< Mwanzo 4 >

1 Mwanume akalala na Hawa mke wake. Akabeba mimba na akamzaa Kaini. Akasema, “nimezaa mwanaume kwa msaada wa Yahwe.”
Adam ni a yu Evi a panue teh, camo a vawn. Capa a khe teh, BAWIPA ni na kabawp dawk ca tongpa ka khe ati teh, Kain telah min a phung.
2 Kisha akazaa ndugu yake Habili. Sasa Habili akawa mchungaji, lakini Kaini alilima udongo.
Hahoi, a nawngha Abel bout a khe. Abel teh tu kakhoumkung lah ao teh, Kain teh law kasakkung lah ao.
3 Ikawa kwamba baada ya muda Kaini alileta sehemu ya mazao ya ardhi kama sadaka kwa Yahwe.
Atueng akuep torei teh, Kain ni amae law thung e a pawhiknaw hah BAWIPA koe a sin.
4 Habili pia, alileta sehemu ya wazao wa kwanza wa wanyama wake na sehemu zilizonona. Yahwe akamkubali Habili pamoja na sadaka yake,
Abel ni hai tu pasuek ka khe e hoi, kathâwnaw a sin. Hatdawkvah, BAWIPA ni Abel hoi a sin e hno teh a dâw pouh.
5 lakini Kaini pamoja na sadaka yake Mungu hakuikubali. Kwa hiyo Kaini alikasirika sana, na uso wake ukakunjamana.
Hatei Kain hoi a sin e hno teh dâw pouh hoeh. Hatdawkvah, Kain teh a lung puenghoi a khuek dawkvah minhmai a mathoe.
6 Yahwe akamwambia Kaini, “kwa nini umekasirika na kwa nini uso wako umekunjamana?
BAWIPA ni Kain koevah, Bangkongmaw na lungkhuek teh minhmai a mathoe.
7 Kama ukifanya vema, je hutapata kibali? lakini kama hutafanya lilio jema, dhambi iko inakuotea mlangoni na inatamani kukutawala, lakini inakupasa uishinde.
Kahawicalah na sak pawiteh ka dâw mahoeh maw. Kahawicalah na sak hoehpawiteh yon thuengnae sathei teh longkha koe a tabo. Ahnie a ngainae teh nange doeh. Hatei nang ni ahni na uk telah atipouh.
8 Kaini akamwambia Habili ndugu yake. Hata wakati walipokuwa shambani, Kaini aliinuka dhidi ya Habili ndugu yake na akamuua. (Katika tafsiri za kale zinasema, Kaini alimwambia Habili ndugu yake, “twende mashambani.” Na wakati walipokuwa shambani, Kaini alimuinukia Habili ndugu yake na kumuua).
Kain ni a nawngha Abel koevah law lah cet sei atipouh. Law a pha roi torei teh Kain ni a nawngha a taran teh a thei.
9 Kisha Yahwe akamuuliza Kaini, “Ndugu yako Habili yuko wapi?” Akasema, “sijui. Je mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?”
Hatdawkvah, BAWIPA ni Kain koe, na maw na nawngha Abel te, telah a pacei navah, ahni ni ka panuek hoeh, ka nawngha ka khoum e nahoeh telah atipouh.
10 Yahwe akasema, “umefanya nini? damu ya ndugu yako inaniita mimi kutokea ardhini.
Hahoi, BAWIPA ni bangmaw na sak na nawngha e thi ni talai dawk hoi kai koe a hram toe.
11 Na sasa umelaaniwa wewe kutoka ardhi ambayo imefungua kinywa chake kupokea damu ya ndugu yako kutoka mikononi mwako.
Na kut hoi na palawng e na nawngha thi, dâw hanelah apâhni ka ang e talai dawk hoi nang teh atu thoebo lah na o toe.
12 Utakapo ilima ardhi, kuanzia sasa na kuendelea haita kuzalia wewe nguvu yake. Utakuwa mkimbizi na mtu asiye na makao duniani.”
Talai dawk thaw na tawk navah a thaonae nang koe tâcawt mahoeh toe. Nang teh talai vah, ka yawng e tami hoi ka kâva a e tami lah na o han telah atipouh.
13 Kaini akamwambia Yahwe, “Adhabu yangu ni kubwa kuliko uwezo wangu wa kustahimili.
Kain ni BAWIPA koevah, reknae ka hmu e heh ka phu thai e hlak a lenhnawn.
14 Kwa hakika umenifukuza siku hii ya leo kutoka kwenye ardhi hii, na sitaonekana mbele ya uso wako. Nitakuwa mkimbizi na mtu nisiye na makao katika dunia, na yeyote atakaye niona ataniua.”
