< Mwanzo 46 >

1 Israeli akasafiri na yote aliyokuwa nayo na akaja Beersheba. Pale akatoa sadaka kwa Mungu wa Isaka baba yake.
Isarel teh a tawn e pueng hoi a tâco. Beersheba vah a pha teh a na pa Isak Cathut koe thuengnae a sak.
2 Mungu akamwambia Israeli katika ndoto usiku, akisema, “Yakobo, Yakobo.”
Cathut ni karum a mang lah Isarel koe lawk a dei teh, Jakop Jakop telah ati. Ahni ni, hivah ka o, telah ati.
3 Akasema, “Mimi hapa.” Akasema, “Mimi ni Mungu, Mungu wa baba yako. Usiogope kushuka Misri, kwa maana nitakufanya taifa kubwa huko.
Ahni ni, kai teh Cathut nange Cathut lah ka o. Izip ram lah na cei hane hah taket hanh. Bangkongtetpawiteh, miphun kalen lah na coung sak han.
4 Nitakwenda pamoja nawe huko Misri, Nami nitakupandisha huku tena bila shaka. Na Yusufu akayafunika macho yako kwa mikono wake.”
Nang koe Izip lah ka cei van vaiteh, bout na hrawi han, hahoi Joseph ni na mit dawk na kut a hruek han telah ati.
5 Yakobo akainuka kutoka Beersheba. Wana wa Israeli wakamsafirisha Yakobo baba yao, watoto wao, na wake wao, katika mikokotene ambayo Farao alikuwa ameipeleka kuwachukua.
Hottelah hoi Jakop teh, Beersheba hoi a tâco teh, Isarel e capanaw ni, a na pa Jakop hoi a canaw hoi a yunaw a kâcui nahanelah Faro ni na patawn e leng dawk na kâcui sak han.
6 Wakachukua mifugo yao na mali zao walizokuwa wamezipata katika nchi ya Kanaani. Wakaja Misri, Yakobo na uzao wake wote pamoja naye.
Jakop hoi a catoun pueng Kanaan ram e a hmu awh e a saringnaw hoi a hnopainaw hoi a tâcokhai teh Izip vah a cei awh.
7 Akaja Misri pamoja na wanawe na wana wa wanawe, binti zake na wana wa binti zake, na uzao wake wote.
A capa hoi a pahringcanaw hoi a miphun a catoun pueng hah Izip vah a kâenkhai awh.
8 Haya ni majina ya watoto wa Israeli waliokuja Misri, Yakobo na wanawe: Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Yakobo;
Hetnaw heh Isarel catoun Izip ram ka kâen e Jakop hoi a canaw e minnaw doeh. Jakop e camin Reuben,
9 wana wa Rubeni Hanoki na Palu na Hezroni na Karmi;
Reuben capanaw teh Hanok, Pallu, Hezron hoi, Karmi.
10 wana wa Simoni, Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Zohari, na Shauli, wana wa mwanamke Mkanaani;
Simeon capanaw teh Jemuel, Jamin, Ohad, Jakhin, Zohar hoi Kanaan napui koehoi e a capa Saul,
11 wana wa Lawi Gershoni, Kohathi, na Merari.
Levih capanaw teh Gershon, Kohath hoi, Merari
12 Wana wa Yuda: Eri, Shela, Peresi, na Zera, (Lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani). Na wana wa Peresi walikuwa Hezroni na Hamuli.
Judah capanaw teh Er, Onan, Shelah, Perez hoi Zerah naw doeh. Hateiteh, Er hoi Onan teh Kanaan kho vah a due awh toe. Perez ca roi lah Hezron hoi Hamul ao.
13 Wana wa Isakari walikuwa Tola, Puva, Lobu, na Shimroni;
Issakhar capanaw teh Tola, Puvah, Jashub hoi Shimron,
14 Wana wa Zabuloni walikuwa Seredi, Eloni, na Yahleeli
Zebulun capanaw teh Sered, Elon hoi Jaheel,
15 Hawa walikuwa wana wa Lea aliomzalia Yakobo huko Padani Aramu, pamoja na na Dina binti yake. Wanawe na binti zake walikuwa thelathini na watatu.
Hotnaw teh Leah capanaw a canu Dinah hoi Paddanaram vah Jakop hanlah a khe pouh e naw lah ao. A capanaw hoi a canunaw teh abuemlahoi 33 touh a pha awh.
16 Wana wa Gadi walikuwa Zifioni, Hagi, Shuni, Ezboni, Eri, Arodi, na Areli.
Gad capanaw teh Ziphion, Haggi, Shuni, Ezbon, Eri, Arodi hoi Areli,
17 Wana wa Asheri walikuwa Imna, Ishva, Ishvi, na Beria; na Sera alikuwa dada yao. Wana wa Beria walikuwa Heberi na Malkieli.
Asher capanaw teh Imnah, Ishua, Ishvi, Beriah hoi a tawncanu Serah hoi Beriah capa teh Heber hoi Malkhiel tinaw doeh.
18 Hawa walikuwa wana wa Zilpa, ambaye Labani alikuwa amempa Lea binti yake. Wana aliomzalia Yakobo wote walikuwa kumi na sita.
