< Mwanzo 47 >

1 Kisha Yusufu akaingia kwa Farao na kumwambia, “Baba yangu na ndugu zangu, kondoo wao, mbuzi wao, na yote waliyonayo, wamefika kutoka katika nchi ya Kanaani. Tazama, wapo katika nchi ya Gosheni.”
and to come (in): come Joseph and to tell to/for Pharaoh and to say father my and brother: male-sibling my and flock their and cattle their and all which to/for them to come (in): come from land: country/planet Canaan and look! they in/on/with land: country/planet Goshen
2 Akawachukua watano katika ndugu zake na kuwatambulisha kwa Farao.
and from end brother: male-sibling his to take: take five human and to set them to/for face: before Pharaoh
3 Farao akawambia ndugu zake, “Kazi yenu ni nini?” Wakamwambia Farao, “Watumishi wako ni wafugaji, kama mababu zetu.”
and to say Pharaoh to(wards) brother: male-sibling his what? deed: work your and to say to(wards) Pharaoh to pasture flock servant/slave your also we also father our
4 Kisha wakamwambia Farao, “Tumekuja kukaa kwa muda katika nchi. Hakuna malisho kwa ajili ya makundi ya watumishi wako, kwa maana njaa ni kali sana katika nchi ya Kanaani. Hivyo, tafadhari waache watumishi wako wakae katika nchi ya Gosheni.”
and to say to(wards) Pharaoh to/for to sojourn in/on/with land: country/planet to come (in): come for nothing pasture to/for flock which to/for servant/slave your for heavy [the] famine in/on/with land: country/planet Canaan and now to dwell please servant/slave your in/on/with land: country/planet Goshen
5 Kisha Farao akamwambia Yusufu, kusema, “Baba yako na ndugu zako wamekuja kwako.
and to say Pharaoh to(wards) Joseph to/for to say father your and brother: male-sibling your to come (in): come to(wards) you
6 Nchi ya Misri iko mbele yako. Mkalishe baba yako na ndugu zako katika eneo zuri, nchi ya Gosheni. Ikiwa unafahamu watu wenye uwezo miongoni mwao, uwaweke kuwatunza wanyama wangu.”
land: country/planet Egypt to/for face: before your he/she/it in/on/with best [the] land: country/planet to dwell [obj] father your and [obj] brother: male-sibling your to dwell in/on/with land: country/planet Goshen and if to know and there in/on/with them human strength and to set: put them ruler livestock upon which to/for me
7 Kisha Yusufu akamwingiza Yakobo baba yake na kumweka mbele ya Farao. Yakobo akambariki Farao.
and to come (in): bring Joseph [obj] Jacob father his and to stand: stand him to/for face: before Pharaoh and to bless Jacob [obj] Pharaoh
8 Farao akamwambia Yakobo, “Umeishi kwa muda gani?”
and to say Pharaoh to(wards) Jacob like/as what? day year life your
9 Yakobo akamwambia Farao, “Miaka ya safari zangu ni mia moja na thelathini. Miaka ya maisha yangu imekuwa mifupi na ya maumivu. Siyo kama miaka ya baba zangu.”
and to say Jacob to(wards) Pharaoh day year sojourning my thirty and hundred year little and bad: evil to be day year life my and not to overtake [obj] day year life father my in/on/with day sojourning their
10 Kisha Yakobo akambariki Farao na kuondoka mbele zake.
and to bless Jacob [obj] Pharaoh and to come out: come from to/for face: before Pharaoh
11 Kisha Yusufu akamweka baba yake na ndugu zake. Akawapa eneo katika nchi ya Misri, sehemu nzuri sana ya nchi, katika eneo la Ramesesi, kama Farao alivyokuwa ameagiza.
and to dwell Joseph [obj] father his and [obj] brother: male-sibling his and to give: give to/for them possession in/on/with land: country/planet Egypt in/on/with best [the] land: country/planet in/on/with land: country/planet Rameses like/as as which to command Pharaoh
12 Yusufu akamhudumia baba yake kwa chakula, ndugu zake, na nyumba yote ya baba yake, kulingana na hesabu ya wahitaji wao.