Sahnin teh talai hoi na pâlei toe ti ka panue. Na hmaitung hoi hro lah ka o toe. Talai van vah ka yawng e hoi yuengyoe kâva e tami lah kaawm vaiteh, ka hmawt e pueng ni na thei han doeh telah atipouh.
15 Yahwe akamwambia, “ikiwa mtuyeyote atamuua Kaini, kisasi kitakuwa juu yake mara saba.” Kisha Yahwe akaweka alama juu ya Kaini, ili kwamba kama mtu awayeyote akimuona, mtu huyo asimshambulie.
Hatei, BAWIPA ni Kain koe nang ka thet e pueng teh let sari touh hoi a moi ka pathung han atipouh. Hahoi, BAWIPA ni Kain ka hmawt e tami, buet touh ni hai a thei hoeh nahanlah ahni dawk noutnae a ta pouh.
16 Kwa hiyo Kaini akatoka mbele ya uwepo wa Yahwe na akaishi katika nchi ya Nodi, mashariki mwa Edeni.
Hathnukkhu, Kain teh BAWIPA e hmaitung hoi a tâco teh, Eden kanîtholah, Nod ram dawk kho a sak.
17 Kaini akamjua mke wake na akapata mimba. Akamzaa Henoko. Akajenga mji na akauita kwa jina la mwanae Henoko.
Kain ni a yu a panue teh, camo a vawn teh Enok a khe. Kho a thawng teh a capa min lah Enok kho telah min a poe.
18 Kwa Henoko akazaliwa Iradi. Iradi akamzaa Mehuyaeli. Mehuyaeli akamzaa Methushaeli. Methushaeli akamzaa Lameki.
Hahoi Enok ni Irad a khe. Irad ni Mehujael a khe. Mehujael ni Methushael a khe. Methushael ni Lamek a khe.
19 Lameki akajitwalia wake wawili: jinala mmoja alikuwa Ada, na jina la yule mwingine alikuwa Sila.
Hathnukkhu, Lamek ni a yu kahni touh a la teh, apasueke min teh Adah, apâhni e min teh Zillah doeh.
20 Ada akamzaa Yabali. Huyu ndiye alikuwa baba yao na wale walioishi hemani ambao wanafuga wanyama.
Adah ni Jabal a khe. Ahni teh rimnaw dawk kho ka sak e lah ao teh saringnaw kapacakung e na pa lah ao.
21 Ndugu yake aliitwa Yubali. Huyu alikuwa baba yao na wale wapigao kinubi na filimbi.
A nawngha e min teh Jubal. Ahni teh ratoung hoi vovitnaw ka pâtu e na pa lah ao.
22 Sila naye akamzaa Tubal Kaini, mfua vyombo vya shaba na chuma. Dada yake na Tubal Kaini alikuwa Naama.
Zillah ni hai Tubal-kain a khe. Ahni teh rahum hoi sum ka dei pueng e na pa lah ao. Naamah teh Tubal-kain e tawncanu lah ao.
23 Lameki akawaambia wake zake, Ada na Sila, sikieni sauti yangu; ninyi wake wa Lameki, sikilizeni nisemacho. Kwa kuwa nimemuua mtu kwa kunijeruhi, kijana kwa kunichubua.
Hahoi, Lamek ni a yu roi Adah hoi Zillah koevah, ka lawk thai roi haw, patawnae na poe dawkvah tongpa buet touh ka thei. Na pacekpahlek dawkvah, thoundoun buet touh ka thei toe.
24 Ikiwa Kaini atalipiwa kisasi mara saba, ndipo Lameki atalipiwa kisasi mara sabini na saba.”
Kain ni let sari touh e moipathungnae khang pawiteh, Lamek ni teh a let 70 touh hoi a khang han.
25 Adam akamjua mke wake tena, na akazaa mtoto mwanaume. Akamuita jina lake Sethi na akasema, “Mungu amenipatia mtoto mwingine wa kiume kwa nafasi ya Habili, kwa kuwa Kaini alimuuwa.”
Hahoi, Adam ni a yu bout a panue teh, ca tongpa a khe. Seth telah min a phung. Bangkongtetpawiteh, Kain ni Abel a thei dawkvah Cathut ni alouke cati bout na poe telah ati.
26 Mtoto wa kiume alizaliwa kwa Sethi na akamuita jina lake Enoshi. Wakati huo watu walianza kuliitia jina la Yahwe.
Seth ni hai capa a khe teh Enosh telah min a phung. Hahoi tami ni Jehovah min kaw han a kamtawng awh.

< Mwanzo 4 >