< Mwanzo 7 >

1 Yahwe akamwambia Nuhu, “Njoo, wewe na nyumba yako wote, katika safina, kwa kuwa nimeona kuwa wewe ni mwenye haki mbele yangu katika kizazi hiki.
Perwerdigar Nuhqa mundaq dédi: — «Sen pütün öydikiliring bilen kémige kirgin; chünki bu dewrde aldimda séni heqqaniy dep kördüm.
2 Kwa kila mnyama aliye safi utakuja nao saba wa kiume na saba wa kike. Na kwa wanyama wasio safi, lete wawili wawili, wakiume na wakike.
Hemme halal haywanlarning erkek-chishisidin yette jüptin, haram haywanlarning erkek-chishisidin bir jüptin élip, shuningdek asmandiki uchar-qanatlarningmu erkek-chishisidin yette jüptin élip, ularning neslini pütkül yer yüzide tirik saqlash üchün özüng bilen bille ekir.
3 Pia na kwa ndege wa angani, lete saba wa kiume na saba wa kike, ili kuhifadhi kizazi chao juu ya uso wa nchi yote.
4 Kwa kuwa ndani ya siku saba nitasababisha mvua kunyesha juu ya nchi muda wa siku arobaini mchana na usiku. Nitaharibu kila kiumbe hai nilichokiumba juu ya uso wa ardhi.”
Chünki yette kündin kéyin uda qiriq kéche-kündüz yer yüzige yamghur yaghdurimen; Özüm yasighan hemme janiwarlarni yer yüzidin yoqitimen».
5 Nuhu alifanya yote ambayo Yahwe alimuagiza.
Shuning bilen Nuh Perwerdigar uninggha buyrughinining hemmisige emel qildi.
6 Nuhu alikuwa na umri wa miaka mia sita wakati gharika ilipokuja juu ya nchi.
Yer yüzini topan basqanda Nuh alte yüz yashta idi.
7 Nuhu, watoto wake wa kiume, mke wake, na wake za watoto wake waliingia katika safina pamoja kwa sababu ya maji ya gharika.
Topandin [qutulup qélish] üchün Nuh bilen oghulliri, ayali we kélinliri bille kémige kirdi.
8 Wanyama ambao ni safi na wanyama ambao si safi, ndege, na kila kitambaacho juu ya ardhi,
Halal haywanlar bolsun, haram haywanlar bolsun, qushlar bilen yerde ömiligüchi janiwarlar bolsun, [herbir türdin] bir jüp-bir jüptin erkek-chishi bolup, Xuda Nuhqa buyrughandek kémige, Nuhning qéshigha kirdi.
9 wawili wawili mume na mke wakaja kwa Nuhu na wakaingia katika safina, kama vile Mungu alivyokuwa amemwagiza Nuhu.
10 Ikawa kwamba baada ya siku saba, maji ya gharika yakaja juu ya nchi.
We shundaq boldiki, yette kündin kéyin, yer yüzini topan bésishqa bashlidi.
11 Katika mwaka wa mia sita wa maisha yake Nuhu, katika mwezi wa pili, katika siku ya kumi na saba ya mwezi, katika siku iyo hiyo, chemchemi zote za vilindi vikuu zilipasuka na kufunguka, na madirisha ya mbinguni yakafunguka.
Nuhning ömrining alte yüzinchi yili, ikkinchi éyining on yettinchi künide chongqur déngizlarning tegliridiki barliq bulaqlar yérilip, asmanning penjiriliri échilip ketti.
12 Mvua ikaanza kunyesha juu ya nchi kwa siku arobaini mchana na usiku.
Yamghur uda qiriq kéche-kündüz yer yüzige toxtimay yaghdi.
13 Katika siku iyo hiyo Nuhu pamoja na watoto wake, Shem, Ham, na Yafethi na mke wa Nuhu, na wale wake watatu wa wana wa Nuhu pamoja waliingia katika safina.
Del yamghur bashlan’ghan küni, Nuh, Nuhning Shem, Ham, Yafet dégen oghulliri, Nuhning ayali bilen üch kélini kémige kirdi.