and to sustain Joseph [obj] father his and [obj] brother: male-sibling his and [obj] all house: household father his food to/for lip: according [the] child
13 Basi hakukuwa na chakula katika nchi yote; kwani njaa ilikuwa kali sana. Nchi ya Misri na nchi ya Kanaani ikaharibika kwa sababu ya njaa.
and food nothing in/on/with all [the] land: country/planet for heavy [the] famine much and to languish land: country/planet Egypt and land: country/planet Canaan from face: because [the] famine
14 Yusufu akakusanya pesa yote iliyokuwa katika nchi ya Misri na nchi ya Kanaani, kwa kuwauzia wakaaji wake chakula. Kisha Yusufu akaleta ile pesa katika kasri la Farao.
and to gather Joseph [obj] all [the] silver: money [the] to find in/on/with land: country/planet Egypt and in/on/with land: country/planet Canaan in/on/with grain which they(masc.) to buy grain and to come (in): bring Joseph [obj] [the] silver: money house: palace [to] Pharaoh
15 Pesa yote ya nchi za Misri na Kanaani ilipokwisha, Wamisri wote wakaja kwa Yusufu wakisema, “Tupe chakula! Kwa nini tufe mbele zako kwa maana pesa yetu imekwisha?”
and to finish [the] silver: money from land: country/planet Egypt and from land: country/planet Canaan and to come (in): come all Egyptian to(wards) Joseph to/for to say to give [emph?] to/for us food and to/for what? to die before you for to end silver: money
16 Yusufu akasema, “Ikiwa pesa yenu imekwisha, leteni wanyama wenu nami nitawapa chakula badala ya wanyama wenu.”
and to say Joseph to give livestock your and to give: give to/for you in/on/with livestock your if to end silver: money
17 Hivyo wakaleta wanyama wao kwa Yusufu. Yusufu akawapa chakula kwa kubadilishana na farasi, kondoo, mbuzi na kwa punda. Akawalisha kwa mkate kwa kubadilisha na wanyama wao mwaka ule.
and to come (in): bring [obj] livestock their to(wards) Joseph and to give: give to/for them Joseph food in/on/with horse and in/on/with livestock [the] flock and in/on/with livestock [the] cattle and in/on/with donkey and to guide them in/on/with food in/on/with all livestock their in/on/with year [the] he/she/it
18 Mwaka ule ulipokwisha, wakaja kwake mwaka uliofuata na kumwambia, “Hatutaficha kwa bwana wangu kwamba pesa yetu yote imekwisha, na wanyama ni wa bwana wangu. Hakuna kilichobaki mbele za bwana wangu, isipokuwa miili yetu na nchi yetu.
and to finish [the] year [the] he/she/it and to come (in): come to(wards) him in/on/with year [the] second and to say to/for him not to hide from lord my that if: except if: except to finish [the] silver: money and livestock [the] animal to(wards) lord my not to remain to/for face: before lord my lest if: until body our and land: soil our
19 Kwa nini tufe mbele za macho yake, sisi na nchi yetu? Utununue sisi na nchi yetu badala ya chakula, na sisi na nchi yetu tutakuwa watumishi wa Farao. Tupe mbegu ili kwamba tuishi na tusife, na kwamba nchi isiwe tupu bila watu.
to/for what? to die to/for eye: before(the eyes) your also we also land: soil our to buy [obj] us and [obj] land: soil our in/on/with food and to be we and land: soil our servant/slave to/for Pharaoh and to give: give seed and to live and not to die and [the] land: soil not be desolate
20 Hivyo Yusufu akamnunulia Farao nchi yote ya Misri. Kwani kila Mmisri akauza shamba lake, kwa sababu njaa ilikuwa kali sana. Kwa njia hii, nchi ikawa mali ya Farao.
