< Mwanzo 50 >

1 Yusufu akahuzunika sana hata akauangukia uso wa baba yake, akamlilia, na kumbusu.
Nihotrak’ an-daharan-drae’eo t’Iosefe le nangoihoy ama’e vaho nañorok’ aze.
2 Yusufu akawaagiza watumishi wake matabibu kumtia dawa babaye. Hivyo matabibu wakampaka dawa Israeli.
Linili’ Iosefe o mpanaha mpitoro’eo hañoloñe an-drae’e. Le hinolonkolo’ o mpanahao t’Israele;
3 Wakatimiza siku arobain, kwani huo ndio uliokuwa muda kamili wa kutia dawa. Wamisri wakamlilia kwa siku sabini
efa-polo andro ty nirì’ iereo ama’e, amy te izay o andro mahafonitse ty fañolonkoloñan-jañahareo. Nandala fitom-polo andro ho aze o nte-Mitsraimeo.
4 Siku za maombolezo zilipotimia, Yusufu akaongea na watumishi wa baraza la kifalme wa Farao kusema, “Ikiwa nimepata kibali machoni penu, tafadharini ongeeni na Farao, kusema,
Ie niheneke o androm-pandalàñe azeo le hoe ty lañona’ Iosefe amo añ’anjomba’ i Paròo, Aa naho nahatendreke isoke am-pahaisaha’areo iraho le saontsio an-dravembia’ i Parò ty hoe:
5 'Baba yangu aliniapisha, kusema, “Tazama, ninakaribia kufa. Unizike katika kaburi nililolichimba kwa ajili yangu mwenyewe katika nchi ya Kanaani. Ndipo utakaponizika.” Basi sasa niruhusu niende nimzike baba yangu, na kisha nitarudi.”
Nampifantàn-draeko ahy ty hoe: Ingo fa hikenkan-draho. Le aleveño an-kibory hinaliko ho am-batako an-tane Kanàne ao. Aa le angao iraho hionjom-b’eo handeveñe an-draeko vaho himpoly.
6 Farao akajibu, “Nenda na umzika baba yako, kama alivyokuwapisha.”
Hoe ty natoi’ i Parò, Mionjona, aleveño ty rae’o amy nampifantà’e azoy.
7 Yusufu akaenda kumzika baba yake. Maofisa wa Farao wote wakaenda pamoja naye - washauri wa nyumba yake, maofisa waandamizi wote wa nchi ya Misri,
Aa le nionjoñe t’Iosefe handeveñe an-drae’e. Fonga nindre ama’e ze mpitoro’ i Parò naho o roandria añ’ anjomba’e ao naho o roandria’ ty tane Mitsraime iabio,
8 pamoja na nyumba yote ya Yusufu na ndugu zake, na nyumba yote ya baba yake. Lakini watoto wao, kondoo wao na makundi ya mbuzi wao yaliachwa katika nchi ya Gosheni.
naho ty añ’anjomba’ Iosefe iaby, o rahalahi’eo vaho ty añ’ anjomban-drae’e. Fe napok’ an-tane Gosena ao o ana’iareoo naho o mpirai-trokeo naho o lia-raikeo.
9 Vibandawazi na wapanda farasi pia walikwenda pamoja naye. Lilikuwa kundi kubwa sana la watu.
Nindre-lia ama’e o sarete reketse mpindaio. Nivalobohòke jabajaba.
10 Hata walipokuja katika sakafu ya kupuria ya Atadi upande mwingine wa Yordani, wakaomboleza kwa majonzi ya huzuni kubwa. Yusufu akafanya maombolezo ya siku saba kwa ajili ya babaye pale.
Ie nivo­trak’ an-toem-pamofoha’ i Atade, alafe’ Iordaney, le nanao fandalàñe jabajaba nampioremeñe; fito andro ty nandalà’e an-drae’e.
11 Wenyeji wa nchi, Wakanaani, walipoona maombolezo katika sakafu ya Atadi, wakasema, “Hili ni tukio la kuhuzunisha sana kwa Wamisri.” Ndiyo maana eneo hilo likaitwa Abeli Mizraimu, lililoko mbele ya Yordani.
Ie niisa’ o nte-Kanàne mpimoneñe amy taneio i fandalàñe an-tanem-pamofoha’ i Atadey le hoe iereo. Fandalàñe mam­pioje o anoe’ o nte-Mitsraimeo. Aa le natao Abele Mitsraime i tane andafe’ Iordaney zay,
12 Hivyo wanawe wakamfanyia Yakobo kama alivyokuwa amewaagiza.
naho nihenefe’ o ana-dahi’eo i nafè’ey:
13 Wana wake wakampeleka katika nchi ya Kanaani na wakamzika katika pango katika shamba la Makpela, karibu na Mamre. Ibrahimi alikuwa amelinunua pango pamoja na shamba kwa ajili ya eneo la kuzikia. Alikuwa amelinunua kutoka kwa Efroni Mhiti.
Nitakone’ iereo mb’ an-tane Kanàne mb’eo vaho naleve’ iareo an-dakato an-tete’ i Makpelà ao, i vinili’ i Avrahame rekets’ i tonday marine i Mamrè amy Efrone nte-Khete ho tanen-dona’ey.
