< Mwanzo 47 >
1 Kisha Yusufu akaingia kwa Farao na kumwambia, “Baba yangu na ndugu zangu, kondoo wao, mbuzi wao, na yote waliyonayo, wamefika kutoka katika nchi ya Kanaani. Tazama, wapo katika nchi ya Gosheni.”
Potem je prišel Jožef in povedal faraonu ter rekel: »Moj oče, moji bratje, njihovi tropi, njihove črede in vse, kar imajo, so prišli iz kánaanske dežele. Glej, v gošenski deželi so.«
2 Akawachukua watano katika ndugu zake na kuwatambulisha kwa Farao.
Vzel je nekatere izmed svojih bratov, pet mož in jih predstavil faraonu.
3 Farao akawambia ndugu zake, “Kazi yenu ni nini?” Wakamwambia Farao, “Watumishi wako ni wafugaji, kama mababu zetu.”
Faraon je njegovim bratom rekel: »Kakšen je vaš poklic?« Faraonu so odgovorili: »Tvoji služabniki so pastirji, tako mi, kakor tudi naši očetje.«
4 Kisha wakamwambia Farao, “Tumekuja kukaa kwa muda katika nchi. Hakuna malisho kwa ajili ya makundi ya watumishi wako, kwa maana njaa ni kali sana katika nchi ya Kanaani. Hivyo, tafadhari waache watumishi wako wakae katika nchi ya Gosheni.”
Poleg tega so faraonu rekli: »Zato smo prišli, da začasno prebivamo v deželi, kajti tvoji služabniki nimajo pašnika za svoje trope, kajti huda lakota je v kánaanski deželi. Sedaj te torej prosimo, naj tvoji služabniki prebivajo v gošenski deželi.«
5 Kisha Farao akamwambia Yusufu, kusema, “Baba yako na ndugu zako wamekuja kwako.
Faraon je Jožefu spregovoril, rekoč: »Tvoj oče in tvoji bratje so prišli k tebi.
6 Nchi ya Misri iko mbele yako. Mkalishe baba yako na ndugu zako katika eneo zuri, nchi ya Gosheni. Ikiwa unafahamu watu wenye uwezo miongoni mwao, uwaweke kuwatunza wanyama wangu.”
Egiptovska dežela je pred teboj. V najboljši deželi pripravi svojemu očetu in bratom, da prebivajo. V gošenski deželi naj prebivajo in če poznaš med njimi katerekoli marljive ljudi, potem jih naredi gospodarje nad mojo živino.«
7 Kisha Yusufu akamwingiza Yakobo baba yake na kumweka mbele ya Farao. Yakobo akambariki Farao.
Jožef je privedel svojega očeta Jakoba in ga postavil pred faraona in Jakob je blagoslovil faraona.
8 Farao akamwambia Yakobo, “Umeishi kwa muda gani?”
Faraon je Jakobu rekel: »Koliko si star?«
9 Yakobo akamwambia Farao, “Miaka ya safari zangu ni mia moja na thelathini. Miaka ya maisha yangu imekuwa mifupi na ya maumivu. Siyo kama miaka ya baba zangu.”
Jakob je faraonu rekel: »Dni let mojega popotovanja je sto trideset let. Malo in zli so bili dnevi let mojega življenja in nisem dosegel dni let življenja svojih očetov v dneh njihovega popotovanja.«
10 Kisha Yakobo akambariki Farao na kuondoka mbele zake.
Jakob je blagoslovil faraona in odšel izpred faraona.
11 Kisha Yusufu akamweka baba yake na ndugu zake. Akawapa eneo katika nchi ya Misri, sehemu nzuri sana ya nchi, katika eneo la Ramesesi, kama Farao alivyokuwa ameagiza.
Jožef je namestil svojega očeta in svoje brate ter jim dal posest v egiptovski deželi, v najboljšem delu dežele, v Ramesésovi deželi, kakor je faraon zapovedal.
12 Yusufu akamhudumia baba yake kwa chakula, ndugu zake, na nyumba yote ya baba yake, kulingana na hesabu ya wahitaji wao.