and to buy Joseph [obj] all land: soil Egypt to/for Pharaoh for to sell Egyptian man: anyone land: country his for to strengthen: strengthen upon them [the] famine and to be [the] land: country/planet to/for Pharaoh
21 Na watu, akawafanya kuwa watumwa kutoka mpaka mmoja wa Misri hata mkapa mwingine.
and [obj] [the] people to pass: bring [obj] him to/for city from end border: area Egypt and till end his
22 Ilikuwa ni nchi ya makuhani pekee ambayo Yusufu hakuinunua, kwa maana makuhani walikuwa wakipewa posho. Walikula katika sehemu aliyowapa Farao. Kwa hiyo hawakuuza nchi yao.
except land: soil [the] priest not to buy for statute: portion to/for priest from with Pharaoh and to eat [obj] statute: portion their which to give: give to/for them Pharaoh upon so not to sell [obj] land: soil their
23 Kisha Yusufu akawambia watu, “Tazama, nimewanunua ninyi na nchi yenu leo kwa ajili ya Farao. Basi mbegu hii hapa kwa ajili yenu, nanyi mtapanda katika nchi.
and to say Joseph to(wards) [the] people look! to buy [obj] you [the] day: today and [obj] land: soil your to/for Pharaoh behold to/for you seed and to sow [obj] [the] land: soil
24 Wakati wa mavuno, mtampa Farao sehemu ya tano, na sehemu nne zitakuwa zenu, kwa mbegu za shamba na kwa chakula cha nyumba zenu na watoto wenu.”
and to be in/on/with produce and to give: give fifth to/for Pharaoh and four [the] hand: times to be to/for you to/for seed [the] land: country and to/for food your and to/for which in/on/with house: household your and to/for to eat to/for child your
25 Wakasema, “Umeokoa maisha yetu. Na tupate kibali machoni pako. Tutakuwa watumishi wa Farao.”
and to say to live us to find favor in/on/with eye: appearance lord my and to be servant/slave to/for Pharaoh
26 Hivyo Yusufu akaifanya kuwa sheria inayofanya kazi hata leo katika nchi ya Misri, kwamba moja ya tano ni ya Farao. Eneo la makuhani peke yake ndo halikufanywa kuwa la Farao.
and to set: make [obj] her Joseph to/for statute: decree till [the] day: today [the] this upon land: soil Egypt to/for Pharaoh to/for fifth except land: soil [the] priest to/for alone them not to be to/for Pharaoh
27 Hivyo Israeli akaishi katika nchi ya Misri, katika eneo la Gosheni. Watu wake wakapata umiliki pale. Walikuwa wenye kuzaa na kuongezeka sana.
and to dwell Israel in/on/with land: country/planet Egypt in/on/with land: country/planet Goshen and to grasp in/on/with her and be fruitful and to multiply much
28 Yakobo akaishi katika nchi ya Misri miaka kumi na saba, kwa hiyo miaka ya maisha ya Yakobo ilikuwa miaka mia moja arobaini na saba.
and to live Jacob in/on/with land: country/planet Egypt seven ten year and to be day Jacob year life his seven year and forty and hundred year
29 Wakati wa kufa kwake Yakobo ulipokaribia, alimwita Yusufu mwanaye na kumwambia, “Ikiwa nimepata kibali mbele zako, weka mkono wako chini ya paja langu, na unitendee kwa uaminifu na kweli. Tafadhari usinizike Misri.
and to present: come day Israel to/for to die and to call: call to to/for son: child his to/for Joseph and to say to/for him if: surely yes please to find favor in/on/with eye: seeing your to set: put please hand: swear your underneath: swear thigh my and to make: do with me me kindness and truth: faithful not please to bury me in/on/with Egypt
30 Nitakapolala na baba zangu, utanitoa Misri na kunizika katika eneo la kuzikia la baba zangu.” Yusufu akasema, “Nitafanya kama ulivyosema.”
and to lie down: lay down with father my and to lift: bear me from Egypt and to bury me in/on/with tomb their and to say I to make: do like/as word your
31 Israeli akasema, “Niapie,” na Yusufu akamwapia. Kisha Israeli akainama chini mbele ya kitanda chake.
and to say to swear [emph?] to/for me and to swear to/for him and to bow Israel upon head [the] bed

< Mwanzo 47 >