< Mwanzo 42 >
1 Basi Yakobo akafahamu kwamba kuna nafaka huko Misri. Akawambia wanawe, “Kwa nini mnatazamana?
and to see: examine Jacob for there grain in/on/with Egypt and to say Jacob to/for son: child his to/for what? to see: see
2 Akasema, “Tazama, nimesikia kwamba kuna nafaka huko Misri. Shukeni huko mkatununulie chakula ili tuishi wala tusife.”
and to say behold to hear: hear for there grain in/on/with Egypt to go down there [to] and to buy grain to/for us from there and to live and not to die
3 Ndugu kumi wa Yusufu wakashuka Misri kununua chakula.
and to go down brother: male-sibling Joseph ten to/for to buy grain grain from Egypt
4 Lakini Benjamini, ndugu wa Yusufu, Yakobo hakumtuma na ndugu zake, kwani alihofu kwamba madhara yaweza kumpata.
and [obj] Benjamin brother: male-sibling Joseph not to send: depart Jacob with brother: male-sibling his for to say lest to encounter: chanced him harm
5 Wana wa Israeli wakaja kununua miongoni mwao waliokuja, kwani njaa ilikuwapo katika nchi ya Kanaani.
and to come (in): come son: child Israel to/for to buy grain in/on/with midst [the] to come (in): come for to be [the] famine in/on/with land: country/planet Canaan
6 Basi Yusufu alikuwa mtawala juu ya nchi. Ndiye aliyekuwa akiwauzia watu wote wa nchi. Ndugu zake Yusufu wakaja na kumwinamia na nyuso zao hata chini.
and Joseph he/she/it [the] domineering upon [the] land: country/planet he/she/it [the] to buy grain to/for all people [the] land: country/planet and to come (in): come brother: male-sibling Joseph and to bow to/for him face land: soil [to]
7 Yusufu akawaona ndugu zake na kuwatambua, lakini alijibadili kwao na kuongea nao kwa ukali. Akawambia, “Mmetoka wapi?” Wakasema, “Kutoka nchi ya Kanaani ili kununua chakula.”
and to see: see Joseph [obj] brother: male-sibling his and to recognize them and to alienate to(wards) them and to speak: speak with them severe and to say to(wards) them from where? to come (in): come and to say from land: country/planet Canaan to/for to buy grain food
8 Yusufu akawatambua ndugu zake, lakini wao hawakumtambua.
and to recognize Joseph [obj] brother: male-sibling his and they(masc.) not to recognize him
9 Yusufu akazikumbuka ndoto aliyoziota kuhusu wao. Akawambia, “Ninyi ni wapelelezi. Mmekuja kuona sehemu za nchi zisizolindwa.”
and to remember Joseph [obj] [the] dream which to dream to/for them and to say to(wards) them to spy you(m. p.) to/for to see: see [obj] nakedness [the] land: country/planet to come (in): come
10 Wakamwambia, “Hapana, bwana wangu. Watumishi wako wamekuja kununua chakula.
and to say to(wards) him not lord my and servant/slave your to come (in): come to/for to buy grain food
11 Sisi sote ni wana wa baba mmoja. Ni watu wa kweli. Watumishi wako siyo wapelelezi.”
all our son: child man one we right we not to be servant/slave your to spy
12 Akawambia, “Hapana, mmekuja kuangalia sehemu za nchi zisizolindwa.”
and to say to(wards) them not for nakedness [the] land: country/planet to come (in): come to/for to see: see
13 Wakasema, “Sisi watumishi wako tupo ndugu kumi na wawili, wana wa baba mmoja katika nchi ya Kanaani. Tazama, mdogo yupo na baba yetu, na mwingine hayupo hai tena.”
and to say two ten servant/slave your brother: male-sibling we son: child man one in/on/with land: country/planet Canaan and behold [the] small: young with father our [the] day: today and [the] one nothing he
14 Yusufu akawambia, “Ndivyo nilivyowambia; ninyi ni wapelelezi.
and to say to(wards) them Joseph he/she/it which to speak: speak to(wards) you to/for to say to spy you(m. p.)
