< Mwanzo 48 >
1 Ikawa baada ya mambo haya, mmojawapo akamwambia Yusufu, “Tazama, baba yako ni mgonjwa.” Hivyo akaondoka pamoja na wanawe wawili, Manase na Efrahimu.
and to be after [the] word: thing [the] these and to say to/for Joseph behold father your be weak: ill and to take: take [obj] two son: child his with him [obj] Manasseh and [obj] Ephraim
2 Yakobo alipoambiwa, “Tazama, mwanao Yusufu amekuja kukuona,” Israeli akakusanya nguvu na kukaa juu ya kitanda.
and to tell to/for Jacob and to say behold son: child your Joseph to come (in): come to(wards) you and to strengthen: strengthen Israel and to dwell upon [the] bed
3 Yakobo akamwambia Yusufu, Mungu Mwenyezi alinitokea huko Luzu katika nchi ya Kanaani. Akanibariki na
and to say Jacob to(wards) Joseph God Almighty to see: see to(wards) me in/on/with Luz in/on/with land: country/planet Canaan and to bless [obj] me
4 kuniambia, 'Tazama, nitakupa uzao mwingi, na kukuzidisha. Nitakufanya kuwa kusanyiko la mataifa. Nitakupa nchi hii wewe na uzao wako kuwa milki ya milele.'
and to say to(wards) me look! I be fruitful you and to multiply you and to give: make you to/for assembly people and to give: give [obj] [the] land: country/planet [the] this to/for seed: children your after you possession forever: enduring
5 Na sasa wanao wawili, waliozaliwa kwako katika nchi ya Misri kabla sijaja Misri, ni wangu. Efrahimu na Manase watakuwa wangu, kama walivyo Rubeni na Simioni.
and now two son: child your [the] to beget to/for you in/on/with land: country/planet Egypt till to come (in): come I to(wards) you Egypt [to] to/for me they(masc.) Ephraim and Manasseh like/as Reuben and Simeon to be to/for me
6 Watoto utakaowapata baada ya hapo ni wako; watahesabiwa katika majina ya ndugu zao katika urithi wao.
and relatives your which to beget after them to/for you to be upon name brother: male-sibling their to call: call by in/on/with inheritance their
7 Lakini kwangu mimi, nilipokuja kutoka Padani, kwa uzuni yangu Raheli alikufa njiani katika nchi ya Kanaani, wakati kungalipo kitambo kwenda Efrathi. Nilimzika pale katika njia iendayo Efrathi” (ndio, Bethlehemu).
and I in/on/with to come (in): come I from Paddan to die upon me Rachel in/on/with land: country/planet Canaan in/on/with way: journey in/on/with still distance land: country/planet to/for to come (in): come Ephrath and to bury her there in/on/with way: journey Ephrath he/she/it Bethlehem Bethlehem
8 Israeli alipowaona wana wa Yusufu, akasema, “Ni nani hawa?”
and to see: see Israel [obj] son: child Joseph and to say who? these
9 Yusufu akamwambia baba yake, “Hawa ni wanangu, Mungu alionipa hapa:” Israeli akasema, “Walete kwangu, kwamba niwabariki.”
and to say Joseph to(wards) father his son: child my they(masc.) which to give: give to/for me God in/on/with this and to say to take: bring them please to(wards) me and to bless them
10 Basi macho ya Israeli yalikuwa yanashindwa kwa ajili ya umri wake, hivyo hakuweza kuona. Hivyo Yusufu akawasogeza karibu yake, na akawabusu na kuwakumbatia.
and eye Israel to honor: dull from old age not be able to/for to see: see and to approach: bring [obj] them to(wards) him and to kiss to/for them and to embrace to/for them
11 Israeli akamwambia Yusufu, “Sikutazamia kuuona uso wako tena, Lakini Mungu ameniruhusu kuwaona hata wanao.”
and to say Israel to(wards) Joseph to see: see face your not to pray and behold to see: see [obj] me God also [obj] seed: children your
12 Yusufu akawaondoa kati ya magoti ya Israeli, na kisha akainama na uso wake juu ya nchi.
and to come out: send Joseph [obj] them from from with knee his and to bow to/for face his land: soil [to]
13 Yusufu akawachukua wote wawili, Efrahimu katika mkono wake wa kulia kuelekea mkono wa kushoto wa Israeli, na Manase katika mkono wake wa kulia kuelekea mkono wa kulia wa Israeli, na akawasogeza kwake.
