< Mwanzo 48 >

1 Ikawa baada ya mambo haya, mmojawapo akamwambia Yusufu, “Tazama, baba yako ni mgonjwa.” Hivyo akaondoka pamoja na wanawe wawili, Manase na Efrahimu.
Ket napasamak a kalpasan dagitoy a banbanag, nga adda maysa a nangibaga kenni Jose, “Kitaem, masakit ti amam.” Isu nga intugotna dagiti dua nga annakna, a da Manases ken Efraim.
2 Yakobo alipoambiwa, “Tazama, mwanao Yusufu amekuja kukuona,” Israeli akakusanya nguvu na kukaa juu ya kitanda.
Idi nabagaan ni Jacob, “Kitaem, simmangpet ni Jose a putotmo a mangsarungkar kenka,” Pimmigsa ni Israel ket nagtugaw iti pagiddaan.
3 Yakobo akamwambia Yusufu, Mungu Mwenyezi alinitokea huko Luzu katika nchi ya Kanaani. Akanibariki na
Kinuna ni Jacob kenni Jose, “Nagparang kaniak ti Dios a Mannakabalin-amin idiay Luz iti daga ti Canaan. Binendisionannak
4 kuniambia, 'Tazama, nitakupa uzao mwingi, na kukuzidisha. Nitakufanya kuwa kusanyiko la mataifa. Nitakupa nchi hii wewe na uzao wako kuwa milki ya milele.'
a kinunana kaniak, 'Kitaem, pagbalinenkanto a nabunga, ken paaduenkanto. Pagbalinenkanto a pagtaudan dagiti nasnasion. Itedkonto daytoy a daga kadagiti kaputotam kas agnanayon a sanikuada.’
5 Na sasa wanao wawili, waliozaliwa kwako katika nchi ya Misri kabla sijaja Misri, ni wangu. Efrahimu na Manase watakuwa wangu, kama walivyo Rubeni na Simioni.
Ket ita, dagiti dua a putotmo, a naiyanak kenka iti daga ti Egipto sakbay nga immayak kenka iti Egipto, ket kukuak. Kukuakto da Efraim ken Manases, a kas kada Ruben ken Simeon a kukuak metlaeng.
6 Watoto utakaowapata baada ya hapo ni wako; watahesabiwa katika majina ya ndugu zao katika urithi wao.
Kukuamto dagiti annak a maadda kenka kalpasanda; mailistadanto kadagiti nagan dagiti kakabsatda iti tawidda.
7 Lakini kwangu mimi, nilipokuja kutoka Padani, kwa uzuni yangu Raheli alikufa njiani katika nchi ya Kanaani, wakati kungalipo kitambo kwenda Efrathi. Nilimzika pale katika njia iendayo Efrathi” (ndio, Bethlehemu).
Ngem no maipapan kaniak, bayat nga agdaldaliasatak manipud idiay Padan, nagladingitak gapu iti pannakatay ni Raquel iti dalan iti daga ti Canaan, kabayatan nga adayokami pay laeng iti Efrata. Intabonko isuna sadiay iti dalan a mapan ti Efrata (dayta ket Betlehem).”
8 Israeli alipowaona wana wa Yusufu, akasema, “Ni nani hawa?”
Idi nakita ni Israel dagiti annak ni Jose, kinunana, “Siasino dagitoy?”
9 Yusufu akamwambia baba yake, “Hawa ni wanangu, Mungu alionipa hapa:” Israeli akasema, “Walete kwangu, kwamba niwabariki.”
Kinuna ni Jose iti amana, “Putotko ida, inted ida ti Dios kaniak ditoy.” Kinuna ni Israel, “Iyegmo ida kaniak, tapno mabendisionak ida.”
10 Basi macho ya Israeli yalikuwa yanashindwa kwa ajili ya umri wake, hivyo hakuweza kuona. Hivyo Yusufu akawasogeza karibu yake, na akawabusu na kuwakumbatia.
Ita, kumapuyen dagiti mata ni Israel gapu iti kinalakayna, isu a saanen a makakita. Isu nga inyasideg ida ni Jose kenkuana, ket inagkan ken inarakupna ida.
11 Israeli akamwambia Yusufu, “Sikutazamia kuuona uso wako tena, Lakini Mungu ameniruhusu kuwaona hata wanao.”
Kinuna ni Israel kenni Jose, “Saanko a pulos a ninamnama a makitak manen ti rupam, ngem impalubos pay kaniak ti Dios a makitak dagiti annakmo.”
12 Yusufu akawaondoa kati ya magoti ya Israeli, na kisha akainama na uso wake juu ya nchi.
Impan ida ni Jose iti nagbaetan dagiti tumeng ni Israel, ket kalpasanna nagparintumeng nga indumogna ti rupana iti daga.
