkono wa yule ambaye amemuua ndugu yake, nitataka fidia kwa ajili ya uhai wa mtu huyo.
Ngem para iti darayo, ti biag nga adda iti darayo, pabayadak. Singirek daytoy manipud iti ima ti tunggal ayup. Manipud iti ima ti siasinoman a tao, dayta ket, manipud iti ima ti nangpatay iti kabsatna, singirek ti bayad ti biag dayta a tao.
6 Yeyote amwagaye damu ya mtu, kwa njia ya mtu damu yake itamwagwa, kwa sababu ilikuwa ni katika mfano wa Mungu kwamba Mungu alimuumba mtu.
Siasinoman a mangpadara iti maysa a tao, babaento met iti maysa a tao a mapadara isuna, ta iti langa ti Dios nga inaramidna ti tao.
7 Na hivyo nanyi zaeni na kuongezeka, sambaeni katika inchi yote na muongezeke juu yake.”
Iti biangyo, agbalinkayo a nabunga ken agpaadukayo, agwaraskayo iti entero a daga ken agpaadukayo iti daytoy.”
8 Kisha Mungu akazungumza na Nuhu na wanae pamoja naye, akisema,
Ket nagsao ti Dios kenni Noe ken kadagiti annakna, a kunana,
9 “Kwa ajili yangu, sikiliza! Ninakwenda kulithibitisha agano langu pamoja nawe na uzao wenu baada yenu,
“Dumngegkayo! Iti biangko, makitulagak kadakayo ken kadagiti kaputotanyonto,
10 na kwa kila kiumbe hai kilicho pamoja nawe, pamoja na ndege, mnyama wa kufugwa, na kila kiumbe cha nchi pamoja nawe, kuanzia kwa wote waliotoka kwenye safina, mpaka kwa kila kiumbe hai juu ya nchi.
ken kadagiti amin nga agbibiag a parsua nga adda kadakayo, kadagiti tumatayab, kadagiti dingwen, ken iti tunggal parsua iti daga nga adda kadakayo, kadagiti amin a rimmuar manipud iti daong, iti tunggal agbibiag a parsua iti daga.
11 Kwa sababu hii ninalithibitisha agano langu pamoja nanyi, kwamba hapatatokea kuangamizwa kwa mwenye mwili kwa njia ya maji ya gharika. Tena hapatatokea gharika ya kuangamiza nchi.”
Makitulagak ngarud kadakayo, a saanto pulos a madadael amin a lasag babaen iti danum iti layus. Pulos nga awanton ti layus a mangdadael iti daga.”
12 Mungu akasema, “na hii ndiyo ishara ya agano ambalo ninafanya kati yangu na ninyi pamoja na kila kiumbe hai kilicho pamoja nanyi, kwa vizazi vyote vya baadaye:
Kinuna ti Dios, “Daytoy ti pagilasinan ti nakitulagak kadakayo ken iti tunggal agbibiag a parsua nga adda kadakayo, para iti amin a henerasion iti masakbayan.
13 Nimeweka upinde wangu wa mvua katika wingu, na itakuwa ndiyo ishara ya agano kati yangu na nchi.
Inkabilko ti bullalayawko iti ulep, ket agbalinto daytoy a pagilasinan iti nakitulagak iti daga.
14 Hata itakuwa nitakapoleta wingu juu ya nchi na upinde wa mvua ukaonekana katika wingu,
Mapasamakto nga inton iyumayko ti ulep iti daga ket makita ti bullalayaw iti ulep,
15 ndipo nitakumbuka agano langu, ambalo ni kati yangu na ninyi na kila kiumbe hai cha wote mwenye mwili. Maji hayatafanyika tena gharika kuharibu wote wenye mwili.
ket lagipekto ti katulagan, nga adda iti nagbaetantayo; siak, dakayo, ken iti tunggal agbibiag a nainlasagan a parsua. Saanto manen a pulos nga agbalin a layus dagiti danum a mangdadael iti amin a lasag.
16 Upinde wa mvua utakuwa katika mawingu na nitauona, ili kukumbuka agano la milele kati ya Mungu na kila kiumbe hai cha wote wenye mwili ambacho kiko juu ya nchi.”