Hotnaw teh Zilpah Laban ni a canu Leah koevah a poe e capanaw doeh. Ahnimanaw teh tami 16 touh, Jakop ni a khe e naw doeh.
19 Wana wa Raheli mkewe Yakobo walikuwa Yusufu na Benjamini.
Jakop yu Rachel capa roi teh Joseph hoi Benjamin doeh.
20 Huko Misri Manase na Efraimu walizaliwa kwa Yusufu na Asenathi, binti Potifera kuhani wa Oni.
Joseph ni Izip kho vah ao navah Manasseh hoi Ephraim a sak, hotnaw teh On kho e vaihma Potiphar canu Asenath ni a khe pouh e doeh.
21 Wana wa Benjamini walikuwa Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu, na Ardi.
Benjamin capanaw teh Bela, Bekher, Ashbel Gera, Naaman Ehi, Rosh, Muppin, Huppim hoi Ard tinaw doeh.
22 Hawa walikuwa wana wa Raheli waliozaliwa kwa Yakobo - jumla yao kumi na wanne.
Hotnaw teh Rachel ni Jakop hanlah a khe pouh e capanaw doeh, 14 touh a pha awh.
23 Mwana wa Dani alikuwa Hushimu.
Dan capa teh Hushim doeh.
24 Wana wa Naftali walikuwa Yahzeeli, Guni, Yezeri, na Shilemi.
Naphtali capanaw teh Jahzeel, Guni, Jezer hoi Shillem doeh.
25 Hawa walikuwa wana Bilha aliomzalia Yakobo, ambaye Labani alimpa Raheli binti yake - wote walikuwa saba.
Hotnaw teh Laban ni a canu Rachel koe a poe e Bilhah ni Jakop hanlah a khe pouh e naw doeh, abuemlahoi 7 touh a pha awh.
26 Wate waliokwenda na Yakobo, waliokuwa uzao wake, bila kuhesabu wake wa wana wa Yakobo walikuwa sitini na sita.
Jakop e a capanaw e yu hmai touksin laipalah Jakop koe Izip ram rei ka cet e tami abuemlah 66 touh a pha awh.
27 Pamoja na wana wawili wa Yusufu waliozaliwa kwake huko Misri, watu wa familia yake waliokwenda Misri walikuwa sabini jumla yao.
Joseph ni Izip ram e a capa a khe e naw teh kahni touh a pha Jakop imthung Izip ram dawk kâen e pueng teh 70 touh a pha awh.
28 Yakobo akamtuma Yuda kuwatangulia mbele kwa Yusufu kuonesha njia mbele yake kwenda Gosheni, nao wakaja katika eneo la Gosheni.
Jakop ni Goshen lam pâtue hanelah Judah teh Joseph koe hmaloe a ceisak teh, hottelah hoi Goshen ram lah a pha awh.
29 Yusufu akaandaa kibandawazi chake na akaenda kumlaki baba yake huko Gosheni. Akamwona, akaikumbatia shingo yake, na akalia shingoni mwake kwa kitambo.
Joseph ni a leng hah coungkacoe a rakueng teh Goshen vah a na pa a dawn hanelah a cei. Ahni koe a kâpanuesak teh a lahuen dawk a tapam teh a tapam laihoi ngailawi a ka.
30 Israeli akamwambia Yusufu, “Basi na nife sasa, kwa kuwa nimeuona uso wako, kwamba bado uko hai.”
Isarel ni Joseph koevah, na hring rah dawkvah, na mei bout ka hmu toe, atuteh kadout lawi nakunghai yah, telah ati.
31 Yusufu akawambia ndungu zake na nyumba ya baba yake, “Nitakwenda na kumwambia Farao, kusema, 'Ndugu zangu na nyumba ya baba yangu, waliokuwa katika nchi ya Kanaani, wamenijia.
Joseph ni a hmaunawngha a na pa imthung koevah, ka cei vaiteh, Faro koe ka dei pouh vaiteh, ahni koevah, ka hmaunawngha hoi apa imthung Kanaan ram kaawm e hah kai koe a pha awh toe.
32 Watu hawa ni wafugaji, kwani wamekuwa watunza wanyama. Wamekuja na makundi yao ya kondoo, na mbuzi, na vyote walivyonavyo.'
Ahnimanaw teh saring kapacanaw lah ao teh tukhoumkung lah ao awh. Tuhu hoi maitohu hoi a tawn awh e pueng a thokhai awh toe telah ka dei han.
33 Itakuwa, Farao atakapowaita na kuwauliza, 'Kazi yenu ni ipi?'
Faro ni na kaw awh teh, bang thaw maw ouk na tawk awh na tet pouh pawiteh,
34 mwambieni, 'Watumishi wako wamekuwa watunza wanyama tangu ujana wetu mpaka sasa, sisi, na baba zetu.' Fanyeni hivyo ili mweze kuishi katika nchi ya Gosheni, kwani kila mfugaji ni chukizo kwa Wamisri.”
nangmouh ni na sannaw teh ka mintoenaw koehoi kamtawng teh camoca hoi atu totouh, saring ka paca awh e doeh, telah na ti awh han. Hottelah hoi Goshen ram dawk na o thai awh han, telah atipouh. Bangkongtetpawiteh, tu ka khoum e pueng teh Izip taminaw ni a panuet awh.

< Mwanzo 46 >