< Mwanzo 46 >
1 Israeli akasafiri na yote aliyokuwa nayo na akaja Beersheba. Pale akatoa sadaka kwa Mungu wa Isaka baba yake.
Basa naa ma, Yakob naꞌalilinuꞌ sudꞌiꞌ a saa nara, de lao hela Kanaꞌan. Losa kambo Berseba, ana hala banda tao tutunu-hohotuꞌ fee Lamatualain, fo mia dalahulu na aman Isak namahereꞌ a.
2 Mungu akamwambia Israeli katika ndoto usiku, akisema, “Yakobo, Yakobo.”
Tetembaꞌ sa, nalamein. Sia meit naa, ana rena Lamatualain noꞌe nae, “Wei! Yakob! Yakob! Fela fo rena dei!” Boe ma ana nataa nae, “Taꞌo bee?”
3 Akasema, “Mimi hapa.” Akasema, “Mimi ni Mungu, Mungu wa baba yako. Usiogope kushuka Misri, kwa maana nitakufanya taifa kubwa huko.
Lamatualain nae, “Au ia, Lamatualain fo ama ma namahere mia maꞌahulu na. Afiꞌ mumutau Masir muu. Te dei fo Au tao tititi-nonosi mara dadꞌi leo monaeꞌ sia naa.
4 Nitakwenda pamoja nawe huko Misri, Nami nitakupandisha huku tena bila shaka. Na Yusufu akayafunika macho yako kwa mikono wake.”
Au o nggo Masir muu boe. Ma dei fo Au o baliꞌ tititi-nonosi mara risiꞌ Kanaꞌan fai. Leleꞌ ho mate, naa, ana ma Yusuf sia bobꞌoa ma.”
5 Yakobo akainuka kutoka Beersheba. Wana wa Israeli wakamsafirisha Yakobo baba yao, watoto wao, na wake wao, katika mikokotene ambayo Farao alikuwa ameipeleka kuwachukua.
De Yakob no ana nara lao hela kambo Berseba. Ara fua e, no sao-ana nara, reu kareta fo mane Masir haituaꞌ ra.
6 Wakachukua mifugo yao na mali zao walizokuwa wamezipata katika nchi ya Kanaani. Wakaja Misri, Yakobo na uzao wake wote pamoja naye.
Ara rendi hata-heto nara, ma basa banda mana dadꞌi sira ena na mia Kanaꞌan. No taꞌo naa, Yakob no ana mone nara, ana feton, ma basa umbu nara ma sufe nara, lao Masir reu.
7 Akaja Misri pamoja na wanawe na wana wa wanawe, binti zake na wana wa binti zake, na uzao wake wote.
8 Haya ni majina ya watoto wa Israeli waliokuja Misri, Yakobo na wanawe: Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Yakobo;
Yakob no bobꞌonggi nara mana lao Masir reu, naeni: Ruben, ana uluꞌ a,
9 wana wa Rubeni Hanoki na Palu na Hezroni na Karmi;
no ana nara Henok, Palu, Hesron, ma Karmi.
10 wana wa Simoni, Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Zohari, na Shauli, wana wa mwanamke Mkanaani;
Simeon, no ana nara Yemuel, Yamin, Ohad, Yakin, ma Sohar. No Saul, fo Simeon ana na mia sao ina Kanaꞌan.
11 wana wa Lawi Gershoni, Kohathi, na Merari.
Lewi, no ana nara Gerson, Kehat, ma Merari.
12 Wana wa Yuda: Eri, Shela, Peresi, na Zera, (Lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani). Na wana wa Peresi walikuwa Hezroni na Hamuli.
Yahuda, no ana nara Sela, Peres ma Sera. Yahuda ana feaꞌ na, Er ma Onan, mate se mia Kanaꞌan. Ana o no Peres ana nara Hesron ma Hamul.
13 Wana wa Isakari walikuwa Tola, Puva, Lobu, na Shimroni;
Isaskar, no ana nara Tola, Pua, Ayub, ma Simron.
14 Wana wa Zabuloni walikuwa Seredi, Eloni, na Yahleeli
Sebulon, no ana nara Sered, Elon, ma Yahleel.
15 Hawa walikuwa wana wa Lea aliomzalia Yakobo huko Padani Aramu, pamoja na na Dina binti yake. Wanawe na binti zake walikuwa thelathini na watatu.
Basa se, Yakob no Lea ana nara. Ara bꞌonggi se mia Mesopotamia. Ara o ma ana inaꞌ esa, nara na Dina. Dadꞌi Yakob no Lea tititi-nonosi nara, basa se atahori telu nulu telu.
16 Wana wa Gadi walikuwa Zifioni, Hagi, Shuni, Ezboni, Eri, Arodi, na Areli.
Boe ma, Yakob ana nara mia sao esa fai, naeni: Gad no ana nara Sifion, Hagi, Suni, Esbon, Eri, Arodi, ma Areli.
17 Wana wa Asheri walikuwa Imna, Ishva, Ishvi, na Beria; na Sera alikuwa dada yao. Wana wa Beria walikuwa Heberi na Malkieli.
Aser, no ana nara Yimna, Yiswa, Yiswi, Beria, no feto na, naran Sera. Ma Beria ana nara Heber no Malkiel.
18 Hawa walikuwa wana wa Zilpa, ambaye Labani alikuwa amempa Lea binti yake. Wana aliomzalia Yakobo wote walikuwa kumi na sita.