and to take: take Joseph [obj] two their [obj] Ephraim in/on/with right his from left Israel and [obj] Manasseh in/on/with left his from right Israel and to approach: bring to(wards) him
14 Israeli akainua mkono wake wa kulia na kuuweka juu ya kichwa cha Efrahimu, aliyekuwa mdogo, na mkono wake wa kushoto juu ya kichwa cha Manase. Akaipishanisha mikono yake, kwani Manase ndiye alikuwa mzaliwa wa kwanza.
and to send: reach Israel [obj] right his and to set: put upon head Ephraim and he/she/it [the] little and [obj] left his upon head Manasseh to cross hands [obj] hand his for Manasseh [the] firstborn
15 Israeli akambariki Yusufu, akisema, Mungu ambaye mbele zake baba zangu Ibrahimu na Isaka walitembea, Mungu aliyenilinda hata leo,
and to bless [obj] Joseph and to say [the] God which to go: walk father my to/for face: before his Abraham and Isaac [the] God [the] to pasture [obj] me from still my till [the] day: today [the] this
16 malaika walionilinda na madhara yote, awabariki vijana hawa. Jina langu na litajwe kwao, na majina ya baba zangu Ibrahimu na Isaka. Na wawe makutano ya watu juu ya nchi.”
[the] messenger: angel [the] to redeem: redeem [obj] me from all bad: evil to bless [obj] [the] youth and to call: call by in/on/with them name my and name father my Abraham and Isaac and to multiply to/for abundance in/on/with entrails: among [the] land: country/planet
17 Yusufu alipoona baba yake ameweka mkono wake wa kulia juu ya kichwa cha Efrahimu, haikumpendeza. Akauchukuwa mkono wa baba yake auweke katika kichwa cha Manase.
and to see: see Joseph for to set: put father his hand right his upon head Ephraim and be evil in/on/with eye: appearance his and to grasp hand father his to/for to turn aside: remove [obj] her from upon head Ephraim upon head Manasseh
18 Yusufu akamwambia baba yake, “Sivyo babangu; kwani huyu ndiye mzaliwa wa kwanza. Uweke mkono wako juu ya kichwa chake.”
and to say Joseph to(wards) father his not so father my for this [the] firstborn to set: put right your upon head his
19 Baba yake akakataa na kusema, “Ninafahamu, mwanangu, nafahamu. Yeye naye atakuwa watu, naye pia atakuwa mkuu. Lakini mdogo wake atakuwa mkuu kuliko yeye, na uzao wake utakuwa wingi wa mataifa.”
and to refuse father his and to say to know son: child my to know also he/she/it to be to/for people and also he/she/it to magnify and but brother: male-sibling his [the] small: young to magnify from him and seed: children his to be fullness [the] nation
20 Israeli akawabariki siku hiyo kwa maneno haya, “Watu wa Israeli watatamka baraka kwa majina yenu wakisema, Mungu na akufanye kama Efrahimu na kama Manase'. “Kwa njia hii, Israeli akamweka Efrahimu mbele ya Manase.
and to bless them in/on/with day [the] he/she/it to/for to say in/on/with you to bless Israel to/for to say to set: make you God like/as Ephraim and like/as Manasseh and to set: put [obj] Ephraim to/for face: before Manasseh
21 Israeli akamwambia Yusufu, “Tazama, ninakaribia kufa, lakini Mungu atakuwa nanyi, na atawarudisha katika nchi ya baba zenu.
and to say Israel to(wards) Joseph behold I to die and to be God with you and to return: again [obj] you to(wards) land: country/planet father your
22 Kwako wewe, kwa kuwa uko juu ya ndugu zako, ninakupa mtelemko wa mlima niliouchukuwa kutoka kwa Waamori kwa upanga wangu na upinde wangu.”
and I to give: give to/for you shoulder one upon brother: male-sibling your which to take: take from hand: power [the] Amorite in/on/with sword my and in/on/with bow my