Addanto ti bullalayaw kadagiti ul-ulep ket makitakto daytoy, tapno maipalagip ti agnanayon a katulagan ti Dios kadagiti amin nga agbibiag a parsua nga adda iti daga.
17 Kisha Mungu akamwambia Nuhu, “Hii ni ishara ya agano ambalo nimelithibitisha kati yangu na wenye mwili wote ambao wako juu ya nchi.”
Ket kinuna ti Dios kenni Noe, “Daytoy ti pagilasinan ti pannakitulagko kadagiti amin nga agbibiag iti rabaw ti daga.”
18 Wana wa Nuhu ambao walitoka katika safina walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi. Na Hamu akamzaa kanaani.
Dagiti annak ni Noe a rimmuar iti daong ket da Sem, Ham, ken ni Jafet. Ket ni Ham ti ama ni Canaan.
19 Watatu hawa walikuwa ndio wana wa Nuhu, na kutokea kwa hawa nchi yote ikajaa watu.
Dagitoy a tallo dagiti annak ni Noe, ken manipud kadagitoy, ti entero a daga ket napno iti tattao.
20 Nuhu akaanza kuwa mkulima, na akapanda mizabibu.
Nangrugi a nagbalin a mannalon ni Noe, ken nagmula isuna iti ubas.
21 Akanywa sehemu ya divai na akalewa. Akawa amelala hemeani uchi.
Imminom isuna iti arak ket nabartek. Nakaidda isuna a lamo-lamo iti uneg ti toldana.
22 Kisha Hamu, baba yake na Kanaani, akaona uchi wa baba yake na akawaambia ndugu zake wawili waliokuwa nje.
Ket ni Ham, nga ama ni Canaan, nakitana ti kinalamo-lamo ni tatangna ket imbagana kadagiti dua a kakabsatna nga adda iti ruar.
23 Kwa hiyo Shemu na Yafethi wakachukua kanzu wakaitanda juu ya mabega yao, na wakatembea kinyumenyume na wakaufunika uchi wa baba yao. Nyuso zao zikiwa zimegeuka nyuma upande mwingine, kwa hiyo hawakuona uchi wa baba yao.
Nangala ngarud da Sem ken Jafet iti lupot ket inkabilda iti abagada, ken nagnada a patallikod ket inabbunganda ti kinalamo-lamo ni tatangda. Saanda a simmango, isu a saanda a nakita ti kinalamo-lamo ni tatangda.
24 Nuhu alipozinduka kutoka katika ulevi wake, alijua ni jambo gani mtoto wake mdogo amemfanyia.
Idi nariing ni Noe manipud iti pannakabartekna, natakuatanna ti inaramid kenkuana ti inaudi nga anakna.
25 Hivyo akasema, “Alaaniwe Kanaani. Na awe mtumishi kwa watumishi wa ndugu zake.”
Isu a kinunana, “Lunod koma ti umay kenni Canaan. Agbalin koma isuna nga adipen dagiti adipen dagiti kakabsatna.”
26 Akasema pia, Yahwe, Mungu wa Shemu, abarikiwe, Kanaani na awe mtumwa wake.
Kinunana pay, “Madaydayaw koma ni Yahweh a Dios ni Sem, ket agbalin koma nga adipenna ni Canaan.
27 Mungu na apanuwe mipaka ya Yafethi, na afanye makazi yake katika hema za Shemu. Kanaani na awe mtumwa wake.”
Palawaen koma ti Dios ni Jafet, ken itulokna nga agaramid isuna iti pagtaenganna kadagiti tolda ni Sem. Agbalin koma nga adipenna ni Canaan.”
28 Baada ya gharika, Nuhu aliishi miaka miatatu na hamsini.
Kalpasan iti layus, nagbiag ni Noe iti tallo-gasut ken limapulo a tawen.
29 Siku zote za Nuhu zilikuwa ni miaka mia tisa na hamsini, na kisha alikufa.
Ti pakabuklan ti panagbiag ni Noe ket siyam a gasut ket limapulo a tawen, ket kalpasanna, natay isuna.