< Mwanzo 8 >

1 Mungu akamtazama Nuhu, wanyama wote wa mwitu, na wanyama wote wa kufugwa ambao walikuwa pamoja naye kwenye safina. Mungu akafanya upepo uvume juu ya nchi, na maji yakaanza kuzama chini.
Hagi timo'a mopa refite'negeno Anumzamo'a Noanku'ene mika zagagafama ventefi mani'nagu agesa nentahino, zaho atufegeno zaho erino tina retufegeno taneno urami'ne.
2 Chemichemi za vilindi pamoja na madirisha ya mbingu vikafungwa, na mvua ikakoma kunyesha.
Anumzamo'a mopafinti'ma hanati'nea tina renkani nereno, monafinti ru'nea kora eri refitegeno ruse'ne.
3 Maji ya gharika yakaanza kuzama kidogo kidogo katika nchi. na mwisho wa siku miamoja na hamsini maji yakawa yamezama chini.
Hagi 150'a knamofo agu'afi timo'a akoheno taneno urami'ne.
4 safina ikatulia katika mwezi wa saba, siku ya kumi na saba ya mwezi, juu ya milima ya Ararati.
Hagi 7ni ikamofona, 17ni zupa ana ventemo'a eramino Ararati agonare eme runtrako hu'ne.
5 Maji yakaendelea kuzama chini hadi mwezi wa kumi. Siku ya kwanza ya mwezi, vilele vya milima vikaonekana.
Timo'a akoheno taneno uneramigeno 10ni ikamofo ese knazupa, mago'a agonamo'za osi'a hanaku hazage'za ke'naze.
6 Ikatokea kwamba baada ya siku arobaini Nuhu alifungua dirisha la safina ambayo aliitengeneza.
Hagi henka 40'a zagegna maniteno Noa'a zaho'ma erikana eri anagino,
7 Akatuma kunguru na akaruka hadi maji yalipo kauka katika nchi.
kotikoti nama huntege vuteno, vano vano nehigeno, timo'a taneno uramigeno mopa efore hu'ne.
8 Kisha akatuma njiwa kuona kama maji yamezama chini kutoka kwenye uso wa nchi,
Hagi mopamo'ma ho'mu hu'nesigu, Noa'a mago maho nama huntegeno,
9 lakini njiwa hakuona sehemu ya kutua unyayo wake, na akarudi kwake ndani ya safina, kwa kuwa maji yalikuwa bado yamefunika nchi yote. Akanyoosha mkono wake, akamchukua na kumuweka ndani ya safina pamoja naye.
hareno vano hiana manisnia zana omaneno tinke me'negeno ete e'ne. Egeno Noa'a aza antegame teno ventefi avre vazi'ne.
10 Akasubiri siku saba zingine akatuma tena njiwa kutoka kwenye safina.
Avrentegeno 7ni'agna manitegeno, Noa'a ete maho nama huntegeno hareno vu'ne. Hagi ana maho namamo'a kasefa olivi zafa asina atasino agipi haninkofino ana kinagage ehanati'ne. Ana higeno Noa keteno, hago timo'a taneno uramie huno agesa antahi'ne.
11 Njiwa akarudi kwake jioni. Tazama! katika mdomo wake kulikuwa na jani bichi la mzeituni lililochumwa. Kwa hiyo Nuhu akatambua kuwa maji yamekwisha zama chini ya nchi.
12 Akasubiri siku saba zingine na akamtuma njiwa tena. Njiwa hakurudi kwake tena.
Mago'ene 7ni'agna maniteno, ana mahona huntegeno hareno vuteno ete ome'ne.
13 Ikawa kwamba katika mwaka wa mia sita na moja, katika mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi, maji yalikuwa yamekauka katika nchi. Nuhu akaondoa kifuniko cha safina, akatazama nje, na akaona kwamba, Tazama, uso wa nchi ulikuwa umekauka.
Noa'a 601ni'a kafuma nehigeno, pusa ikamofona ese knazupa, mika ama mopafina timo'a ho'mu higeno, Noa'a ana ventemofona amumpafinti anasgeno keana, mopamo'a ho'mu huvagare'negeno ke'ne.
14 Katika mwezi wa pili, siku ya ishirini na saba ya mwezi, nchi ilikuwa imekauka.
Anante 2 ikamofona 27ni knazupa mopamo'a ho'mu huvarenegeno Noa'a ke'ne.
15 Mungu akamwambia Nuhu,
Anumzamo'a amanage huno Noana asmi'ne,
16 “Toka nje ya safina, wewe, mke wako, wanao wa kiume, na wake wa wanao pamoja nawe.
kagrane nagaka'anena ventefintira atreta fegi'a atiramiho. Ventefima mani'naza zagagafane, namaramine, mika mopafi vano nehaza zagaraminena, zamavare atrege'za mopafi vu'za eza nehu'za kase hakare hu'za maniho.
17 Wachukuwe utoke nje pamoja nao kila kiumbe hai chenye mwili ambacho kiko nawe - ndege, wanyama wa kufugwa, na kila kitambaacho ambacho hutambaa juu ya nchi - ili kwamba viweze kukua na kuwa na idadi kubwa zaidi ya viumbe hai katika nchi yote, kwa kuzaliana na kuongezeka juu ya nchi.”
18 Kwa hiyo Nuhu akatoka nje pamoja na watoto wake wa kiume, mke wake, na wake wa wa wanawe pamoja naye.
Anage hige'za Noaki, nenaroki, mofavre naga'ane, anoferahe'zane atirami'naze.
19 Kila kiumbe hai, kila kitambaacho, na kila ndege, na kila kiendacho juu ya nchi, kwa kabila zao, wakaiacha safina.
Hagi ana zagagafane, ne'onse zagaramine, nama zagane, mika vanoma nehaza zagaramina, zamagrare zamagrare erizogi'za ventefintira atirmi'naze.
20 Nuhu akajenga madhabahu kwa Yahwe. Akachukua baadhi ya wanyama walio safi na baadhi ya ndege walio safi, na kutoa sadaka ya kuteketezwa juu ya madhabahu.
Anantera, Noa'a Ra Anumzamofonte Kresramana vu ita trohuteno, mago'a avusese zagagafafinti'ene avusese namafinti'enena aheno mika Kresramana vu'ne.
21 Yahwe akanusa harufu nzuri ya kuridhisha na akasema moyoni mwake, “Sita laani tena ardhi kwa sababu ya mwanadamu, ingawa nia za mioyo yao ni mbaya tokea utoto. Wala sita haribu kilakitu chenye uhai, kama nilivyo fanya.
Hagi Ra Anumzamo'a Kresramana vu'nea mana'a nentahino muse nehuno amanage hu'ne, vahe'mo'za kumi'ma hanaza zankura mago'anena ama mopa eri havizana osugahue. Hakare vahe'mo'za mofavrema mani'nazareti'ma eno ama knare'ma eana, havi antahi'zampinke mani'naze. Hakare zagaramima zamasimu nentaza zagaramina menima huaza hu'na zamahe refiotegahue.
22 Wakati nchi isaliapo, majira ya kupanda mbegu na mavuno, baridi na joto, kiangazi na majira ya baridi, mchana na usiku havitakoma.”
Ama ana mopa me'nenkeno maka'zana me'nena hoza negri'za, kafigahaze. Zasi'ma hu kna ne'enkeno, amuhoma hu kna egahie. Ko' aru knane zagegnanena nemenkeno, zagene hanine nehanigeno ana maka'zana vaga oregahie.

< Mwanzo 8 >

A Dove is Sent Forth from the Ark
A Dove is Sent Forth from the Ark