14 Baada ya kuwa amemzika babaye, Yusufu akarudi Misri, yeye, pamoja na ndugu zake, na wote waliokuwa wamemsindikiza ili kumzika babaye.
Ie nande­veñe an-drae’e t’Iosefe le nimpoly mb’e Mitsraime añe rekets’ o rahalahi’eo naho i maro nindre nionjoñe ama’e mb’eo nandeveñe an-drae’ey.
15 Nduguze Yusufu walipoona kwamba baba yao amekufa, wakasema, “Itakuwaje ikiwa Yusufu atatukasirikia na akataka kutulipa kikamilifu kwa ajili ya uovu tuliomtenda?”
Aa ie nioni’ o rahalahi’ Iosefeo te nivilasy ty rae’ iareo le hoe ty fitsakorea’ iareo: Hera mitan-kabò aman-tika t’Iosefe hañondroha’e aman-tikañe ze fonga raty nanoan-tika?
16 Hivyo wakamwagiza Yusufu, kusema, “Baba yako alitoa maelekezo kabla hajafa, kusema,
Aa le nañitrik’ am’Iosefe iereo nanao ty hoe, Hoe ty nafèn-drae’o aolo’ t’ie nihomake,
17 'Mwambieni hivi Yusufu, “Tafadhari samehe makosa ya ndugu zako na dhambi yao uovu waliokutenda.” Basi wasamehe watumishi wa Mungu wa baba yako.” Yusufu akalia walipomwambia.
Zao ty ho enta’ areo am’ Iosefe: Ehe apoho ty tahiñe nanoa’ o rahalahi’oo naho i hakeo nanoe’ iereo nijoy azoy. Aa ie henaneo, ehe apoho ty hakeo’ o mpitoron’ Añaharen-drae’oo. Naharovetse t’Iosefe i enta’ iareo ama’ey.
18 Ndugu zake pia wakaenda na kuinamisha nyuso zao mbele zake. Wakasema, “Tazama, sisi ni watumishi wako.”
Nimb’eo amy zao o rahalahi’eo, nibabok’ añ’atrefa’eo, nanao ty hoe, Intoan-jahay fa ondevo’o.
19 Lakini Yusufu akawajibu, “Msiogope, Je mimi ni badala ya Mungu?
Aa hoe t’Iosefe am’ iereo, Ko hembañe, mpisolo an’ Andrianañahare v’o ahoo?
20 Lakini kwenu, mlikusudia kunidhuru, lakini Mungu alikusudia mema, kuhifadhi maisha ya watu wengi, kama mwonavyo leo.
Inahareo ka, toe nikinia raty amako fe sinafirin’ Añahare ho soa, hiboaha’ o oniñe henaneo, hampitambeloma’e ondaty mitozantoza.
21 Hivyo basi msiogope. Nitawahudumia ninyi na watoto wenu wadogo.” Kwa njia hii aliwatia moyo na kuongea na mioyo yao kwa upole.
Aa le ko mahimahiñe, fa ho fahanako nahareo naho o keleia’ areoo. Amy hoe zay ty nampanin­tsiña’e, ie nisaontsy añ’arofo’ iareo ao.
22 Yusufu akakaa Misri, pamoja na familia ya baba yake. Akaishi miaka mia moja na kumi.
Nimoneñe e Mitsraime ao t’Iosefe, ie naho ty hasavereñan-drae’e; vaho niveloñe zato-tsi-folo taoñe.
23 Yusufu akawaona wana wa Efraimu hata kizazi cha tatu. Pia aliwaona wana wa Makiri mwana wa Manase, waliowekwa katika magoti ya Yusufu.
Niisa’ Iosefe o ana’ i Efraimeo pak’ ami’ty tariratse faha telo; nibeizeñe añ’ ongo’ Iosefe ka o ana’ i Makire, ana’ i Menasèo.
24 Yusufu akawambia ndugu zake, “Ninakaribia kufa; lakini kwa hakika Mungu atawajilia na kuwaongoza kutoka katika nchi hii na kuwapeleka katika nch aliyoapa kumpa Ibrahimu, kwa Isaka na kwa Yakobo.”
Le hoe t’Iosefe aman-drahalahi’e, fa hikenkan-draho; le toe hito­tsak’ ama’areo t’i Andrianañahare hinday anahareo hienga an-tane atoy homb’an-tane nifantà’e amy Avrahame, am’ Ietsàke naho am’Iakòbe.
25 Kisha Yusufu akawaapisha watu wa Israeli kwa kiapo. Akasema, “Bila shaka Mungu atawajilia. Wakati huo mtachukuwa mifupa yangu kutoka hapa.”
Aa le nampifantà’ Iosefe amo ana’ Israeleo ty hoe, Toe hañimba anahareo t’i Andrianañahare, vaho hakare’ areo an-tane atoy o taolakoo.
26 Hivyo Yusufu akafa, mwenye miaka 110. Wakampaka dawa na akawekwa katika jeneza huko Misri.
Nihomake t’Io­sefe, ie ni-zato-tsi-folo taoñe, le naholon­koloñe naho napololòtse an-tsandòke e Mitsraime ao.

< Mwanzo 50 >