15 Mtajaribiwa kwa njia hii. Kama aishivyo Farao, hamtaondoka hapa, mdogo wenu asipokuja hapa.
in/on/with this to test alive Pharaoh if: surely no to come out: come from this that if: except if: except in/on/with to come (in): come brother: male-sibling your [the] small: young here/thus
16 Mtumeni mmoja wenu amlete mdogo wenu. Mtabaki gerezani, hata maneno yenu yatakapothibitishwa, kwamba kuna ukweli ndani yenu.”
to send: depart from you one and to take: bring [obj] brother: male-sibling your and you(m. p.) to bind and to test word your truth: true with you and if not alive Pharaoh for to spy you(m. p.)
17 Akawaweka kifungoni kwa siku tatu.
and to gather [obj] them to(wards) custody three day
18 Katika siku ya tatu Yusufu akaongea nao, “Fanyeni hivi nanyi mtaishi, kwani ninamcha Mungu.
and to say to(wards) them Joseph in/on/with day [the] third this to make: do and to live [obj] [the] God I afraid
19 Kama ninyi ni watu wa kweli, mmoja wenu atazuiliwa hapa gerezani, lakini ninyi nendeni, chukueni nafaka kwa ajili ya nyumba zenu.
if right you(m. p.) brother: male-sibling your one to bind in/on/with house: home custody your and you(m. p.) to go: went to come (in): bring grain famine house: household your
20 Mleteni mdogo wenu kwangu ili kwamba maneno yenu yathibitishwe nanyi hamtakufa.” Wakafanya hivyo.
and [obj] brother: male-sibling your [the] small: young to come (in): bring to(wards) me and be faithful word your and not to die and to make: do so
21 Wakasemezana wao kwa wao, “Kwa kweli tuna hatia juu ya ndugu yetu kwani tuliona tabu ya nafsi yake alipotusihi nasi hatukusikia. Kwa hiyo taabu hii imeturudia.”
and to say man: anyone to(wards) brother: compatriot his truly guilty we upon brother: male-sibling our which to see: see distress soul his in/on/with be gracious he to(wards) us and not to hear: hear upon so to come (in): come to(wards) us [the] distress [the] this
22 Rubeni akawajibu, “Je sikuwambia, 'Msitende dhambi juu ya kijana,' lakini hamkusikia? Basi, tazama, damu yake inatakiwa juu yetu.”
and to answer Reuben [obj] them to/for to say not to say to(wards) you to/for to say not to sin in/on/with youth and not to hear: hear and also blood his behold to seek
23 Lakini hawakuja kwamba Yusufu anawaelewa, kwani kulikuwa na mkalimani kati yao.
and they(masc.) not to know for to hear: understand Joseph for [the] to mock between them
24 Akatoka kwao na kulia. Akarudi kwao na kuongea nao. Akamchukua Simoni miongoni mwao na kumfunga mbele ya macho yao.
and to turn: turn from upon them and to weep and to return: return to(wards) them and to speak: speak to(wards) them and to take: take from with them [obj] Simeon and to bind [obj] him to/for eye: before(the eyes) their
25 Kisha Yusufu akaagiza watumishi kujaza mifuko yao kwa nafaka, na kurudisha pesa ya kila mmoja katika gunia lake, nakuwapa mahitaji kwa safari. Wakatendewa hivyo.
and to command Joseph and to fill [obj] article/utensil their grain and to/for to return: return silver: money their man: anyone to(wards) sackcloth his and to/for to give: give to/for them provision to/for way: journey and to make: do to/for them so
26 Hawa ndugu wakapandisha chakula chao juu ya punda zao na kuondoka pale.
and to lift: bear [obj] grain their upon donkey their and to go: went from there
27 Mmoja wao alipofungua gunia lake ili kumlisha punda wao katika sehemu waliyokuwa, akaona pesa yake. Tazama, ilikuwa mdomoni mwa gunia lake.
and to open [the] one [obj] sackcloth his to/for to give: give fodder to/for donkey his in/on/with lodging and to see: see [obj] silver: money his and behold he/she/it in/on/with lip sack his
28 Akawambia ndugu zake, “Pesa yangu imerudishwa. Tazama, imo katika gunia langu.”Mioyo yao ikazimia na wakageukiana kila mmoja huku wakitetemeka. Wakasema, “Ni nini hiki alichotutendea Mungu?”