Jožef je vzdrževal svojega očeta, svoje brate in vso družino svojega očeta s kruhom, glede na njihove družine.
13 Basi hakukuwa na chakula katika nchi yote; kwani njaa ilikuwa kali sana. Nchi ya Misri na nchi ya Kanaani ikaharibika kwa sababu ya njaa.
In ni bilo kruha v vsej deželi, kajti lakota je bila zelo huda, tako da je egiptovska dežela in vsa kánaanska dežela zaradi lakote slabela.
14 Yusufu akakusanya pesa yote iliyokuwa katika nchi ya Misri na nchi ya Kanaani, kwa kuwauzia wakaaji wake chakula. Kisha Yusufu akaleta ile pesa katika kasri la Farao.
Jožef je zbral ves denar, ki se je našel v egiptovski deželi in v kánaanski deželi, za žito, ki so ga kupovali. In Jožef je denar prinesel v faraonovo hišo.
15 Pesa yote ya nchi za Misri na Kanaani ilipokwisha, Wamisri wote wakaja kwa Yusufu wakisema, “Tupe chakula! Kwa nini tufe mbele zako kwa maana pesa yetu imekwisha?”
Ko pa je v egiptovski deželi in v kánaanski deželi zmanjkalo denarja, so vsi Egipčani prišli k Jožefu in rekli: »Daj nam kruha, kajti zakaj bi umrli v tvoji prisotnosti? Kajti denarja je zmanjkalo.«
16 Yusufu akasema, “Ikiwa pesa yenu imekwisha, leteni wanyama wenu nami nitawapa chakula badala ya wanyama wenu.”
Jožef je rekel: »Dajte svojo živino in jaz vam bom dal za vašo živino, če je denarja zmanjkalo.«
17 Hivyo wakaleta wanyama wao kwa Yusufu. Yusufu akawapa chakula kwa kubadilishana na farasi, kondoo, mbuzi na kwa punda. Akawalisha kwa mkate kwa kubadilisha na wanyama wao mwaka ule.
Svojo živino so privedli k Jožefu in Jožef jim je dal kruha v zameno za konje in za trope in za živino od čred in za osle in to leto jih je nahranil s kruhom za vso njihovo živino.
18 Mwaka ule ulipokwisha, wakaja kwake mwaka uliofuata na kumwambia, “Hatutaficha kwa bwana wangu kwamba pesa yetu yote imekwisha, na wanyama ni wa bwana wangu. Hakuna kilichobaki mbele za bwana wangu, isipokuwa miili yetu na nchi yetu.
Ko je bilo to leto končano, so prišli k njemu drugo leto in mu rekli: » Tega ne bomo skrivali pred mojim gospodom, da je naš denar porabljen. Moj gospod ima tudi naše črede in živino. Sploh ni veliko ostalo v očeh mojega gospoda, razen naših teles in naših zemljišč.
19 Kwa nini tufe mbele za macho yake, sisi na nchi yetu? Utununue sisi na nchi yetu badala ya chakula, na sisi na nchi yetu tutakuwa watumishi wa Farao. Tupe mbegu ili kwamba tuishi na tusife, na kwamba nchi isiwe tupu bila watu.
Zakaj bi umrli pred tvojimi očmi, tako mi kakor naša dežela? Kupi nas in našo deželo za kruh, pa bomo mi in naša dežela služabniki faraonu. Daj nam seme, da bomo lahko živeli in ne umrli, da dežela ne bo zapuščena.«
20 Hivyo Yusufu akamnunulia Farao nchi yote ya Misri. Kwani kila Mmisri akauza shamba lake, kwa sababu njaa ilikuwa kali sana. Kwa njia hii, nchi ikawa mali ya Farao.
Jožef je vso egiptovsko deželo kupil za faraona, kajti Egipčani so prodali vsak človek svoje polje, ker je nad njimi prevladala lakota in tako je dežela postala faraonova.