13 Yusufu akawachukua wote wawili, Efrahimu katika mkono wake wa kulia kuelekea mkono wa kushoto wa Israeli, na Manase katika mkono wake wa kulia kuelekea mkono wa kulia wa Israeli, na akawasogeza kwake.
Innala ni Jose dagiti dua, ni Efraim iti makannawanna a makannigid ni Israel, ken ni Manases iti makannigidna a makannawan ni Israel, ket inyasidegna ida kenkuana.
14 Israeli akainua mkono wake wa kulia na kuuweka juu ya kichwa cha Efrahimu, aliyekuwa mdogo, na mkono wake wa kushoto juu ya kichwa cha Manase. Akaipishanisha mikono yake, kwani Manase ndiye alikuwa mzaliwa wa kwanza.
Inggaw-at ni Israel ti kannawan nga imana ken impatayna iti ulo ni Efraim, nga inaudi, ken ti kannigid nga imana iti ulo ni Manases. Pinagkurosna dagiti imana, ta ni Manases ti inauna.
15 Israeli akambariki Yusufu, akisema, Mungu ambaye mbele zake baba zangu Ibrahimu na Isaka walitembea, Mungu aliyenilinda hata leo,
Binendisionan ni Israel ni Jose, a kunana, “Ti Dios a nagtultulnogan dagiti ammak a ni Abraham ken ni Isaac, ti Dios a nangay-aywan kaniak inggana ita nga aldaw,
16 malaika walionilinda na madhara yote, awabariki vijana hawa. Jina langu na litajwe kwao, na majina ya baba zangu Ibrahimu na Isaka. Na wawe makutano ya watu juu ya nchi.”
ti anghel a nangsalsalaknib kaniak manipud iti amin a peggad, bendisionanna koma dagitoy nga ubbing. Maipanagan koma ti naganko kadakuada, ken ti nagan dagiti ammak a da Abraham ken Isaac. Umaduda koma iti rabaw ti daga.”
17 Yusufu alipoona baba yake ameweka mkono wake wa kulia juu ya kichwa cha Efrahimu, haikumpendeza. Akauchukuwa mkono wa baba yake auweke katika kichwa cha Manase.
Idi nakita ni Jose nga impatay ti amana ti kannawan nga imana iti ulo ni Efraim, saanna a nagustuan daytoy. Innalana ti ima ti amana tapno iyakarna manipud iti ulo ni Efraim ket inturongna iti ulo ni Manases.
18 Yusufu akamwambia baba yake, “Sivyo babangu; kwani huyu ndiye mzaliwa wa kwanza. Uweke mkono wako juu ya kichwa chake.”
Kinuna ni Jose iti amana, “Saan a kasta, amak; ta daytoy ti inauna. Ipataymo ti kannawan nga imam iti ulona.”
19 Baba yake akakataa na kusema, “Ninafahamu, mwanangu, nafahamu. Yeye naye atakuwa watu, naye pia atakuwa mkuu. Lakini mdogo wake atakuwa mkuu kuliko yeye, na uzao wake utakuwa wingi wa mataifa.”
Nagkedked ti amana a kinunana, “Ammok, anakko, ammok. Agbalinto met isuna nga adu a tattao, ken agbalinto met a natan-ok. Ngem natantan-okto ti inaudi a kabsatna ngem isuna, ken agbalinto nga adu a nasion dagiti kaputotanna.”
20 Israeli akawabariki siku hiyo kwa maneno haya, “Watu wa Israeli watatamka baraka kwa majina yenu wakisema, Mungu na akufanye kama Efrahimu na kama Manase'. “Kwa njia hii, Israeli akamweka Efrahimu mbele ya Manase.
Binendisionan ida ni Israel iti dayta nga aldaw babaen kadagitoy a sasao, “Iwaragawagto dagiti tattao ti Israel dagiti bendision babaen kadagiti naganyo a kunada, “Pagbalinennakayo koma ti Dios a kas kenni Efraim, ken kas kenni Manases'.” Iti kastoy a wagas, pinagbalin ni Israel nga imun-una ni Efraim ngem ni Manases.
21 Israeli akamwambia Yusufu, “Tazama, ninakaribia kufa, lakini Mungu atakuwa nanyi, na atawarudisha katika nchi ya baba zenu.
Kinuna ni Israel kenni Jose, “Kitaem, dandaniakon matay, ngem addanto ti Dios kenka, ket isublinakanto iti daga dagiti amam.
22 Kwako wewe, kwa kuwa uko juu ya ndugu zako, ninakupa mtelemko wa mlima niliouchukuwa kutoka kwa Waamori kwa upanga wangu na upinde wangu.”
Kenka, kas nangatngato ngem kadagiti kakabsatmo, itedko ti naanduyas a bantay nga innalak manipud kadagiti Amorreo babaen iti kampilan ken pana.”

< Mwanzo 48 >