14 Waliingia pamoja na kila mnyama wa mwitu kwa jinsi yake, na kila mnyama wa kufugwa kwa jinsi yake, na kila kitambaacho juu ya ardhi kwa jinsi yake, na kila aina ya ndege kwa jinsi yake, kila aina ya kiumbe chenye mabawa.
Ular bilen bille herxil yawa haywanlar tür-türi boyiche, herxil mal-charwilar tür-türi boyiche, yerde ömiligüchi herxil janiwarlar tür-türi boyiche we herxil uchar-qanatlar, yeni herxil qanatliq janiwarlar tür-türi boyiche kémige kirdi.
15 Viwili viwili katika kila chenye mwili ambacho kilikuwa na pumzi ya uhai kilikuja kwa Nuhu na kuingia katika safina.
Et igiliridin, yeni barliq hayatliq tiniqi bolghan herxil jandarlardin, bir jüp-bir jüp bolup, kémige nuhning qéshigha kirdi.
16 Wanyama walioingia ndani walikuwa wakiume na kike katika wote wenye mwili; wakaingia kama vile Mungu alivyokuwa amemwagiza. Kisha Yahwe akawafungia mlango.
Kirgenler Xudaning nuhqa buyrughinidek et igilirining hertürining erkek-chishisi idi. Andin Perwerdigar ishikni étiwetti.
17 Kisha gharika ikaja juu ya nchi kwa siku arobaini, na maji yakaongezeka na kuinua safina juu ya nchi.
Topan yer yüzini uda qiriq kün bésip, sular ulghiyip ketti. Kéme yer üstidin kötürülüp leylep qaldi.
18 Maji yakafunika kabisa nchi, na safina ikaelea juu ya uso wa maji.
Su ulghiyip, yer üstide téximu égizlep ketti; kéme su üstide dawalghup turatti.
19 Maji yakaongezeka zaidi juu ya nchi kiasi kwamba milima yote mirefu ambayo ilikuwa chini ya anga ikafunikwa.
Sular yer yüzide tolimu ulghiyip, pütkül asmanning astidiki barliq égiz taghlarnimu bésip ketti.
20 Maji yakaongezeka dhiraa kumi na tano juu ya vilele vya milima.
Sular [taghlardin] yene on besh gez örlep, tagh choqqilirimu su astida qaldi.
21 Vitu vyote vyenye uhai ambavyo vilitembea juu ya nchi vilikufa: ndege, mifugo, wanyama wa mwituni, viumbe hai vyote kwa wingi vilivyoishi juu ya nchi, pamoja na watu.
Buning bilen yer yüzide yürgüchi hemme et igiliri, uchar-qushlar, mal-charwilar, yawayi haywanlar, yerde ömiligüchi hemme janiwarlar, jümlidin pütkül ademler hemmisi öldi;
22 Viumbe hai vyote ambavyo vilikaa juu ya ardhi, vilivyo pumua pumzi ya uhai kwa njia ya pua, vilikufa.
quruqluqta yashighuchi, burnida hayatliq tiniqi bar bolghanlarning hemmisi öldi.
23 Hivyo kila kilichokuwa hai ambacho kilikuwa juu ya uso wa mchi kilifutwa, kuanzia watu mpaka wanyama wakubwa, mpaka vitambaavyo, na mpaka ndege wa angani. Vyote viliangamizwa kutoka kwenye nchi. Nuhu tu pamoja na wale waliokuwa naye kwenye safina ndio walisalia.
Yer yüzidiki jéni barlarning hemmisi, insan bolsun, mal-charwilar bolsun, ömiligüchi haywanlar bolsun, asmandiki qushlar bolsun, hemmisi halak bolup yer yüzidin yoq qilindi; peqet Nuh we kémide uning bilen bille turghanlar qutulup qaldi.
24 Maji haya kuzama chini ya nchi kwa muda wa siku miamoja na hamsini.
Bir yüz ellik kün’giche yer yüzini su bésip turdi.

< Mwanzo 7 >

The Great Flood
The Great Flood