and to say to(wards) brother: male-sibling his to return: return silver: money my and also behold in/on/with sack my and to come out: surrender heart their and to tremble man: anyone to(wards) brother: compatriot his to/for to say what? this to make: do God to/for us
29 Wakaenda kwa Yakobo, baba yao katika nchi ya Kanaani na kumwambia yote yaliyowapata.
and to come (in): come to(wards) Jacob father their land: country/planet [to] Canaan and to tell to/for him [obj] all [the] to meet [obj] them to/for to say
30 Wakasema, “Yule mtu, bwana wa nchi, aliongea nasi kwa ukali na kutudhania kuwa wapelelezi katika nchi.
to speak: speak [the] man lord [the] land: country/planet with us severe and to give: make [obj] us like/as to spy [obj] [the] land: country/planet
31 Tukamwambia, 'Tu watu wa kweli sisi. Sisi siyo wapelelezi.
and to say to(wards) him right we not to be to spy
32 Tupo ndugu kumi na wawili, wana wa baba yetu. Mmoja hayupo hai tena, na mdogo yupo na baba yetu katika nchi ya Kanaani.”
two ten we brother: male-sibling son: child father our [the] one nothing he and [the] small: young [the] day: today with father our in/on/with land: country/planet Canaan
33 Yule mtu, bwana wa nchi, akatwambia, 'Kwa hili nitajua kwamba ni watu wa kweli ninyi. Mwacheni mmojawapo wa ndugu zenu, chukueni chakula kwa ajili ya njaa katika nyumba zenu, na mwondoke.
and to say to(wards) us [the] man lord [the] land: country/planet in/on/with this to know for right you(m. p.) brother: male-sibling your [the] one to rest with me and [obj] famine house: household your to take: take and to go: went
34 Mleteni mdogo wenu kwangu. Ndipo nitakapojua kwamba ninyi si wapelelezi, lakini ni watu wa kweli. Kisha nitamwachilia ndugu yenu, na mtafanya biashara katika nchi.”
and to come (in): bring [obj] brother: male-sibling your [the] small: young to(wards) me and to know for not to spy you(m. p.) for right you(m. p.) [obj] brother: male-sibling your to give: give to/for you and [obj] [the] land: country/planet to trade
35 Ikawa walipoyafungua magunia yao, na tazama, kila mfuko wa fedha wa mmojawao ulikuwa katika gunia lake. Wakati wao na baba yao walipoona mifuko yao ya fedha, wakaogopa.
and to be they(masc.) to empty sackcloth their and behold man: anyone bundle silver: money his in/on/with sackcloth his and to see: see [obj] bundle silver: money their they(masc.) and father their and to fear
36 Yakobo baba yao akawambia, “Mmeniharibia watoto wao. Yusufu hayupo hai tena, Simoni ameondoka, nanyi mmpeleke Benjamini naye. Mambo haya yote ni kunyume changu.”
and to say to(wards) them Jacob father their [obj] me be bereaved Joseph nothing he and Simeon nothing he and [obj] Benjamin to take: take upon me to be all their
37 Rubeni akamwambia baba yake, kusema, “Unaweza kuwaua wanangu wawili nisipomrudisha Benjamini kwako. Mweke mikononi mwangu, nami nitamrudisha tena kwako.”
and to say Reuben to(wards) father his to/for to say [obj] two son: child my to die if not to come (in): bring him to(wards) you to give: put [emph?] [obj] him upon hand my and I to return: return him to(wards) you
38 Yakobo akasema, “Mwanangu atashuka pamoja nanyi. Kwani ndugu yake amekufa na yeye peke yake amebaki. Ikiwa madhara yatampata katika njia mnayoiendea, ndipo mtakapozishusha mvi zangu kaburini kwa huzuni.” (Sheol )
and to say not to go down son: child my with you for brother: male-sibling his to die and he/she/it to/for alone him to remain and to encounter: chanced him harm in/on/with way: journey which to go: continue in/on/with her and to go down [obj] greyheaded my in/on/with sorrow hell: Sheol [to] (Sheol )