< Mwanzo 8 >
1 Mungu akamtazama Nuhu, wanyama wote wa mwitu, na wanyama wote wa kufugwa ambao walikuwa pamoja naye kwenye safina. Mungu akafanya upepo uvume juu ya nchi, na maji yakaanza kuzama chini.
Da ihukom Gud Noa og alle de vilde Dyr og Kvæget, som var hos ham i Arken; og Gud lod en Storm fare hen over Jorden, så at Vandet begyndte at falde;
2 Chemichemi za vilindi pamoja na madirisha ya mbingu vikafungwa, na mvua ikakoma kunyesha.
Verdensdybets Kilder og Himmelens Sluser lukkedes, Regnen fra Himmelen standsede,
3 Maji ya gharika yakaanza kuzama kidogo kidogo katika nchi. na mwisho wa siku miamoja na hamsini maji yakawa yamezama chini.
og Vandet veg lidt efter lidt bort fra Jorden, og Vandet tog af efter de 150 Dages Forløb.
4 safina ikatulia katika mwezi wa saba, siku ya kumi na saba ya mwezi, juu ya milima ya Ararati.
På den syttende Dag i den syvende Måned sad Arken fast på Ararats Bjerge,
5 Maji yakaendelea kuzama chini hadi mwezi wa kumi. Siku ya kwanza ya mwezi, vilele vya milima vikaonekana.
og Vandet vedblev at synke indtil den tiende Måned, og på den første Dag i denne Måned dukkede Bjergenes Toppe frem.
6 Ikatokea kwamba baada ya siku arobaini Nuhu alifungua dirisha la safina ambayo aliitengeneza.
Da der var gået fyrretyve Dage: åbnede Noa den Luge, han havde lavet på Arken,
7 Akatuma kunguru na akaruka hadi maji yalipo kauka katika nchi.
og sendte en Ravn ud; den fløj frem og tilbage, indtil Vandet var tørret bort fra Jorden.
8 Kisha akatuma njiwa kuona kama maji yamezama chini kutoka kwenye uso wa nchi,
Da sendte han en Due ud for at se, om Vandet var sunket fra Jordens Overflade;
9 lakini njiwa hakuona sehemu ya kutua unyayo wake, na akarudi kwake ndani ya safina, kwa kuwa maji yalikuwa bado yamefunika nchi yote. Akanyoosha mkono wake, akamchukua na kumuweka ndani ya safina pamoja naye.
men Duen fandt intet Sted at sætte sin Fod og vendte tilbage til ham i Arken, fordi der endnu var Vand over hele Jorden; og han rakte Hånden ud og tog den ind i Arken til sig.
10 Akasubiri siku saba zingine akatuma tena njiwa kutoka kwenye safina.
Derpå biede han yderligere syv Dage og sendte så atter Duen ud fra Arken;
11 Njiwa akarudi kwake jioni. Tazama! katika mdomo wake kulikuwa na jani bichi la mzeituni lililochumwa. Kwa hiyo Nuhu akatambua kuwa maji yamekwisha zama chini ya nchi.
ved Aftenstid kom Duen tilbage til ham, og se, den havde et friskt Olieblad i Næbbet. Da skønnede Noa, at Vandet var svundet bort fra Jorden.
12 Akasubiri siku saba zingine na akamtuma njiwa tena. Njiwa hakurudi kwake tena.
Derpå biede han syv Dage til, og da han så sendte Duen ud, kom den ikke mere tilbage til ham.
13 Ikawa kwamba katika mwaka wa mia sita na moja, katika mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya mwezi, maji yalikuwa yamekauka katika nchi. Nuhu akaondoa kifuniko cha safina, akatazama nje, na akaona kwamba, Tazama, uso wa nchi ulikuwa umekauka.
I Noas 601ste Leveår på den første Dag i den første Måned var Vandet tørret bort fra Jorden. Da tog Noa Dækket af Arken, og da han så sig om, se, da var Jordens Overflade tør.
14 Katika mwezi wa pili, siku ya ishirini na saba ya mwezi, nchi ilikuwa imekauka.
På den syv og tyvende Dag i den anden Måned var Jorden tør.
15 Mungu akamwambia Nuhu,
Da sagde Gud til Noa:
16 “Toka nje ya safina, wewe, mke wako, wanao wa kiume, na wake wa wanao pamoja nawe.
"Gå ud af Arken med din Hustru, dine Sønner og dine Sønnekoner
17 Wachukuwe utoke nje pamoja nao kila kiumbe hai chenye mwili ambacho kiko nawe - ndege, wanyama wa kufugwa, na kila kitambaacho ambacho hutambaa juu ya nchi - ili kwamba viweze kukua na kuwa na idadi kubwa zaidi ya viumbe hai katika nchi yote, kwa kuzaliana na kuongezeka juu ya nchi.”
og for alle Dyr, der er hos dig, alt Kød, Fugle, Kvæg og alt Kryb, der kryber på Jorden, ud med dig, at de kan vrimle på Jorden og blive frugtbare og mangfoldige på Jorden!"
18 Kwa hiyo Nuhu akatoka nje pamoja na watoto wake wa kiume, mke wake, na wake wa wa wanawe pamoja naye.
Da gik Noa ud med sine Sønner, sin Hustru og sine Sønnekoner;
19 Kila kiumbe hai, kila kitambaacho, na kila ndege, na kila kiendacho juu ya nchi, kwa kabila zao, wakaiacha safina.
og alle de vildtlevende Dyr, alt Kvæget, alle Fuglene og alt Krybet, der kryber på Jorden, efter deres Slægter, gik ud af Arken.
20 Nuhu akajenga madhabahu kwa Yahwe. Akachukua baadhi ya wanyama walio safi na baadhi ya ndege walio safi, na kutoa sadaka ya kuteketezwa juu ya madhabahu.
Derpå byggede Noa HERREN et Alter og tog nogle af alle de rene Dyr og Fugle og ofrede Brændofre på Alteret.
21 Yahwe akanusa harufu nzuri ya kuridhisha na akasema moyoni mwake, “Sita laani tena ardhi kwa sababu ya mwanadamu, ingawa nia za mioyo yao ni mbaya tokea utoto. Wala sita haribu kilakitu chenye uhai, kama nilivyo fanya.
Og da HERREN indåndede den liflige Duft, sagde han til sig selv: "Jeg vil aldrig mere forbande Jorden for Menneskenes Skyld, thi Menneskehjertets Higen er ond fra Ungdommen af, og jeg vil aldrig mere tilintetgøre alt, hvad der lever, således som jeg nu har gjort!
22 Wakati nchi isaliapo, majira ya kupanda mbegu na mavuno, baridi na joto, kiangazi na majira ya baridi, mchana na usiku havitakoma.”
Herefter skal, så længe Jorden står, Sæd og Høst, Kulde og Hede, Sommer og Vinter, Dag og Nat ikke ophøre!"