< Mwanzo 49 >

1 Kisha Yakobo akawaita wana wake, na kusema: “Jikusanyeni pamoja, ili niwaambie yatakayowapata nyakati zijazo.
Wezwał tedy Jakób synów swoich i rzekł: Zbierzcie się, a oznajmię wam, co ma przyjść na was w ostatnie dni.
2 Kusanyikeni ninyi wenyewe na msikilize, enyi wana wa Yakobo. Msikilizeni Israeli, baba yenu.
Zbierzcie się, i słuchajcie synowie Jakóbowi, a słuchajcie Izraela, ojca waszego.
3 Reubeni, wewe ni mzaliwa wangu wa kwanza, nguvu zangu, na mwanzo wa uwezo wangu, aliyesalia katika heshima na nguvu.
Ruben pierworodny mój, tyś moc moja, i początek siły mojej, zacny dostojeństwem, i zacny męstwem.
4 Asiyezuilika kama maji yarukayo, hautakuwa na umaharufu, kwa sababu ulikwenda juu ya kitanda cha baba yako. Hata ukakitia unajisi; ulikipanda kwa kuvizia.
Spłyniesz jako woda: nie będziesz zacnym, boś wstąpił na łoże ojca twego, i splugawiłeś łoże moje, i zginęło dostojeństwo twoje.
5 Simoni na Lawi ni ndugu. Panga zao ni silaha za vurugu.
Symeon i Lewi, bracia, naczynia nieprawości miecze ich.
6 Ee nafsi yangu, usiingie barazani pao; usiingie katika mikutano yao, kwani moyo wangu unaheshima kubwa kwa ajili yao. Kwani katika hasira yao waliua watu. Iliwapendeza kuwakata visigino ng'ombe.
W radę ich niechaj nie wchodzi dusza moja, a z zgromadzeniem ich niech się nie jednoczy sława moja; bo w zapalczywości swej zabili męża, a w swej woli wywrócili mur.
7 Hasira yao na ilaaniwe, kwani ilikuwa kali - na ukali wao, kwani ulikuwa ni katili. Nitawagawa katika Yakobo na kuwatawanya katika Israeli.
Przeklęta zapalczywość ich, iż uporna, i gniew ich, iż zatwardziały. Rozdzielę je w Jakóbie, a rozproszę je w Izraelu.
8 Yuda, ndugu zako watakusifu. Mkono wako utakuwa shingoni mwa adui zako. Wana wa baba yako watainama mbele zako
Juda, tyś jest, ciebie chwalić będą bracia twoi; ręka twoja będzie na szyi nieprzyjaciół twoich; kłaniać się tobie będą synowie ojca twego.
9 Yuda ni mwana simba. Mwanangu, umetoka katika mawindo yako. Alisimama chini, alijikunyata kama simba, kama simba jike. Je nana atakayejaribu kumwamsha?
Szczenię lwie Juda, od łupu, synu mój, wróciłeś się; skłonił się i położył się jako lew, i jako lwica, a któż go obudzi?
10 Fimbo haitaondoka katika Yuda, wala fimbo ya utawala kutoka katika miguu yake, hata atakapo kuja Shilo. Mataifa yatamtii.
Nie będzie odjęte sceptrum od Judy, ani Zakonodawca od nóg jego, aż przyjdzie Szylo, i jemu będzie oddane posłuszeństwo narodów.
11 Kumfunga punda wake kwenye mzabibu, na mwanapunda wake katika mzabibu mzuri, amefua mavazi yake katika divai, na kanzu yake katika damu ya vichala vya mzabibu.
Uwiąże u winnej macicy oślę swe, a u wybornej macicy winnej oślątko oślicy swej; omyje w winie szatę swoję, a we krwi jagód winnych odzienie swoje
12 Macho yake yatakuwa mausi kama mvinyo, na meno yake meupe kama maziwa.
Czerwieńsze oczy jego nad wino, a bielsze zęby jego nad mleko.
13 Zabuloni atakaa katika fukwe ya bahari. Atakuwa bandari kwa ajili ya meli, na mpaka wake utakuwa hata Sidoni.
Zabulon na brzegu morskim mieszkać będzie, i przy porcie okrętów, a granice jego aż do Sydonu.
14 Isakari ni punda mwenye nguvu, ajilazaye kati ya kondoo.
Isaszar jako osieł kościsty, leżący między dwoma brzemiony.
15 Anaona mahali pazuri pa kupumzikia na nchi ya kupendeza. Atainamisha bega lake kwa mzigo na kuwa mtumishi wake.
Upatrzył pokój, że jest dobry, i ziemię, że piękna, nachylił ramię swe ku noszeniu, dla tegoż będzie hołd dawał.
16 Dani atawaamua watu wake kama mojawapo ya makabila ya Israeli.
Dan sądzić będzie lud swój, jako jedno z pokoleń Izraelskich.
