< Mwanzo 40 >
1 Ikawa baada ya mambo haya, mnyweshaji wa mfalme wa Misri na mwokaji wa mfalime walimkosa bwana wao, mfalme wa Misri.
Asili, eso enoga, Idibidi hina bagade (Felou) amo ea waini ouligisu dunu amola ea agi hamosu dunu, da hina bagade ougima: ne hou hamoi.
2 Farao akawakasirikia hawa maafsa wawili, mkuu wa wanyweshaji na mkuu wa waokaji.
Hina bagade da amo dunu aduna elama ougi bagade.
3 Akawaweka katika lindo katika nyumba ya kapteni wa walinzi, katika gereza lile Yusufu alimofungwa.
E da amo dunu se iasu diasu ganodini ha: digi. Ela da se iasu diasu ouligisu hina dunu ea diasu ganodini esalu. Yousefe amola da amo diasu ganodini esalebe ba: i.
4 Kapteni wa walinzi akamweka Yusufu kuwa mtumishi wao. Walikaa kifungoni kwa muda fulani.
Ela da eso bagohame amo se iasu diasu ganodini esalu. Se iasu diasu ouligisu hina da sia: beba: le, Yousefe da amo dunuma hawa: hamosu dunu esalu.
5 Wote wakaota ndoto - mnyweshaji na mwokaji wa mfalme wa Misri waliokuwa wamefungwa gerezani - kila mmoja akaota ndoto usiku huo huo, na kila ndoto ilikuwa na tafsiri yake.
Gasi afaega, hina bagade ea waini ouligisu dunu da simasia ba: i amola agi ouligisu dunu da eno simasia ba: i. Amo simasia ba: i da bai hisu hisu galu.
6 Yusufu akaja kwao asubuhi na kuwaona. Tazama, walikuwa na uzuni.
Hahabe, Yousefe da elama misini, ela da da: i dioi esalebe ba: i.
7 Akawauliza maafsa wa Farao waliokuwa pamoja naye kifungoni katika nyumba ya bwana wake, kusema, “Kwa nini leo mnaoneka wenye uzuni?”
E da elama amane adole ba: i, “Alia da abuli da: i dione esalabala?”
8 Wakamwambia, Sisi wote tumeota ndoto na hakuna wakuitafsiri.” Yusufu akawambia, “Je tafsiri haitoki kwa Mungu? Niambieni, tafadhari.”
Ela da bu adole i, “Ania da hisu hisu simasia ba: i. Be amo ea bai olelemusa: , dunu da guiguda: hame esala.” Yousefe da amane sia: i, “Gode Hi fawane da simasia ba: su bai olelemusa: gasa iaha. Alia simasia ba: su amo nama adoma.”
9 Mkuu wa wanyweshaji akamwambia Yusufu ndoto yake. Akamwambia, “Katika ndoto yangu, tazama, kulikuwa na mzabibu mbele yangu.
Amalalu, waini hano ouligisu da amane sia: i, “Na simasia ba: i amo ganodini na da waini efe na midadi lelebe ba: i.
10 Na kulikuwa na matawi matatu katika mzabibu huo. Ulipochipua, ukachanua maua na kuzaa vichala vya zabibu.
Waini efe da amoda udiana dialu. Lubi da misini amola mosoi amola fage misini yoi ba: i.
11 Kikombe cha Farao kilikuwa mkononi mwangu. Nikachukua zabibu na kuzikamua katika kikombe cha Farao, na kukiweka kikombe katika mkono wa Farao.”
Na da Felou ea faigelei gagui dialebe ba: i. Amaiba: le, na da waini fage lale, labugili, waini hano amo Felou ea faigelei ganodini salawane, Felou ea lobo ganodini ligisi.”
12 Yusufu akamwambia, “Tafsiri yake ni hii. Yale matawi matatu ni siku tatu.
Yousefe da ema amane sia: i, “Bai da agoane diala. Waini amoda udiana da dawa: loma: ne eso udiana.