Basa se, atahori sanahulu nee. Sira, Yakob no sao na Silpa umbu-ana nara. Silpa naa, ate fo Labꞌan fee neu anan Lea, Yakob sao ulu na.
19 Wana wa Raheli mkewe Yakobo walikuwa Yusufu na Benjamini.
Boe ma, hambu Yakob sao feaꞌ na fai, naran Rahel. Ana bꞌonggi anaꞌ rua, nara nara Yusuf no Benyamin.
20 Huko Misri Manase na Efraimu walizaliwa kwa Yusufu na Asenathi, binti Potifera kuhani wa Oni.
Leleꞌ naa, Yusuf sao nala Asnat mia Masir. Ama ari na, malangga agama sia kamboꞌ On, naran Potifera. Yusuf no Asnat ana nara, Efraim no Manase.
21 Wana wa Benjamini walikuwa Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu, na Ardi.
Benyamin o tungga Masir neu no ana nara Bela, Beker, Asibel, Gera, Naaman, Ehi, Ros, Mupim, Hupim, ma Ared.
22 Hawa walikuwa wana wa Raheli waliozaliwa kwa Yakobo - jumla yao kumi na wanne.
De Yakob no sao na Rahel tititi-nonosi na, atahori sanahulu haa.
23 Mwana wa Dani alikuwa Hushimu.
Yakob sao na feꞌe esa fai, naran Bilha. Ana nara, Dan no Naftali. Dan o tungga Masir neu no ana na Husim.
24 Wana wa Naftali walikuwa Yahzeeli, Guni, Yezeri, na Shilemi.
Ma Naftali no ana nara Yasel, Guni, Yeser ma Silem.
25 Hawa walikuwa wana Bilha aliomzalia Yakobo, ambaye Labani alimpa Raheli binti yake - wote walikuwa saba.
Yakob no Bilha tititi-nonosi na, atahori hitu. Bilha naa, Rahel ate na fo ana hambu ma ama na Labꞌan.
26 Wate waliokwenda na Yakobo, waliokuwa uzao wake, bila kuhesabu wake wa wana wa Yakobo walikuwa sitini na sita.
Dadꞌi Yakob tititi-nonosi nara fo mana risiꞌ Masir reu a, atahori nee nulu nee. Nda feꞌe ana mone-ana feto feu nara sa.
27 Pamoja na wana wawili wa Yusufu waliozaliwa kwake huko Misri, watu wa familia yake waliokwenda Misri walikuwa sabini jumla yao.
Tamba Yusuf no ana na rua fo bꞌonggi se sia Masir, de reken naa Yakob no basa bobꞌonggi nara mana leo sia Masir, atahori hitu nulu.
28 Yakobo akamtuma Yuda kuwatangulia mbele kwa Yusufu kuonesha njia mbele yake kwenda Gosheni, nao wakaja katika eneo la Gosheni.
Ara rae deka Masir ma, Yakob denu ana na Yahuda laoꞌ naꞌahuluꞌ, neu noꞌe Yusuf, nema nandaa no e sia Gosen. Ara losa Gosen boe ma,
29 Yusufu akaandaa kibandawazi chake na akaenda kumlaki baba yake huko Gosheni. Akamwona, akaikumbatia shingo yake, na akalia shingoni mwake kwa kitambo.
Yusuf sae kareta na, de neu nandaa no aman sia naa. Ara randaa ma, Yusuf holu aman, de nggae doo na seli.
30 Israeli akamwambia Yusufu, “Basi na nife sasa, kwa kuwa nimeuona uso wako, kwamba bado uko hai.”
Yakob olaꞌ no Yusuf nae, “Ana Yusuf e! Ia naa, au ita nggo ena. Ma bubꞌuluꞌ ho feꞌe masodꞌaꞌ. Naa de, mae au mate oras ia o, malole.”
31 Yusufu akawambia ndungu zake na nyumba ya baba yake, “Nitakwenda na kumwambia Farao, kusema, 'Ndugu zangu na nyumba ya baba yangu, waliokuwa katika nchi ya Kanaani, wamenijia.
Basa de, Yusuf nafadꞌe basa odꞌi-aꞌa nara nae, “Au musi uu ufadꞌe maneꞌ a, ae bobꞌonggi nggara rema mia Kanaꞌan.
32 Watu hawa ni wafugaji, kwani wamekuwa watunza wanyama. Wamekuja na makundi yao ya kondoo, na mbuzi, na vyote walivyonavyo.'
Dei fo au ufadꞌe ae hei ia, atahori mana maꞌaboi bibꞌi lombo ma sapi. Naa de hei mendi banda ma hata-hetoꞌ mara mia Kanaꞌan.
33 Itakuwa, Farao atakapowaita na kuwauliza, 'Kazi yenu ni ipi?'
Mete ma maneꞌ a noꞌe hei, ma natane ue-tatao mara saa,
34 mwambieni, 'Watumishi wako wamekuwa watunza wanyama tangu ujana wetu mpaka sasa, sisi, na baba zetu.' Fanyeni hivyo ili mweze kuishi katika nchi ya Gosheni, kwani kila mfugaji ni chukizo kwa Wamisri.”
na mitaa mae, basa hai mana miꞌiboi banda mia anadikiꞌ ima, onaꞌ hei bei-baꞌi mara boe. No naa, dei fo ana fee hei leo sia Gosen.” Yusuf nafadꞌe taꞌo naa, huu atahori Masir ra melumudꞌu, leo raꞌabꞌue ro atahori manatadꞌa ra.