21 Na watu, akawafanya kuwa watumwa kutoka mpaka mmoja wa Misri hata mkapa mwingine.
Kar se tiče ljudstva, jih je premestil v mesta, od enega konca egiptovskih meja, celo do drugega njegovega konca.
22 Ilikuwa ni nchi ya makuhani pekee ambayo Yusufu hakuinunua, kwa maana makuhani walikuwa wakipewa posho. Walikula katika sehemu aliyowapa Farao. Kwa hiyo hawakuuza nchi yao.
Samo zemljišč duhovnikov ni pokupil, kajti duhovniki so imeli od faraona njim določen delež in jedli svoj delež, ki jim ga je faraon dajal, zato svojih zemljišč niso prodali.
23 Kisha Yusufu akawambia watu, “Tazama, nimewanunua ninyi na nchi yenu leo kwa ajili ya Farao. Basi mbegu hii hapa kwa ajili yenu, nanyi mtapanda katika nchi.
Potem je Jožef rekel ljudstvu: »Glejte, danes sem kupil vas in vašo deželo za faraona. Glejte, tukaj je seme za vas in vi boste posejali deželo.
24 Wakati wa mavuno, mtampa Farao sehemu ya tano, na sehemu nne zitakuwa zenu, kwa mbegu za shamba na kwa chakula cha nyumba zenu na watoto wenu.”
Z donosom se bo zgodilo, da boste peti del dali faraonu, štirje deli pa bodo vaši lastni, za seme polja in za vašo hrano in za tiste iz vaših družin in za hrano za vaše malčke.«
25 Wakasema, “Umeokoa maisha yetu. Na tupate kibali machoni pako. Tutakuwa watumishi wa Farao.”
Rekli so: »Rešil si naša življenja. Naj najdemo milost v očeh mojega gospoda, mi pa bomo faraonovi služabniki.«
26 Hivyo Yusufu akaifanya kuwa sheria inayofanya kazi hata leo katika nchi ya Misri, kwamba moja ya tano ni ya Farao. Eneo la makuhani peke yake ndo halikufanywa kuwa la Farao.
Jožef je to naredil v egiptovski deželi [za] zakon do današnjega dne, da bo imel faraon peti del, razen dežele duhovnikov, ki ni postala faraonova.
27 Hivyo Israeli akaishi katika nchi ya Misri, katika eneo la Gosheni. Watu wake wakapata umiliki pale. Walikuwa wenye kuzaa na kuongezeka sana.
Izrael je prebival v egiptovski deželi, v pokrajini Gošen in v njej so imeli posesti in rastli ter se silno pomnožili.
28 Yakobo akaishi katika nchi ya Misri miaka kumi na saba, kwa hiyo miaka ya maisha ya Yakobo ilikuwa miaka mia moja arobaini na saba.
Jakob je v egiptovski deželi živel sedemnajst let. Tako je bila celotna Jakobova starost sto sedeminštirideset let.
29 Wakati wa kufa kwake Yakobo ulipokaribia, alimwita Yusufu mwanaye na kumwambia, “Ikiwa nimepata kibali mbele zako, weka mkono wako chini ya paja langu, na unitendee kwa uaminifu na kweli. Tafadhari usinizike Misri.
Približal se je čas, ko je Izrael moral umreti in poklical je svojega sina Jožefa ter mu rekel: »Če sem sedaj našel milost v tvojem pogledu, položi, prosim te, svojo roko pod moje stegno ter z menoj postopaj dobrotljivo in iskreno. Ne pokoplji me, prosim te, v Egiptu,
30 Nitakapolala na baba zangu, utanitoa Misri na kunizika katika eneo la kuzikia la baba zangu.” Yusufu akasema, “Nitafanya kama ulivyosema.”
temveč hočem ležati s svojimi očeti in ti me boš odnesel iz Egipta in me pokopal na njihovem grobišču.« Rekel je: »Storil bom kakor si rekel.«
31 Israeli akasema, “Niapie,” na Yusufu akamwapia. Kisha Israeli akainama chini mbele ya kitanda chake.
Rekel je: »Prisezi mi.« In prisegel mu je. In Izrael se je priklonil na vzglavju postelje.