< Mwanzo 7 >

1 Yahwe akamwambia Nuhu, “Njoo, wewe na nyumba yako wote, katika safina, kwa kuwa nimeona kuwa wewe ni mwenye haki mbele yangu katika kizazi hiki.
Potom řekl Hospodin k Noé: Vejdiž ty i všecka čeled tvá do korábu; nebo jsem tě viděl spravedlivého před sebou v národu tomto.
2 Kwa kila mnyama aliye safi utakuja nao saba wa kiume na saba wa kike. Na kwa wanyama wasio safi, lete wawili wawili, wakiume na wakike.
Ze všech hovad čistých vezmeš sobě sedmero a sedmero, samce a samici jeho, ale z hovad nečistých dvé a dvé, samce a samici jeho.
3 Pia na kwa ndege wa angani, lete saba wa kiume na saba wa kike, ili kuhifadhi kizazi chao juu ya uso wa nchi yote.
Z ptactva také nebeského sedmero a sedmero, samce a samici, aby živé zachováno bylo símě na vší zemi.
4 Kwa kuwa ndani ya siku saba nitasababisha mvua kunyesha juu ya nchi muda wa siku arobaini mchana na usiku. Nitaharibu kila kiumbe hai nilichokiumba juu ya uso wa ardhi.”
Nebo po dnech ještě sedmi já dštíti budu na zemi za čtyřidceti dnů a čtyřidceti nocí; a vyhladím se svrchku země všelikou podstatu, kterouž jsem učinil.
5 Nuhu alifanya yote ambayo Yahwe alimuagiza.
Tedy učinil Noé všecko tak, jakž mu přikázal Hospodin.
6 Nuhu alikuwa na umri wa miaka mia sita wakati gharika ilipokuja juu ya nchi.
(Byl pak Noé v šesti stech letech, když ta potopa přišla na zemi.)
7 Nuhu, watoto wake wa kiume, mke wake, na wake za watoto wake waliingia katika safina pamoja kwa sababu ya maji ya gharika.
A protož přišel Noé a synové jeho, i žena jeho, i ženy synů jeho s ním k korábu, pro vody potopy.
8 Wanyama ambao ni safi na wanyama ambao si safi, ndege, na kila kitambaacho juu ya ardhi,
Z hovad také čistých i z hovad nečistých, i z ptactva a ze všeho, což se hýbe na zemi,
9 wawili wawili mume na mke wakaja kwa Nuhu na wakaingia katika safina, kama vile Mungu alivyokuwa amemwagiza Nuhu.
Po dvém vešli k Noé do korábu, samec a samice, tak jakž byl rozkázal Bůh Noé.
10 Ikawa kwamba baada ya siku saba, maji ya gharika yakaja juu ya nchi.
Stalo se pak po sedmi dnech, že vody potopy přišly na zemi.
11 Katika mwaka wa mia sita wa maisha yake Nuhu, katika mwezi wa pili, katika siku ya kumi na saba ya mwezi, katika siku iyo hiyo, chemchemi zote za vilindi vikuu zilipasuka na kufunguka, na madirisha ya mbinguni yakafunguka.
Léta šestistého věku Noé, druhého měsíce, sedmnáctého dne téhož měsíce, v ten den protrženy jsou všecky studnice propasti veliké, a průduchové nebeští otevříni jsou.
12 Mvua ikaanza kunyesha juu ya nchi kwa siku arobaini mchana na usiku.
I byl příval na zemi čtyřidceti dní a čtyřidceti nocí.
13 Katika siku iyo hiyo Nuhu pamoja na watoto wake, Shem, Ham, na Yafethi na mke wa Nuhu, na wale wake watatu wa wana wa Nuhu pamoja waliingia katika safina.
Toho dne všel Noé, Sem a Cham i Jáfet, synové Noé, žena Noé, a tři ženy synů jeho s ním do korábu.
14 Waliingia pamoja na kila mnyama wa mwitu kwa jinsi yake, na kila mnyama wa kufugwa kwa jinsi yake, na kila kitambaacho juu ya ardhi kwa jinsi yake, na kila aina ya ndege kwa jinsi yake, kila aina ya kiumbe chenye mabawa.
Oni i všeliký živočich podlé pokolení svého, i všeliké hovado podlé pokolení svého, a všeliký zeměplaz, kterýž se hýbe na zemi, podlé pokolení svého, i všeliké ptactvo vedlé pokolení svého, všelijací ptáci, všecko, což křídla má,
15 Viwili viwili katika kila chenye mwili ambacho kilikuwa na pumzi ya uhai kilikuja kwa Nuhu na kuingia katika safina.
Vešli k Noé do korábu, po dvém ze všelikého těla, v němž byl duch života.
16 Wanyama walioingia ndani walikuwa wakiume na kike katika wote wenye mwili; wakaingia kama vile Mungu alivyokuwa amemwagiza. Kisha Yahwe akawafungia mlango.
A což jich vešlo, samec a samice ze všelikého těla vešli, tak jakž byl přikázal jemu Bůh, a zavřel Hospodin po něm.
17 Kisha gharika ikaja juu ya nchi kwa siku arobaini, na maji yakaongezeka na kuinua safina juu ya nchi.
A když byla potopa za čtyřidceti dnů na zemi, tedy rozmnoženy jsou vody, až i vyzdvihly koráb, a vznesly jej od země.
18 Maji yakafunika kabisa nchi, na safina ikaelea juu ya uso wa maji.
Nebo zmohly se vody a rozmnoženy jsou velmi nad zemí, i zplýval koráb na vodách.
19 Maji yakaongezeka zaidi juu ya nchi kiasi kwamba milima yote mirefu ambayo ilikuwa chini ya anga ikafunikwa.
A tak náramně rozmohly se vody nad zemí, že přikryty jsou všecky hory nejvyšší, kteréž byly pode vším nebem.
20 Maji yakaongezeka dhiraa kumi na tano juu ya vilele vya milima.
Patnácte loktů zvýší rozmohly se vody, když přikryty jsou hory.
21 Vitu vyote vyenye uhai ambavyo vilitembea juu ya nchi vilikufa: ndege, mifugo, wanyama wa mwituni, viumbe hai vyote kwa wingi vilivyoishi juu ya nchi, pamoja na watu.
I umřelo všeliké tělo, kteréž se hýbe na zemi, tak z ptactva, jako z hovad a živočichů, i všelikého hmyzu, kterýž se plazí po zemi, i každého člověka.
22 Viumbe hai vyote ambavyo vilikaa juu ya ardhi, vilivyo pumua pumzi ya uhai kwa njia ya pua, vilikufa.
Všecko, což mělo dýchání ducha života v chřípích svých, ze všeho, což bylo na suše, pomřelo.
23 Hivyo kila kilichokuwa hai ambacho kilikuwa juu ya uso wa mchi kilifutwa, kuanzia watu mpaka wanyama wakubwa, mpaka vitambaavyo, na mpaka ndege wa angani. Vyote viliangamizwa kutoka kwenye nchi. Nuhu tu pamoja na wale waliokuwa naye kwenye safina ndio walisalia.
A tak vyhladil Bůh všelikou podstatu, kteráž byla na tváři země, od člověka až do hovada, až do zeměplazu, a až do ptactva nebeského, vyhlazeno jest, pravím, z země; a zůstal toliko Noé, a kteříž s ním byli v korábu.
24 Maji haya kuzama chini ya nchi kwa muda wa siku miamoja na hamsini.
I trvaly vody nad zemí za sto a padesáte dnů.

< Mwanzo 7 >

The Great Flood
The Great Flood