17 Dani atakuwa nyoka kando ya njia, nyoka mwenye sumu aumaye visigino vya farasi katika njia, hivyo aongozaye farasi huanguka nyuma.
Dan będzie wężem na drodze, żmiją na ścieżce, kąsając pięty końskie, że spadnie nazad jeździec jego.
18 Ninaungoja wokovu wako, Yahwe.
Zbawienia twego oczekiwam, Panie!
19 Gadi - wapanda farasi watamshambulia, lakini yeye atawapiga katika visigino vyao.
Gad od wojska zwyciężony będzie; ale i on potem zwycięży.
20 Vyakula vya Asheri vitakuwa vingi, naye ataandaa vyakula vya kifalme.
Z Asera tłusty chleb jego, a on wyda rozkoszy królewskie.
21 Naftali ni dubu jike asiyefungwa; atakuwa na watoto wa dubu walio wazuri.
Neftali jako łani wypuszczona, mówiąc piękne słowa.
22 Yusufu ni tawi lizaalo, tawi lizaalo karibu na kijito, ambaye matawi yake yako juu wa ukuta.
Latorośl płodna Józef, latorośl wyrastająca nad źródłem, a latorośli jego rozchodzą się po murze.
23 Mpiga mishale atamshambulia na kumrushia na kumsumbua.
Acz gorzkością napełnili go, i strzelali nań, a nienawidzili go strzelcy.
24 Lakini upinde wake utakuwa imara, na mikono yake itakuwa hodari kwa sababu ya mikono ya Mwenyenguvu wa Yakobo, kwa ajili ya jina la Mchungaji, Mwamba wa Israeli.
Jednak został potężny łuk jego, a zmocniły się ramiona rąk jego, w rękach mocnego Boga Jakóbowego, stąd się stał pasterzem i opoką Izraelową.
25 Mungu wa baba yako atakusaidia na Mungu Mwenye enzi atakubariki kwa baraka mbinguni juu, baraka za vilindi vilivyo chini, na baraka za maziwa na tumbo.
Od Boga ojca twego, który cię wspomógł, i od Wszechmogącego, któryć błogosławił błogosławieństwy niebieskiemi z wysoka, i błogosławieństwy przepaści leżącej głęboko, i błogosławieństwy piersi i żywota.
26 Baraka za baba yako ni kuu kuliko baraka za milima ya zamani au vitu vilivyotamaniwa vya milima ya kale. Na viwe katika kichwa cha Yusufu, hata juu ya taji ya kifalme kichwani pa ndugu zake.
Błogosławieństwa ojca twego mocniejsze będą nad błogosławieństwa przodków moich, aż do granic pagórków wiecznych; będą nad głową Józefową, i nad wierzchem głowy odłączonego między bracią swą.
27 Benjamini ni mbwamwitu mwenye njaa. Wakati wa asubuhi atalarua mawindo, na jioni atagawa mateka.”
Benjamin jako wilk porywający, rano jeść będzie łup, a wieczór będzie dzielił korzyść.
28 Haya ni makabila kumi na mbili ya Israeli. Hiki ndicho baba yao alichowambia alipowabariki. Aliwabariki kila mmoja kwa baraka iliyomstahili.
Teć wszystkie są dwanaście pokolenia Izraelskie, i to, co im powiedział ojciec ich, i błogosławił im; każdemu według błogosławieństwa jego błogosławił im.
29 Kisha akawaelekeza na kuwaambia, “Ninakaribia kwenda kwa watu wangu. Mnizike pamoja na babu zangu katika pango lililoko katika shamba la Efroni Mhiti,
A rozkazał im, i rzekł do nich: Ja będę przyłączon do ludu mego; pogrzebcież mię z ojcy moimi w jaskini, która jest na polu Efrona Hetejczyka;
30 katika pango lililo katika shamba la Makpela, karibu na Mamre katika nchi ya Kanaani, shamba Ibrahimu alilolinunua kwa Efron Mhiti kwa ajili ya eneo la kuzikia.
W jaskini, która jest na polu Machpela, która jest na przeciwko Mamre w ziemi Chananejskiej, którą kupił Abraham z rolą od Efrona Hetejczyka, w osiadłość grobu.
31 Pale walimzika Ibrahimu na Sara mkewe; pale wakamzika Isaka na Rebeka mkewe; na pale nikamzika Lea.
Tam pogrzebiono Abrahama, i Sarę, żonę jego; tam pogrzebiono Izaaka, i Rebekę żonę jego; tamem też pogrzebał Liję.
32 Shamba na pango lililomo lilinunuliwa kutoka kwa watu wa Hethi.”
A kupiono tę rolą i jaskinią, która na niej, od synów Hetowych.
33 Yakobo alipomaliza maagizo hayo kwa wanawe, akaiweka miguu yake kitandani, akakata roho, akawaendea watu wake
Tedy przestawszy Jakób mówić do synów swoich, złożył nogi swe na łoże i umarł, i przyłączon jest do ludu swego.

< Mwanzo 49 >