13 Ndani ya siku tatu Farao atakiinua kichwa chako na kukurudisha katika nafasi yako. Utakiweka kikombe cha Farao katika mkono wake, kama ulivyokuwa ulipokuwa mnyweshaji wake.
Eso udiana asili, Felou da dia se iasu diasu logo doasili, dia musa: hawa: hamosu dima bu imunu. Di da dia musa: hou defele, ema waini faigelei imunu.
14 Lakini unikumbuke ukifanikiwa, na unionesha wema. Unitaje kwa Farao na kuniondoa hapa gerezani.
Be di hahawane dia musa: hawa: hamosu bu lasea, dia na mae gogolema. Na se iasu diasu logo doasima: ne Felouma sia: ma.
15 Maana hakika nilitekwa kutoka katika nchi ya Waebrania. Na hapa sijafanya chochote kinachonipasa niwekwe gerezani.”
Na da musa: Hibulu sogega enoga gasawane gagulaligi, mugululi asi dagoi ba: i, amola Idibidi soge ganodini wadela: i hou se iasu diasu ganodini salima: ne hamedafa hamoi.”
16 Mkuu wa waokaji alipoona kwamba tafsiri ilikuwa ya kuvutia, akamwambia Yusufu, “Mimi pia niliota ndoto, na tazama, vikapu vitatu vya mikate vilikuwa juu ya kichwa changu.
Bisili agi hamosu dunu da waini ouligisu ea simasia ba: i da hahawane olelei, amo ba: beba: le e da Yousefema amane sia: i, “Na amola da simasia ba: i. Na da na dialuma da: iya agi daba udiana gaguli ahoanebe ba: i.
17 Katika kikapu cha juu kulikuwa na kila aina za bidhaa ya kuokwa kwa Farao, lakini ndege wakavila ndani ya kikapu juu ya kichwa changu.”
Daba amo gadodili diala amo ganodini da Felou ea agi gobei hisu hisu dialebe ba: i. Amola sio da amo nanebe ba: i.”
18 Yusufu akajibu na kusema, “Tafsiri ni hii. Vikapu vitatu ni siku tatu.
Yousefe da bu adole i, “Simasia ba: i ea bai da agoane. Daba udiana da eso udiana.
19 Ndani ya siku tatu Fareao atakiinua kichwa chako kutoka kwako na atakutundika juu ya mtu. Ndege watakula mwili wako.”
Eso udiana asili, Felou da dia se iasu diasu logo doasimu. E da dia dialuma damuni fasima: ne sia: mu. Amasea, e da dia da: i hodo amo ifaga hegoa: nesili, sio da misini dia hu na dagomu.”
20 Ikawa siku ya tatu ambayo ilikuwa ni siku ya kuzaliwa kwa Farao. Akafanya sherehe kwa watumishi wake wote. “Akakiinua juu” kichwa cha mkuu wa wanyweshaji na kichwa cha mkuu wa waokaji, kati ya watumishi wake.
Eso udiana da asili, Felou ea lalelegesu eso amoga e da ea hou ouligisu dunu ilima lolo nasu bagade hamoi. E da waini hano ouligisu dunu amola agi hamosu dunu, ela se iasu diasu logo doasili, ea ouligisu dunu huluane ba: ma: ne oule misi.
21 Akamrudisha mkuu wa wanyweshaji katika majukumu yake, na akakiweka tena kikombe katika mkono wa Farao.
E da waini hano ouligisu dunuma ea musa: hawa: hamosu bu i dagoi.
22 Lakini akamtundika mkuu wa waokaji, kama Yusufu alivyokuwa amewatafsiria.
Be bisili agi hamosu dunu amo e da fane legei dagoi. Hou huluane Yousefe adoi defele ba: i dagoi.
23 Hata hivyo mkuu wa wanyweshaji hakukumbuka kumsaidia Yusufu. Badala yake, alimsahau.
Be waini hano ouligisu dunu da Yousefema bu hame dawa: i. E da Yousefe gogolei.